Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

Nimtumie af akatumie na masela zake sio
 
Hii hoja Yako alikuwanayo DR MWAKA! Miaka 2 baadae alipigwa na kitu kizito, wake zake alikuwa anawapatia Dollar πŸ’° na kupost kama wewe!
Ushuhuda mwingine MASANJA MKANDAMIZAJI alikuwa na hizo kauli kama zako nae akapigwa na kitu kizito Hadi Leo hii ameacha kupost upuuzi wa kumsifia mke wake Kwa kujiaminisha kuwa Pesa itamfurahisha mwanamke na kufanya atulie na wewe,
Mwingine ni NIKI WA PILI nadhani Leo hii akikusikia unaongea hayo maneno Yako atakuona ni mpuuzi!
 
Na Evidence zipo ila wakuu wanakaza fuvu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwajui hawa viumbe, matajiri wote ndoa zao hazina amani au zimevunjika
 
Na Evidence zipo ila wakuu wanakaza fuvu tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Alafu hakuna mtu alikuwa anakera kama MASANJA MKANDAMIZAJI na NIKI II Kila kukicha post za wake zao na kuwaponda vijana, Sasa hivi Kiko wapi? Mwanamke utampa Pesa ataitaji muda wako ukomnyima anagongwa na Bodaboda kwakuwa hana gari, ukimnunulia gari atembelee atagongwa na fundi magari garage au derevawake.
 
Braza "punguza asiraaaa"
Your browser is not able to display this video.
 

Anijitafutie zake mwenyewe azalishe
Mali ajipatie kipato.
Wanawake wabadilishe namna yao ya kufikiri .
Ndoa sio mbadala ya ajira.
Mapenzi sio ajira.
Sote tuna wajibu wa kufanya kazi tuzalishe mali.
 


Tangu enzi za mababu sifa kubwa ya mke ni uwezo wa kuzalisha mali.
Kufanya kazi.

Binti akionekana ni mvivu goigoi haolewi ng’oo πŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Jf kila mtu anahonga kuanzia laki. πŸ˜‚ πŸ˜‚. Hii nchi lazima ni force kuihamia mwaka huu na sijui iko wapi, lakini kama ni hapa hdpa bongo nakataa aisee.
Kaka mm nliwahi kuwa na demu ofcouz ni malaya mbulu arusha nkawa nadate kula mzigo akawa anachomoa .mpaka nkabidi nimfanye mshikaj ili walau nile marafiki zake .siku jamaa yangu kaja ntembelea akamuelewa demu kaniuliza nipige nkampa permit nikijua hatoboi.jamaa alipiga usiku huo huo wakati mimi nimeliwa si chin ya mi 3 na miezi ni 6.nkabidi nikapate shule kwa jamaa angu au mm dhaifu.
Jamaa akaniambia siri hii na leo naomba ujue na naisisitiza
1.Likija swala la kuhonga hakuna nyingi wala ndogo ni uwezo wako . Jamaa skuile alimuhonga laki 3 cash asubuhi a akampa laki cash .mm natoaga miaka hiyo 20 hadi 40.kaka achana tu na jf ukwel mwanaume anahonga akitaka mzigo sana na mqrafiki huww tunashusha ukwel
2ukiwa unahonga kidogo unapoteza muda sana .
Asante
 
Pesa haina jinsia, sasa unadhani jinsia yangu itakusaidia nini? [emoji23][emoji23][emoji23]

Tafuteni pesa vijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Ongezea na MC Pilipili
 


Afadhali ungesema mama yako mzazi.
Mke au hawara sio ndugu yako.
Tena huwezi amini anaweza kukugeuka akawa adui yako.
Akataka hata kukuua kabisa.
 

Jali wazazi wenu kila wakati.

Wanawake hao wamekuja kuchuma Pesa na mali tu .
Ukikosa kuwa na kazi na Hela ndipo utaanza kujua rangi zake halisi.
Ataanza kukutafutia vijisababu na visingizio ili muachane.
Kama kuna kitu mgawane asepe πŸ‘ŒπŸ‘Œ
 
Huyo ni malaya alikuwa anauza na wewe hujui kuwa anauza unatoa hela ambayo haifikii dau lake.
Mwenzio kaja katoa hela nyingi kuliko dau la huyo Malaya ndio maana alipewa siku hio hio.
Muulize rafiki yako bado yuko nae na anatoa hizo laki 3 kila siku?
 
Halafu nyinyi wanawake acheni kuyumbisha vijana wetu. Nyuzi nyingine mnasema MWANAMME KAMA HUMPENDI UNAMUOMBA HELA TU HADI AKOME'
Hao waliosema hivyo walikuwa ni wanaume wenye id za kike. Ogopa matapeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…