Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Halali nyie wanawake muwe matajiri pamoja nawewe mleta uzi

Tukiwa watano ,tukimtumia kwasiku ,unaenda kununua boti ya uvuvi na chenji inabaki
 
Halali nyie wanawake muwe matajiri pamoja nawewe mleta uzi

Tukiwa watano ,tukimtumia kwasiku ,unaenda kununua boti ya uvuvi na chenji inabaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe mpe hela bwana!! Acha porojo nyingi😂
 
Yaani ni ajabu, yamewatoka kweli😂😂😂
 
Huu uzi una watu wake, wanajulikana, lazima wawepo ili kuusherehesha, wakikosekana hao huu uzi ni batili. Ngoja nianze comment moja moja.
😂😂😂😂 kwendaaaaa!
 
Tusamehe dada ni makasiriko tu ya kukosa hela. Imagine mwezi mzima sijashika laki halafu naona mtu anahonga laki mbili lazima nishangae.
 
Tusamehe dada ni makasiriko tu ya kukosa hela. Imagine mwezi mzima sijashika laki halafu naona mtu anahonga laki mbili lazima nishangae.
Uchoyo hata haukupendezi😂
 
Hayo ni madhara ya kuvutia bangi chooni unakua na mawazo ya mavi mavi tuu upuuzi mtupu 🚮🚮
 
Tusamehe dada ni makasiriko tu ya kukosa hela. Imagine mwezi mzima sijashika laki halafu naona mtu anahonga laki mbili lazima nishangae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa hiyo hizo Pesa tunakwenda kuziokota halafu tunawatumia tu wake zetu?
Tulichawahi kuwatumia hizo pesa mama zetu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…