mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,249
- 1,813
NOTE:
Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC.
sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji knowledge kubwa kutatua matatizo madogo madogo ndani ya PC yako.
Kumbuka kila kifaa kimeundwa na mfumo wake unavitu vidogo vidogo vinavyoendesha icho kifaa, sasa wamekiambia kifaa kwa kutumia lugha ya kifaa hicho kuwa kama kukitokea tatizo flani basi tatizo hilo litawakilishwa kwa code number flani.
Hivyo hivyo mtumiaji wa kifaa hicho ameundiwa software inayoweza msaidia kutatua tatizo la kifaa hicho bila kujua maana nzima ya code number flani, hapa namaanisha kuwa software hiyo ndiyo itatambua maana ya error code flani na kutatua au kupendekeza solution.
Sasa turudi hapa kwenye PC,
Watu wengi wamekuwa waking'ang'ana na google sio mbaya ila inamajibu mengi ya kila mtu ya uongo yamo, ya kweli yamo na vuguvugu yamo.
Sasa kama hauna knowledge utachagua na kuchagua, kujaribu na kujaribu lakini mwisho wa siku unaamua kutumia muda na nguvu nyingi kumbe ungemtumia fundi aliyemo kwenye PC yako ungemaliza mapematatizo lako.
Haujawahi kuta PC ina tatizo labda la network au graphic driver n.k, ukaamua kudownload software unayoamini itatarua tatizo na mwisho wake ulipoteza muda na mb au gb kadhaa?. Je, unaona sio tatizo?
Mwingine anapiga window kumbe tatizo RAM imakaa vibaya huoni kuwa unasumbumbuka na kupoteza vitu muhimu.
mfano: pc inakuambia error code flani pale unapofungua software flani baada ya kuinstall. tumia troubleshooting tool kucheck kama software hiyo ina match na OS yako kabla hauja unstall na kuinstall tena. Kumbuka software zingine zinachukua muda kuwa installed na kuwa uninstalled. Je, huoni hasara hapo?
mfano: pc haitaki kuunganishwa na wifi na wewe naye unaenda karuta au k'koo au unaanza tafuta driver na kila unayopakua inakataa kisa wifi na wakati unaweza kutumia troubleshooting tool kwa ajili ya network problem kwenye hiyo pc kwanini usianze na hiyo. Cheki mb zimeshapotea.
kuna wakati mwingine mambo mengine ni setting tu za PC wala sio driver n.k.
Mifano ni mingi acha nikomee hapa.
Troubleshooting tool ni built in software kwa window os, cheki kwenye pc yako pale kwenye window icon au alama ya window kisha search "Troubleshooting" hii ni software inayobeba diagnostic tools kadhaa, kwa hiyo unaweza click tool flani ili kukusaidia kutatua tatizo flani.
mfano ukiifungua hiyo software utakuta tool inaitwa "programs" hii itakusaidia kucheki problem zinazohusiana na program/software related issues na zingine ziko pale kama "hardware and sound" na "network and internet" na "system and security"
Ninaposema troubleshooting tool maana yake ni tool inayoweza kukusaidia kujua na kutatua tatizo lolote kwenye PC.
sifundishi ila najaribu kukufumbua macho ukae ukifahamu kuwa hauitaji knowledge kubwa kutatua matatizo madogo madogo ndani ya PC yako.
Kumbuka kila kifaa kimeundwa na mfumo wake unavitu vidogo vidogo vinavyoendesha icho kifaa, sasa wamekiambia kifaa kwa kutumia lugha ya kifaa hicho kuwa kama kukitokea tatizo flani basi tatizo hilo litawakilishwa kwa code number flani.
Hivyo hivyo mtumiaji wa kifaa hicho ameundiwa software inayoweza msaidia kutatua tatizo la kifaa hicho bila kujua maana nzima ya code number flani, hapa namaanisha kuwa software hiyo ndiyo itatambua maana ya error code flani na kutatua au kupendekeza solution.
Sasa turudi hapa kwenye PC,
Watu wengi wamekuwa waking'ang'ana na google sio mbaya ila inamajibu mengi ya kila mtu ya uongo yamo, ya kweli yamo na vuguvugu yamo.
Sasa kama hauna knowledge utachagua na kuchagua, kujaribu na kujaribu lakini mwisho wa siku unaamua kutumia muda na nguvu nyingi kumbe ungemtumia fundi aliyemo kwenye PC yako ungemaliza mapematatizo lako.
Haujawahi kuta PC ina tatizo labda la network au graphic driver n.k, ukaamua kudownload software unayoamini itatarua tatizo na mwisho wake ulipoteza muda na mb au gb kadhaa?. Je, unaona sio tatizo?
Mwingine anapiga window kumbe tatizo RAM imakaa vibaya huoni kuwa unasumbumbuka na kupoteza vitu muhimu.
mfano: pc inakuambia error code flani pale unapofungua software flani baada ya kuinstall. tumia troubleshooting tool kucheck kama software hiyo ina match na OS yako kabla hauja unstall na kuinstall tena. Kumbuka software zingine zinachukua muda kuwa installed na kuwa uninstalled. Je, huoni hasara hapo?
mfano: pc haitaki kuunganishwa na wifi na wewe naye unaenda karuta au k'koo au unaanza tafuta driver na kila unayopakua inakataa kisa wifi na wakati unaweza kutumia troubleshooting tool kwa ajili ya network problem kwenye hiyo pc kwanini usianze na hiyo. Cheki mb zimeshapotea.
kuna wakati mwingine mambo mengine ni setting tu za PC wala sio driver n.k.
Mifano ni mingi acha nikomee hapa.
Troubleshooting tool ni built in software kwa window os, cheki kwenye pc yako pale kwenye window icon au alama ya window kisha search "Troubleshooting" hii ni software inayobeba diagnostic tools kadhaa, kwa hiyo unaweza click tool flani ili kukusaidia kutatua tatizo flani.
mfano ukiifungua hiyo software utakuta tool inaitwa "programs" hii itakusaidia kucheki problem zinazohusiana na program/software related issues na zingine ziko pale kama "hardware and sound" na "network and internet" na "system and security"