Jifunze kitu hapa👇👇

Jifunze kitu hapa👇👇

Joined
Nov 16, 2020
Posts
54
Reaction score
84
Vijana wengi tunaona maisha magumu sana sio kwamba hatujitumi, hapana. Ila shida ni kutaka kujilinganisha na mafanikio ya watu waliokizi umri wa utafutaji, ingawa pia wapo tunajilinganisha na rika letu, hata hivyo tunasahau historia au hali ya uchumi wa familia zao

Ninachoamini kipi? Kwangu naamini ili kufikia hatua fulani katika maisha ni lazima upitie hatua nyingi ndogo ili kufikia pakubw. Ina maana kwamba kuanza kufanya jambo kidogo kidogo mpaka kufikia lengo.

Usitamani au kutaka kuwa na gari pamoja na nyumba kwa pamoja kwa kipindi hicho ukijifananisha na mjomba au watu waliokuzidi umri kwani hata wao hawakupata katika umri wako kwa sababu nyingi zinazotutofautisha.

Hivyo vitu vyote vinahitajika, ila jiulize mzazi wako alipata vitu hivyo kwenye umri wako? Kama jibu hapan basi anza taratibu tutafikia walipo fikia wakubwa zetu na kuwazid pia.
Asante sana wakuu
FB_IMG_16463323647604146.jpg
 
Kikubwa nawahusia vijana wote, tafuteni mali mkiwa na nguvu na uhuru, i mean ukiwa mwenyewe hapo unakuwa na nafasi kuamua ule, ulale, upange geto, uishi, ufanye nini ukiwa wapi, hii inakupa nafasi kutunza pesa.

Huwezi kunielewa endapo huwezi kutoka hapo ulipo ili upate exposure nje na kwenu kimkoa, wilaya au bongo land, toka tafadhali njoo nje upambane utunze shs ili ufanye makubwa kwa wakati wako.

Jamaa anakwambia nimezoea Arusha siwezi kutoka, pumbavu sana, ngoja uchapwe na maisha then ukamlilie mjombako kwenye boma!.
 
Kikubwa nawahusia vijana wote, tafuteni mali mkiwa na nguvu na uhuru, i mean ukiwa mwenyewe hapo unakuwa na nafasi kuamua ule, ulale, upange geto, uishi, ufanye nini ukiwa wapi, hii inakupa nafasi kutunza pesa.

Huwezi kunielewa endapo huwezi kutoka hapo ulipo ili upate exposure nje na kwenu kimkoa, wilaya au bongo land, toka tafadhali njoo nje upambane utunze shs ili ufanye makubwa kwa wakati wako.

Jamaa anakwambia nimezoea Arusha siwezi kutoka, pumbavu sana, ngoja uchapwe na maisha then ukamlilie mjombako kwenye boma!.
[emoji3577][emoji3577][emoji3577]
 
Back
Top Bottom