Jifunze kwa awa vijana wa kiafrika ni matajiri wabunifu umri wao chini ya miaka 30

Jifunze kwa awa vijana wa kiafrika ni matajiri wabunifu umri wao chini ya miaka 30

Laki si pesa sijui kanga moko ni matatizo!! Soma elewa mada sio unakurupuka tu ili mradi ubishane ushazoea kutetea uozo wa chama baasi

Jinga kabisa hilo linadhani ndio litapata umaarufu. Kwa fake Id?
 
Naona baadhi ya watu wakiona jina la mchaga viroho huwa vinawauma sana,, hamuwawezi hawa jamaa,, wataendelea kuwa juu, so just join them... Period!!

Ukitaka kumjua mtu mwenye kabila lake utamjua tu lazma alisifie kama huyu punguani hapa juu kila unaonywa kuhusu udini na ukabila lakn kutokana na izo dvision 5 zenu mnakuja kusumbua hapa jf why usibakie kule kule mtandao w mapicha picha #instargram ...??
 
Unaweza kujifunza kitu kwa awa vijana wenye umri chini ya miaka 30 lakini kwa ubunifu na juhudi zao wamefanikiwa kuwa matajiri.



LORNA RUTTO,Mkenya
Ana miaka 28 ndio mwanzilishi wa ECO POST, kampuni inayotengeneza nguzo za fensi kwa kutumia mabaki ya plastiki, ikiwa ni mbadala wa kutumia miti. Eco Post inakusanya mabaki ya plastiki na kutengeneza nguzo za kuweka fensi.




slide_4.jpg



PATRICK NGOWI,Mtanzania
Ana miaka 28 ni mwanzilishi na mmiliki wa HELVETIC SOLAR CONTRACTORS. Ngowi alianz biashara akiwa na miaka 15 alipata mkopo kutoka kwa mama yake kwa ajili ya kuanzisha iyo biashara yake ambapo awali alianzia na biashara ya simu za kichina. Baadae aliamia kwenye hii biashara ya umeme wa jua haswa kwa maeneo ya kaskazini mwa Tanzania. Mwaka jana kamupuni ya Ngowi ilitengeneza dola za kimarekani millioni 3.


slideshow.slide5gk-is-124.jpg



EVANS WADONGO, Mkenya
Wadongo ana miaka 26 alibuni taa ya kutumia chaji ya mwanga wa jua inayoitwa ‘MwangaBora’. Ubunifu wake ulisaidia kupunguza kero ya kutumuia vibatar
i na chemli za mafuta ya taa sehemu za vijijini mwa Kenya.


NDK_9547.jpg



JOEL MWALE, Mkenya
Mwale ana miaka 20, anaendesha kampuni ya SKY DROP. Kampuni yake inazalisha maji ya kunywa yanayotokana na kukusanya maji ya mvua kuya-treat na kuuzwa kwa bei chee. Pia inazalisha na kusambaza bidhaa zinazotokana na maziwa.
111109062838-joel-mwale-1-horizontal-gallery.jpg



OLUWASENU OSEWA,Mnaijeria
Mwanzilishi wa mtandao wa Nairaland. Nairaland ndio forum kubwa Africa yenye memba (Active members) zaidi ya milioni 1. Kwa Naijeria mtandao wa Nairaland inatembelewa na watu wengi kuliko ata Wikipedia.
seun-osewa5.png

Uzi wako ni mzuri na una mafunzo but all in all jifunze kutofautisha kati ya entrepreneur and businessman/businesswoman.
 
Kama ni waanzilishi wa makampuni mbona wako wengi sana lakini hawatajwi.? Nenda Brela uone kuna maelfu ya makampuni ya watu mbona hawatajwi anatajwa ngowi tu? Forbes wanamaanisha VIJANA WENYE PESA sio makampuni. Kuna kampuni nyingi tu zina mtaji hata milioni tano haifiki. We bibi unajifanya unajua kila kitu kumbe zuzu tu. Hiyo bilioni 200 kubwa kwako kwa wengine ni hela ya mboga tu

Forbes hawamaanishi pesa tu wanamaanisha waanzilishi wa kitu tofauti na wameweza kukiendeleza.makampuni yakiyoanzishwa na vijana ni mengi sana na waweza kuta yana mafanikio kuliko hawa waliotajwa ila Forbes wamengalia kwamba Hawa ni waanzilishi wa kitu tofauti na mazingira Yao tukubali kitu kama kukusanya maji Ya mvua na kutreat na kuuza ni ubunifu maana yeye kaweza gundua ageuzaje mvua Kuwa faida kwake sie wengine twageuza mvua Kero Mie nna wasifu na kikweli wanastahili pongezi
 
Sidhani kama Kati yetu huku ndani kuna Mtu alishawahi fikiria kutengeneza nguzo za Umeme za plastic? Au kuzalisha solar energy to the extent Ya kampuni ya huyo ngowi Jamani lets not be haters maana waTZ we are such hater
 
Hizo takwimu wanachukulia wapi hapa Songea kuna kijana mmoja ana miaka 19 alipata madini aina ya saphire yenye thamani ya bilioni 200

mkuu soma mada, hapa anazungumizia wajasiria mali.
 
Back
Top Bottom