Jifunze kumpa mwanamke wako hela bila sababu, utanishukuru baadaye

As
Asee😃😃
 
Sio pesa tu, kuna dogo hapa mtaani kwetu anafanya kazi mashineni(ya kusaga nafaka) anatoka na jimama (single mom with 2 kids ) kwa kulihonga kisado cha unga tu, anachofanya dogo yeye ni kukusanya unga kidogokidogo kwa kuibia wateja, wizi anaotumia ni ule wa kutokung'uta lile pipa linalovalishwaga kipande cha suruali, mpaka kisado kinajaa siku mazaa akitaka anapewa, basi dogo anakwambia akitaka mbususu anapewa muda wowote na maza kakolea vibaya mnoo
 
 
Hahahahahahahaa nyie watu hapana
 
Duh! [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Yaani una 2.1m halafu unamtumia mtu 270,000/- huna akili
Hiyo ni mojawapo ya vyanzo vyangu mkuu, tena pesa iliyoko kwenye simu kwa ajili ya dharura ndogondogo.

Nina akaunti nyingine EXIM, NMB na EQUITY.

Sasa you can imagine, nikuunganisha vyanzo vyote hivi naweza kuwa na jumla ya sh ngp!

Nadhani mpk hapa ni lazima ukiri kwamba wewe ndio huna akili.
 
Kuwa na akaunti kwenye benki nyingi sio kuwa na hela
 
Kuwa na akaunti kwenye benki nyingi sio kuwa na hela
Sawa [emoji1][emoji1]

Nimegundua nabishana na masikini wengi sana humu wenye husuda na wivu, badala ya kuomba michongo ya kupata pesa na wenyewe wakue, wao wanashindana na sisi [emoji23][emoji23][emoji23]

Ni madogo 2 tu so far ambao wamejua kwamba watu kama sisi tunaweza kuwa msaada wakatucheki PM, na soon wanaenda kusimama kwa miguu yao wenyewe.
 
Au sio
 
Nyie wapeni wanawake zenu pesa wakalipie lodge tuwakojoze vzuri... Maana nyie mna amini kuwapa pesa ni kuwaridhisha... Sisi tunawakojoza na pesa wanatupa...
 
🥂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…