Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bujibuji theorem
sina maana mbaya mkuu kama ndugu zetu wa zamani almaarufu kwa jina la wahenga walivyonadi Nyumbani ni nyumbani[\u] pia walisema Mcheza kwao hutuzwa[\u]Jamaaa una akili vizuri na mada zako ziko poa ila tatizo ni jina unalotumia K NI K duh sisi wachungaji litakwaza kidogo
Kinjikitile "Bokero" NgwaleAmani itawale katika VIFO vyao..
Mkwawa ndio alijilipuaga......Kinjikitile "Bokero" Ngwale
Ahsante MKUU kwa kunikumbusha...Mkwawa ndio alijilipuaga......
HahaMzee umezibua mfumo wangu wa ubongo......
Kipaji chako kulaMi naona umri unasonga tu alafu kipaji changu bado sikijui
Kama ina ukweli vilepia cha kuongezea kuhusu huyo jamaa alikua ana amini katika nadharia ya trans migration of souls yaaani kwamba binadam ni muunganiko wa mwili na roho na pia roho inakua ni mtuwa wa matakwa ya mwili na pia roho hupata uhuru wake pale mwili unapokufa then roho hiyo hua migrated na kupandikizwa katika mwili mwingine kisha maisha yanendelea kuna siku moja alikua na wanafunzi wake akapita sehem moja kisha akaangusha kilio kikubwa baada ya kuulizwa analia nini akasema anakumbuka kua aliwahi kuuwawa katika eneo hilo wakati alivyokua katika mwili wa warrior fulani miaka ya nyuma......
pythagoras ukiachana na mahesabu pia alikua mtaalam wa spiritual trainings hasa mambo yanayohusiana na Ajmi Chakra.
we bwanaKipaji chako kula
Wabheja sana Mkuu.Sawasawa mkuu Dahafrazeril nadhani nimekuelewa vema
Umeandika vyema Mkuu, n'na kadhaa ya kukuuliza!Mkuu umenikumbusha harakati na hekaheka za Mwana FALISAFA (Philosophy) mmoja katika nchi ya TANZANIA....
Huyu mtu alipambana VITA kipindi hicho na WAKOLONI wenye Silaha za MOTO...
Alikwenda/Aliingia Vitani akiwa na Askari wake WATIIFU aliowajaza HARI na IMANI wakiamini RISASI za MOTO zingekeuka Maji...
Katika VITA hiyo walikufa WAAMINI/WATIIFU wengi, na ilipo fikia kukamatwa kwake MWANA FALISAFA huyu....
Alichukua hatua ambayo baada ya yeye MAJESHI mengi ULIMWENGUNI yaliiga/yalifuata KITENDO chake kama sehemu ya MAFUNZO katika MEDANI YA VITA....
Huyu mtu ALIJICHUKULIA uhai wake.
Namaanisha ALIJILIPUA kwa RISASI kabla ya kukamatwa na ADUI...
Naomba nikumbushwe kati ya MIRAMBO...na KINJEKETILE...
Amani itawale katika VIFO vyao..
Hii imekuwa kama TABIA sasa...Umeandika vyema Mkuu, n'na kadhaa ya kukuuliza!
Kwanini unachanganya herufi kubwa na ndogo katika paragrafu zako?.Unakusudia au?.
Neno kama falisafa badala ya falsafa ni muendelezo wa makusudi au?.Pia kwanini unatumia nukta zaidi ya moja kila panapostahili nukta moja?.
Kumradhi kwa hili.
All the best.Hii imekuwa kama TABIA sasa...
Nimejizoesha na kujitambulisha kwa AINA hii ya Uandishi na wapo BAADHI ya watu wamedai KIFURAHISHWA...
Ni mazoea tu MKUU....
Na mimi naifurahia SANAA hii...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23]Mi naona umri unasonga tu alafu kipaji changu bado sikijui
[emoji23]Jamaaa una akili vizuri na mada zako ziko poa ila tatizo ni jina unalotumia K NI K duh sisi wachungaji litakwaza kidogo