Jifunze kupitia pythagoras

Jamaaa una akili vizuri na mada zako ziko poa ila tatizo ni jina unalotumia K NI K duh sisi wachungaji litakwaza kidogo
sina maana mbaya mkuu kama ndugu zetu wa zamani almaarufu kwa jina la wahenga walivyonadi Nyumbani ni nyumbani[\u] pia walisema Mcheza kwao hutuzwa[\u]
nami jina langu namaanisha KWETU NI KWETU na kwa ufupisho K ni K
 
Nitakumbukwa sana na watoto wa kike hapa duniani[emoji23][emoji23]
 
Kama ina ukweli vile
 
Umeandika vyema Mkuu, n'na kadhaa ya kukuuliza!

Kwanini unachanganya herufi kubwa na ndogo katika paragrafu zako?.Unakusudia au?.

Neno kama falisafa badala ya falsafa ni muendelezo wa makusudi au?.Pia kwanini unatumia nukta zaidi ya moja kila panapostahili nukta moja?.

Kumradhi kwa hili.
 
Hii imekuwa kama TABIA sasa...
Nimejizoesha na kujitambulisha kwa AINA hii ya Uandishi na wapo BAADHI ya watu wamedai KIFURAHISHWA...

Ni mazoea tu MKUU....
Na mimi naifurahia SANAA hii...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hii imekuwa kama TABIA sasa...
Nimejizoesha na kujitambulisha kwa AINA hii ya Uandishi na wapo BAADHI ya watu wamedai KIFURAHISHWA...

Ni mazoea tu MKUU....
Na mimi naifurahia SANAA hii...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
All the best.
 
Wadau hii theory niliisoma ili tu nijibie mtihani nipate marks basi kwa mwenye kufahamu angesaidia japo kidogo kuelezea application yake kwenye real life
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…