Jifunze Lugha ya Kiarabu

Jifunze Lugha ya Kiarabu

tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
Siku ukiwa huru kufikiri utaacha kupotosha wengine.
 
tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
Umeshalishwa ule mkate special na mchungaji wako?
 
Kule peponi nasikia kwa waislamu waliokwishafika kwamba kama unajua kusoma kur aan unapelekwa gesti ndani kuna mabinti saba wote mabikra. sasa sijaambiwa wanawake wakifika huko wanapewa kitu gani. hebu kwa aliyefika na kurudi atuhabarishe

Ndio nyinyi mlizaliwa Kwa mbio za mwenge??
 
😱😱😱
kwa anaye penda namshauri ajifunze kwani ndiyo lugha ya peponi mimi ni muislamu na ninaamini katika hili na wala si hitaji ushauri wowote juu ya hili kwani katika imani ni kuamini na kufuata kama jinsi maandiko matakatifu katika qur an yanavyo nena ewe m.mungu nisaidie katika hili
kwamba ndo lugha ya peponi
 
duh.kiarabu cha nin kwan?????kwao wanajilipua tu.very uncivilized.mabomu ya kuvaa,kuuana.jaman ivi ntapata nn kujua iyo lugha kama si shida.kamwambie samatha lee white na syria uko.au boko haram.khaa
Ungejua chanzo cha vita ya mashariki ya kati, usingesema hivyo.
Chanzo ya vita hiyo inajulika kwa wenye kutumia akili vizuri (haina haja ya kuitaja).

Pili Manabii wote wakubwa wametoka mashariki ya kati, hata Mohammad saw, Ibrahim, Musa, Yesu..... Na Manabii wengine wengi..wametoka mashariki ya kati.

Manabii waliletwa na Mungu kufundisha watu ustaarabu, utu na kumwabudu Mungu Mmoja tu.
 
kwa anaye penda namshauri ajifunze kwani ndiyo lugha ya peponi mimi ni muislamu na ninaamini katika hili na wala si hitaji ushauri wowote juu ya hili kwani katika imani ni kuamini na kufuata kama jinsi maandiko matakatifu katika qur an yanavyo nena ewe m.mungu nisaidie katika hili
Lugha ya peponi😀😀😀😀
 
Nataka kujua kiarab maana naisha nao hapa wananiteta hata sielew wambea kweli
 
kuna jambo dogo saana halijaeleweka hapa..
ieleweke kiarabu ni lugha kama lugha nyingine tu na wala si lugha takatifu kama wasemavyo wengine..
kwahyo kujifunza kiarabu ni jambo zuri.. tatzo hapa kuna watu wanaingiza chuki za kiitikadi..binafsi nimeshashuhudia mahubiri mengi yakifanywa kwa kiarabu.. pia bible za kiarabu zipo nyingi saana.
 
tena acha kabisa hiyo lugha,utakuwa gaidi sasa hivi,allah hana masikhara hata kidogo...nadhani umenielewa niliposema allah...allah sio Mungu,wanamjua wao wenyewe wajjahidinna
tatizo kuto kujua tu...ukichukua bible ya kiarabu kila walipoandika BWANA kwenye bible ya kiswahili basi kwenye bible ya kiarabu wameandika ALLAH.... ukisema allah sio mungu basi ujue unamkana mungu baba kwa upande wako.
 
kiarabu ni lugha ya tano kwa kuzungumzwa na watu wengi duniani, ya nne ikiwa kihindi na ya tatu ni kingereza. kiswahili kikiwa ni lugha ya 16
 
Back
Top Bottom