Jifunze Kutengeneza wateja wako mwenyewe, Wateja ndio Msingi wa biashara yako

Jifunze Kutengeneza wateja wako mwenyewe, Wateja ndio Msingi wa biashara yako

Nime type mpk mabega yanauma asee
Mada nzuri ila kuna sehemu zingine unatuingiza chaka

unaona anaetegea wateja wa muda fulani au siku fulani ni kilaza?.

ni suala la fursa
Mfano uwe na mgahawa/muuza chakula maofisini mjini posta no way utegemee upate volume ya watu 24/7.,utaipata 12/5 tena kwa breakfast and lunch na market ni kubwa tu
Biashara gani hio utai'run 24 hrs?.

kila kitu kina faida na hasara
 
Mada nzuri ila kuna sehemu zingine unatuingiza chaka
Kawaida yangu ni kuingiza watu chaka Lady (kwa maono yako)
unaona anaetegea wateja wa muda fulani au siku fulani ni kilaza?.
Yes According to me ni kilaza mzuri tu,otherwise awe ni mtu mwenye biashara nyingi nyingi na sio awe anategemea hiyo biashara ya kuvizia wateja wa msimu.

Kuna wafanyabiashara wenye biashara nyingi (wapo imara tayari) hawa sina shida nao kwasababu hawategemei income ya sehemu 1,wafanyabiashara hawa hawawezi kuacha fursa impite,hawa hawaoni shida kuzunguka hata nchi nzima wakitafuta fursa ya kile wanachokifanya.

Mfano no.1

Harmonize (konde boy mgahawa)

konde.png


Huyu ni mfanyabiashara mkubwa lakini angekua mdogo kwa biashara anayofanya tungemuita (BABA NTILIE),huyu hana shida ya mtaji my dear,huyu haungi ungi,yuko njema. Anazunguka na gari anatoa huduma.

Mfano.no 2

Biashara za Minadani

sijui kama umeshawahi kwenda mnadani lakini kama tayari utakubaliana namimi kule si wote ni wafanyabiashara wadogo unga unga mwana,kule kuna wafanyabiashara wenye capital nzito wanaenda minadani,anavyoenda mnadani sio kwamba hiyo ndio biashara anayoitegemea na kama ujuavyo minada haikai sehemu 1 leo iko hapa kesho iko pale lakini kote huko utawakuta hawa ma giants wapo minadani.

Jiulize je hao machinga wadogo,mama ntilie wadogo wadogo stand zikibomolewa au zikihamishwa huwa wanakuaga ktk hali gani? waulize machinga waliojengewa Machinga complex walipofukuzwa barabarani waende kwenye lile jengo nini kiliwakuta?

Uliza wale waliowekewa X frem kisha wakahama hizo frem za barabarani walipohamia frem zingine biashara zao zilikua ktk hali gani? kusanya data za hao watu kisha rudi soma tena Comment yako ulionijibu kisha utaniambia kati ya mimi au wewe nani anataka kuingiza wenzake chaka.

Suala la kukimbizana na Fursa linakuja baada ya kusimama na kuimarika ktk biashara yako,hao kina harmonize,kina Bakhressa,kina MO,na wengineo Walijiiimarisha wao kiuchumi kwanza kisha ndio wakaanza kukimbizana na fursa zinazokuja mbele yao.

Una ka biashara kamoja hako kabiashara ndio unakatagemea kakulishe kakuweke mjini kakusomeshee watoto halafu una risk eti unaenda kukaweka pembeni ya Kusanyiko la watu ambalo muda na siku yyte lile kusanyiko litapotea,haupo serious dear.

ni suala la fursa
Mfano uwe na mgahawa/muuza chakula maofisini mjini posta no way utegemee upate volume ya watu 24/7.,utaipata 12/5 tena kwa breakfast and lunch na market ni kubwa tu.

Sina shida na mtu anaefanya kazi posta yeye kama anaona eneo lake linamfaa na idadi hiyo ya wateja inamtosha ni vizuri tu kila mtu aangalie upande wake,wewe kama hutaki wateja 24/7 na unaridhika na wateja wa 12/5 ni vizuri kabisa yani tena vizuri kwasababu malengo yangu na yako yametofautiana,sijui plan zako kwa miaka miwili ijayo na wala hujui plan zangu kwa miaka miwili ijayo kwahyo ishu ni kila mtu aangalie TARGETS zake.
Biashara gani hio utai'run 24 hrs?.

Kama huijui uliza uambiwe ila usiseme "biashara gani"! biashara za ku run 24hrs zipo kibao kasumba ya watu kufunga biashara saa 12 jioni hadi 6 usiku maduka yamefungwa ni kutokana na tamaduni za kivivu watu walizokuzwa nazo tangu utotoni.

kama hadi leo hujawahi ona mahali popote bango limeandika Service 24 hours na bado unadiriki uliza eti ni Biashara Gani ya kufanya 24 hrs Utakua haupo serious na swali lako.

kila kitu kina faida na hasara
Atleast umemaliza vizuri na hiyo Line.


Namalizia kwa kusema TENGENEZA WATEJA WAKO MWENYEWE uwe na uhakika na kesho yako,kuna watu ofisi wanafungua saa 6 mchana wanafunga saa 1 usiku,hao watu usiwaige wana wateja zao Permanent wapo pale,wewe jifanye unakimbizana na fursa wakati corona imekuja mwezi tu Vilio kila kona na hapo hatujapigwa Lockdown,tungepigwa je si ndio makamasi yangewatoka watu?

Jifunze kutengeneza wateja na usiingize watu Chaka Asante kwa challenge ya comment yako inayotaka ingiza wengine CHAKA.
 
Kawaida yangu ni kuingiza watu chaka Lady (kwa maono yako)

Yes According to me ni kilaza mzuri tu,otherwise awe ni mtu mwenye biashara nyingi nyingi na sio awe anategemea hiyo biashara ya kuvizia wateja wa msimu.

Kuna wafanyabiashara wenye biashara nyingi (wapo imara tayari) hawa sina shida nao kwasababu hawategemei income ya sehemu 1,wafanyabiashara hawa hawawezi kuacha fursa impite,hawa hawaoni shida kuzunguka hata nchi nzima wakitafuta fursa ya kile wanachokifanya.

Mfano no.1

Harmonize (konde boy mgahawa)

View attachment 1609380

Huyu ni mfanyabiashara mkubwa lakini angekua mdogo kwa biashara anayofanya tungemuita (BABA NTILIE),huyu hana shida ya mtaji my dear,huyu haungi ungi,yuko njema. Anazunguka na gari anatoa huduma.

Mfano.no 2

Biashara za Minadani

sijui kama umeshawahi kwenda mnadani lakini kama tayari utakubaliana namimi kule si wote ni wafanyabiashara wadogo unga unga mwana,kule kuna wafanyabiashara wenye capital nzito wanaenda minadani,anavyoenda mnadani sio kwamba hiyo ndio biashara anayoitegemea na kama ujuavyo minada haikai sehemu 1 leo iko hapa kesho iko pale lakini kote huko utawakuta hawa ma giants wapo minadani.

Jiulize je hao machinga wadogo,mama ntilie wadogo wadogo stand zikibomolewa au zikihamishwa huwa wanakuaga ktk hali gani? waulize machinga waliojengewa Machinga complex walipofukuzwa barabarani waende kwenye lile jengo nini kiliwakuta?

Uliza wale waliowekewa X frem kisha wakahama hizo frem za barabarani walipohamia frem zingine biashara zao zilikua ktk hali gani? kusanya data za hao watu kisha rudi soma tena Comment yako ulionijibu kisha utaniambia kati ya mimi au wewe nani anataka kuingiza wenzake chaka.

Suala la kukimbizana na Fursa linakuja baada ya kusimama na kuimarika ktk biashara yako,hao kina harmonize,kina Bakhressa,kina MO,na wengineo Walijiiimarisha wao kiuchumi kwanza kisha ndio wakaanza kukimbizana na fursa zinazokuja mbele yao.

Una ka biashara kamoja hako kabiashara ndio unakatagemea kakulishe kakuweke mjini kakusomeshee watoto halafu una risk eti unaenda kukaweka pembeni ya Kusanyiko la watu ambalo muda na siku yyte lile kusanyiko litapotea,haupo serious dear.



Sina shida na mtu anaefanya kazi posta yeye kama anaona eneo lake linamfaa na idadi hiyo ya wateja inamtosha ni vizuri tu kila mtu aangalie upande wake,wewe kama hutaki wateja 24/7 na unaridhika na wateja wa 12/5 ni vizuri kabisa yani tena vizuri kwasababu malengo yangu na yako yametofautiana,sijui plan zako kwa miaka miwili ijayo na wala hujui plan zangu kwa miaka miwili ijayo kwahyo ishu ni kila mtu aangalie TARGETS zake.


Kama huijui uliza uambiwe ila usiseme "biashara gani"! biashara za ku run 24hrs zipo kibao kasumba ya watu kufunga biashara saa 12 jioni hadi 6 usiku maduka yamefungwa ni kutokana na tamaduni za kivivu watu walizokuzwa nazo tangu utotoni.

kama hadi leo hujawahi ona mahali popote bango limeandika Service 24 hours na bado unadiriki uliza eti ni Biashara Gani ya kufanya 24 hrs Utakua haupo serious na swali lako.


Atleast umemaliza vizuri na hiyo Line.


Namalizia kwa kusema TENGENEZA WATEJA WAKO MWENYEWE uwe na uhakika na kesho yako,kuna watu ofisi wanafungua saa 6 mchana wanafunga saa 1 usiku,hao watu usiwaige wana wateja zao Permanent wapo pale,wewe jifanye unakimbizana na fursa wakati corona imekuja mwezi tu Vilio kila kona na hapo hatujapigwa Lockdown,tungepigwa je si ndio makamasi yangewatoka watu?

Jifunze kutengeneza wateja na usiingize watu Chaka Asante kwa challenge ya comment yako inayotaka ingiza wengine CHAKA.
Sawa
Ila Ur right and wrong pia

1.especially ktk suala la masaa 24...una capacity to work 24 hrs? Biashara zote zinahitaji ku'run 24 hrs?

2.Na ku'assume watu wote wana mtaji na capacity/uwezo wa kufanya biashara zaidi ya moja na eneo zaidi ya moja wakati unajua 'lack of capital' ni issue pertinent...utaweza?

Suala la malengo ni issue nyingine...and maybe ni nzuri ku'work smart than working hard...u cant be a jack of all trades sote tunajua utakua a master of none
 
nimerudia mara ya pili kusoma hii thread. nikuulize ni jinsi gani ya kumaster kuzalisha/kutengeneza wateja wangu?. Ningeweza kupata majibu sehemu nyingine lkn napenda unijibu wewe sababu ndo mbeba maono
 
nimerudia mara ya pili kusoma hii thread. nikuulize ni jinsi gani ya kumaster kuzalisha/kutengeneza wateja wangu?. Ningeweza kupata majibu sehemu nyingine lkn napenda unijibu wewe sababu ndo mbeba maono
Umeshawahi kwenda mahali iwe dukani au popote pale kupata huduma kisha yule muuzaji ulivyofika tu ukamuona kama hana time na wewe? au umefika umemkuta anaongea na simu na badala aache simu akuhudumie yeye anajifanya kama hakuoni?

anamaliza kuongea na simu ndipo anakurudia wewe na badala hata akuombe samahani ya kinafki,anakukaribisha KARIBU anasubiri umwambie shida yako? umewahi?

au umewahi kwenda mahali ukakuta boss (achana na mfanyakazi) boss mwenyewe kbsa hana customer care nzuri yani yupo yupo tu anakukera mpaka hata unaamua uondoke na ughairi kupata huduma eneo hilo, umewahi?

unajisemea moyoni hawa/huyu kwa aina hii ya kujiskia hawezi kutoboa na hii biashara yake itamfia tu siku 1,lakini lile dua lako halijatimia hadi leo unapita ile ofisi ipo pale pale,ipo vile vile na inaendelea na zaidi maendeleo yanakua kwa kasi sana.

mfano mzuri ni wahindi! umeshawahi ingia maduka ya kihindi ukawaona wanavyoongelesha wateja,tena muhindi boss achana na mfanyakazi,umeshawahi ona walivyo?

hao woooooteeee na wale wahindi wabongo huku mitaani kwenye biashara zetu hizi za kawaida wenye dharau na wasio jua customer care unajua siri yao ni nini?

Wana wateja permanent ambao ni uhakika 100%,wana wateja wao ambao wakija hao au wakiingia tu utamuona anaaacha kila anachofanya anamsikiliza huyo mteja,wana wateja ambao akiingia tu ofisini wanaacha kila kitu wanamsikiliza tena kwa adabu zote.

Hao wateja ndio wanawafanya waishi mjini,hao ndio wateja wanawafanya walipe kodi za frem,hao ndio wateja wanao wafanya waendeshe magari ya fahari, hao ndio wateja wanaofanya wao waitwe ma boss,sifa zote hizo wanazipata kwasababu ya hao wateja PERMANENT.

ukiingia wewe ambae ndio kwanza kakuona leo anakuona kama kitu gani sijui,sasa tuachane na dharau zao,Leo sisi tuangalie sababu ya wao kuwa na dharau,sababu ya wao kujiona wao ndio wao na sababu hamna nyingine HAO NI RAIA WAFANYABIASHARA WALIOWEZA NA KUFANIKIWA KUTENGENEZA WATEJA WAO WENYEWE..

SI kazi rahisi kutengeneza hawa wateja lakini ukifanikiwa kuwatengeneza basi una uhakika wakuiona kesho na kesho kutwa kupitia biashara unayoifanya.

Kuna kitu umepata hapo au bado?
 
Umenena ila kuna pingamizi ambazo zipo nje ya uwezo wako. Labda nikukumbushe kale kamsemo " life is a game " Unaweza ukatekeleza yote lakini usitoboe!
 
Ujasiriamali unaendana na ku take Risk mkuu. Kama umepata location ni Stend, au popote pale ambapo unaona utavuna wateja wengi wewe weka biashara hapo ..muhimu kujifunza kila siku..na kuwa mtu wa kusoma nyakati zijazo.
 
Umenena ila kuna pingamizi ambazo zipo nje ya uwezo wako. Labda nikukumbushe kale kamsemo " life is a game " Unaweza ukatekeleza yote lakini usitoboe!
Uko sahihi,Maisha ni imani...

imani yako ndio itayokuponya...
 
Ujasiriamali unaendana na ku take Risk mkuu. Kama umepata location ni Stend, au popote pale ambapo unaona utavuna wateja wengi wewe weka biashara hapo ..muhimu kujifunza kila siku..na kuwa mtu wa kusoma nyakati zijazo.
ni kweli mkuu lakini jifunze kila siku kutochezea hela/mitaji ya ngama ulio utafuta kwa muda mrefu...

na kwa shida ni bora upoteze ila mtaji wako uwepo kuliko kupoteza uanze upya hata mtaji upotee wote pia...
 
Nipo Mkuu Tunaenda kama hatuendi mwendo wa kinyonga ...
Mkuu.shwarii...sasa mkuu..naomba utuandalie na ka topic ka how to sell your product....kwenye mazingira yetu ya bongo haya

Najua kuna templates nying za how to sell google na youtube...but...ziko too general

So kwa mzoefu kama wew..kwenye mazingira yetu ya bongo na jins wateja wa kibongo walivyo etc.....how to sell your product....

Itakua safi sana kiongoz controla.

Asante
 
Mkuu.shwarii...sasa mkuu..naomba utuandalie na ka topic ka how to sell your product....kwenye mazingira yetu ya bongo haya

Najua kuna templates nying za how to sell google na youtube...but...ziko too general

So kwa mzoefu kama wew..kwenye mazingira yetu ya bongo na jins wateja wa kibongo walivyo etc.....how to sell your product....

Itakua safi sana kiongoz controla.

Asante
Tuombe uzima mkuu...
 
Back
Top Bottom