Siku ukiwa huru kufikiri utaacha kupotosha wengine.tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
Umeshalishwa ule mkate special na mchungaji wako?tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
kweli we pungaWaislamu duniani hawafiki bilioni moja labda uhesabu na waliokufa
Kule peponi nasikia kwa waislamu waliokwishafika kwamba kama unajua kusoma kur aan unapelekwa gesti ndani kuna mabinti saba wote mabikra. sasa sijaambiwa wanawake wakifika huko wanapewa kitu gani. hebu kwa aliyefika na kurudi atuhabarishe
kwamba ndo lugha ya peponikwa anaye penda namshauri ajifunze kwani ndiyo lugha ya peponi mimi ni muislamu na ninaamini katika hili na wala si hitaji ushauri wowote juu ya hili kwani katika imani ni kuamini na kufuata kama jinsi maandiko matakatifu katika qur an yanavyo nena ewe m.mungu nisaidie katika hili
Ungejua chanzo cha vita ya mashariki ya kati, usingesema hivyo.duh.kiarabu cha nin kwan?????kwao wanajilipua tu.very uncivilized.mabomu ya kuvaa,kuuana.jaman ivi ntapata nn kujua iyo lugha kama si shida.kamwambie samatha lee white na syria uko.au boko haram.khaa
Lugha ya peponiππππkwa anaye penda namshauri ajifunze kwani ndiyo lugha ya peponi mimi ni muislamu na ninaamini katika hili na wala si hitaji ushauri wowote juu ya hili kwani katika imani ni kuamini na kufuata kama jinsi maandiko matakatifu katika qur an yanavyo nena ewe m.mungu nisaidie katika hili
tatizo kuto kujua tu...ukichukua bible ya kiarabu kila walipoandika BWANA kwenye bible ya kiswahili basi kwenye bible ya kiarabu wameandika ALLAH.... ukisema allah sio mungu basi ujue unamkana mungu baba kwa upande wako.tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
Haina faida yoyote kujaza tu hard disk zanguNdugu zangu hii application ya simu, ya kujifunza lugha ya Kiarabu kwa Kiswahili nzuri sana, inafanya kazi katika simu za Android;
Inapatikana hapa "Jifunze Kusoma Kiarabu" - https://play.google.com/store/apps/details?id=com.MDS.kiarabu
Soon wata launch app ya kujifunza kujilipua kwa mabomuSijui nani anishawishi kujifunza HIYO lugha isee