Jifunze kumuacha aende

muache aende ,asee ni ngumu balaa co rahc kama neno lilivy as me no yake nimefuta ila kichwan ipo nateseka hapa nimekuwa mfungwa
 
mimi siwezi kuacha aiseee eti nimuache aende labda aniache yeye niende
haha kumbe hujaelewa je mfano ww dem anazngua kila cku ata ujitume vp yy hatunz kumbu kumbu anasahau huyo ni wa kumuacha aende
 
nilimuacha aende baadae akarudi,nikamsamehe.
leo ameniacha niende na mimi nimeenda
kama mm sema nimeenda kroho upand nataman ata anipigie cm japo hajatulia sema itakuwa umackin umechangia na mm baada ya hapo nimeelimika cingii in relation kama cna hela watajaninyang'anya tonge tena
 
haha kumbe hujaelewa je mfano ww dem anazngua kila cku ata ujitume vp yy hatunz kumbu kumbu anasahau huyo ni wa kumuacha aende
wewe ndio ujaelewa....mimi sijui kuacha mpaka niachwe mimi
 
Nirahisi kusema ila kutekeleza hilo jambo nichangamoto esp. unapompenda mtu kwa dhati
 
Ni bora kumwacha aende maana maisha ni mafupi kutwa nzima kulalamika unaumizwa muda wakutabasamu na kufurahi ni mchache kuliko wa kuumia na kulia
Huna appriciation hakuna zuri amabalo umeona umefanyiwa kila siku ni lawama na kusemea maneno ya hovyo
kutwa kujisifu kuwa hapa huchomoi kwakuwa wajiona ni mzuri na bora kisa wanawake wanakulilia nje
kwako kila siku ni kuna vitu vya wanawake mara kanga,mtandio shower cap,ky jelly ukiulizwa wajibu jeuri
majibu ni yamkato na ya hovyo mtu bado yupo na wewe
ukiambiwa 'Ilove you ,I miss you unaguna na kusema makubwa ,ukipigiwa simu sentensi ya kwanza ni unasemaje , matusi na maneno ya shombo ni kawaida kwako kuyatoa .
OOOGH!Nenda baba nendaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…