Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Huwaga wanaandika kwenye label yake... Na hapo ilipoandikwa sioni ila katika hili nadhan the horticulturist atatupa mwongozo, pia atuambie kama hii booster inafaa kuweka wakati mmea ukiwa mdogo au inafaa kutumika kama finisher!!Nashukuru sana kiongozi, na je hii busterView attachment 698436 kipimo chake ni ml ngapi kwa solo la lt 20 msaada tafadhali
Nashukuru sana kiongozi, na je hii busterView attachment 698436 kipimo chake ni ml ngapi kwa solo la lt 20 msaada tafadhali
Huwaga wanaandika kwenye label yake... Na hapo ilipoandikwa sioni ila katika hili nadhan the horticulturist atatupa mwongozo, pia atuambie kama hii booster inafaa kuweka wakati mmea ukiwa mdogo au inafaa kutumika kama finisher!!
embu nikuulize kwa nini dumila mnalima nyanya lakini hamziwekei nguzo ili mnyanya usimame na na hii itasaidia matunda ya nyanya kuwa hewani .kwa kufanya hivi sidhani kama kuna nyanya hata moja inaweza kuharibikanyanya zinachukua miezi mitatu baada ya kupanda unaanza kuvuna
changamoto ya magonjwa sio kubwa sana ni kuwa makini tu shambani na kupiga dawa mapema kila unavyoona dalili za ugonjwa na zipo dawa za kuzuia wadudu kabla hawajaanza kushambulia mazao
Sijui huko dumila wanalima nyanya gani ila kwa nnavyojua kuna nyanya fupi, za wastani na ndefu! sasa nyanya ndefu kama anna f1 hizi lazima uweke kamba au nguzo, na nyanya za wastani kama assila f1 pia lazima uweke nguzo maana zinarefuka sana, ila hizi nyanya fupi sio lazima uweke nguzo...embu nikuulize kwa nini dumila mnalima nyanya lakini hamziwekei nguzo ili mnyanya usimame na na hii itasaidia matunda ya nyanya kuwa hewani .kwa kufanya hivi sidhani kama kuna nyanya hata moja inaweza kuharibika
Sio ugonjwa huo
Hili ndo tatizo hasa. Kitako kinakakamaa. Dawa yake ni hipi mkuu?
Hamwagii maji ya kutoshaHiyo ni ukosefu wa calcium,umetumia mbolea ya can??
Pili vipi maji unanyesha ya kutosha???
Piga hiyo label upande wa instructions nisome nikujuze au label haina instructions zozote???
View attachment 700975View attachment 700976 hiyo sehem ya vegetables imeandikwa 1.0 - 1.5 L/Ha use approx 600 - 800 | water/ ha. Nimeshindwa kuelewa kabisa hapo japokua nimeenda kuulizia niliponunua wamenambia nipime mls 35 kwa solo moja
Hiyo ya hekta moja 1.0 liter igawanye kwa 2.5 upate kwa ekari moja,ni mls 400 kwa ekari. Sasa maji ni 600 kwa hekta hivyo ni 600/2.5=240
Hivyo kama maji ni 240 means ni solo za lita 20 zipatazo (240/20) 12
Dawa kwa ekari ni 400 gawanya kwa solo 12 ni (400/12)= 33 kwa solo la lita 20 so hata 35 sio mbaya sababu kuna ratio kubwa na ndogo hapo
Nashukuru sana kiongozi
Zero6seven91three1zero6eightNaomba namba kiongozi
Wakuu ninasumbuliwa na ugonjwa wa mnyauko kwenye shamba langu la nyanya.
Msaada tafadhali. Nyanya ziko stage ya matunda
Hakuna mtaalamu wa kilimo hapa mkuuKwa hapo itakua mnyauko bacteria au fungus,vipi kuna mtaalam wa kiliko karibu na wewe aje akutazamie ni upi haswa ili upate uhakika kwanza
Wakuu ninasumbuliwa na ugonjwa wa mnyauko kwenye shamba langu la nyanya.
Msaada tafadhali
Nyanya ziko stage ya matunda
Asante mkuu. Ngoja nitafute hiyo dawa madukani.Mkuu jaribu kupuliza copper oxychloride au copper hydroxide.
Baada ya mavuno usirudishe tena nyanya hapo, choma masalia yoote na panda vitunguu au zao jingine.
Huu ugonjwa huwaga unaambukiza mkuu, na ukizubaa utasambaa shamba zima!!Wakuu ninasumbuliwa na ugonjwa wa mnyauko kwenye shamba langu la nyanya.
Msaada tafadhali
Nyanya ziko stage ya matunda
Hakuna mtaalamu wa kilimo hapa mkuu