Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂🤣😁😁😁Inatakiwa tuwe tunawapa hata milioni 5 na sio afu tatu 😂😁
Na sanamu lake lijengwe Arusha, Mwanza na Dar.Upewe ulinzi 😀
Ni kweli kabisa.Juzi kuna mtu nilikuwa namwambia kwamba hadi mwanamke akusaliti ni lazima kuwe kuna ufirauni umemfanyia, otherwise, wanawake mko loyal sana kwa wanaume wanaowapenda na kuwathamini.
cc lukasi mashamba.Kunywa soda nakuja kulipa
Tokea may ianze huu ndo uzi mzuri kwangu
Happy New Month to you🥂
[emoji23][emoji23][emoji23]Siyo Chattle binti mpole? [emoji16][emoji16]
Acha ubishi basi we kijana!!Hawezi kutushurutisha. Ameshauri tu.
Kwani yeye hawezi kuwapa hela?
😁😁😎😎😂😁
Kwanini tena mkuu [emoji23][emoji23]Mtoa mada usikatize mtaani petu[emoji57][emoji57][emoji35]
Single mama mwandamizi [emoji23][emoji23][emoji23]Ukishamtumia hiyo hela anaenda kumgawia mpenzi wa moyo wake. Enzi nikiwa mpumbavu sana nilishawahi kumpeleka shopping ya nguo mwanamke niliyempenda ila jioni yake akazivaa zile nguo na kutoka na mpenzi wa moyo wake. Niliumia sana. Bahati nzuri KARMA huwa inasahau address ya CCM tu... huyo manzi kwa sasa ni single mama mwandamizi.
Who cares [emoji57]You buy her attention, she's sucks bro's dick for freeeeeee!
[emoji23][emoji23][emoji23]iyo miamala mizito sana, miamala yangu ni 20k
Kuna kafeeling kanakuja aisee 😀😀Na sanamu lake lijengwe Arusha, Mwanza na Dar.
[emoji848][emoji848][emoji848]Hujawajua Wanawake, kadri unavyokua utaelewa.,.!
Nini laki 3 na maneno matamu...!
Mnunulie Mwanamke Mwezi uwe Mali yake, mpeleke Paris, Norway kila week, mpelekee Moto mpaka huko chini kuwe kunatoa Moshi..
Lakini Mwanamke wako ama Mke wako anaweza kukubebea Mimba ya Muuza Genge.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi waosha magari tunakoment wap
Hapana, hizo utakuwa unakunywa kidogo kidogo hata mwezi mzima. Zikiisha useme tuongeze zingine.Mkuu nisije nikazima tu na haya mapombe [emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]Watu wenye midevu like zenu za nini au na nyi mnataka mpewe hela mgongwe