Jifunze kilimo cha nyanya

Mkuu yaani kwa michumo yote box zinaweza kupatatikana kiasi gani
 
Mkuu kwanza nitagulize shukurani zangu za dhati kabisa kwako na wengine walioshiriki kuchangia kwenye uzi huu hai tangu 2017, sasa 2020 na miaka mingi ijayo.
Leo asubuhi nimeamka nikaingia hapa
Business Ideas, Opportunities, Inspiration and Success Tips for African Entrepreneurs - Smallstarter Africa huyu ni mnaigeria anachambua sana mambo ya ujasiria mali hasa barani africa. Nikasoma chain value ya zao la nyanya "NIKAHAMASIKA SANA"
Nikaingia jamii forum niangalie tips zinazo elezea kilimo cha Nyanya, safi sana sijtumia nguvu sana uzi huu hapa umesheheni madini sana.
Mimi nimhanga wa awamu ya tano kwenye kupata kazi, toka leo naweka plan ya kuingia kwenye hiki kilimo.
Naombeni wapendwa kwa kuanza na ROBO HEKA na hitaji kiasi gani? au kwa mchanganuo huu
Katika:-
-Mkoa/wilaya mzuri kwa maana ya ardhi pamoja na upatikanaji wa masoko
-Kukodi robo heka na maandalizi ya eneo mpaka kupanda
-Mbegu nahitaji gm ngani na aina ipi ya kisasa itakuwa nzuri
-Gharama ya mashine ya umwangiliaji na mipira yake
-Gharama ya mfuta kwa kipindi chote mpaka navuna
-Msimu mzuri wa kulima ili kuwa na uwezekano mkubwa wa kupata soko zaidi kwa bidhaa hii
- Na gharama zingine najua muliopo kwenye hii kazi mnajua mengi.
Pia naomba kuunganishwa kwenye Group la Whatsapp la kilimo cha Nyanya Namba yangu
0759 071 297
Ahsanteni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa hii. Naomba kujua mbegu ikisiwa nachukua muda gan mpaka kupandwa? Na je makadirio ya gharama za mpaka kuvuna inaweza kuwa sh.ngap kwa robo heka? Asante.
 
Nami nafikilia kulima kilimo hicho
Nami nafikilia kulima kilimo hicho
kilimo cha nyanya ni kizuri lakini ni kilimo chenye changamoto kubwa sana…ninachokushauri anza kwanza na bustani ndogo ya nyanya nyumbani kwako….ukimudu kuihudumia bustani tafuta eneo kubwa...ukikurupuka kwenye kilimo cha nyanya utajikuta unapata hasara.
 
Mada nzuri sana.
 
Huu Ni ushauri wa kiuzoefu, well said. Kila kitu unahitaji ujifunze kwanza, then utanue kidogo kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemjibu Vema kabisa
 
Duuh, nilichangia siku nyingi sana ila sasa post zimeshoot sana mpaka 800+. Hii ni kwa jinsi gani watu wana nia na uchu wa kuingia kwenye kilimo hiki.
Nami nikiungwa kwny group itakuwa vyema. 0712310605.

Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…