Jifunze kilimo cha nyanya

vzr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hivi majani ya nyanya kuungua msimu wa mvua husababishwa na nini?
maji Yale ya mvua au kuna wadudu wanaoshambulia kipindi mvua ikianza?

Na dawa nzuri ya kuzuia kuungua ni ipi?
 

Ahsante sana mkuu nimepata kitu
 
Mzee msaada number zako nataka nilime nyanya mwezi huu
 
Msaada number yako tukikwama tukutafte
 
Mm ni mkulima wa nyanya na mpunga kijiji cha mbigili,dumila mkoani morogoro
wakulima wenzangu wa nyanya tubadilishe uzoefu kilimo cha nyanya kuhusu mbegu,mbolea,magonjwa,madawa na masoko
karibuni sn
Huu uzi nimeusomaa kwa siku 4 aiseeeee....Nyanya Ninyanyue tu uwezi ninyanyasa.......january naingiaaaa shambani rasmi tukutane sokoni march
 
Mm ni mkulima wa nyanya na mpunga kijiji cha mbigili,dumila mkoani morogoro
wakulima wenzangu wa nyanya tubadilishe uzoefu kilimo cha nyanya kuhusu mbegu,mbolea,magonjwa,madawa na masoko
karibuni sn
naomba kama inawezekana unitumie hilo kopo la mbegu za assila na namna nzur ya kusiha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…