Jifunze lugha za kigeni ndani ya JF

Hahahah!!! Usihofu mkuu na wewe utajua tu, jumamosi tunaanza na kifaransa.
...

....Asante sana Mkuu j mosi niko hapa sibanduki...mkuu hii lugha naipenda sana na muhimu sana kwenye fani yangu ya utafiti wa madini...

Niko njiani naelekea KIVU pamoja sana Mkuu ...JF daima !!!!
 
...

....Asante sana Mkuu j mosi niko hapa sibanduki...mkuu hii lugha naipenda sana na muhimu sana kwenye fani yangu ya utafiti wa madini...

Niko njiani naelekea KIVU pamoja sana Mkuu ...JF daima !!!!

Tuko pamoja mkuu.
 
Nilijua nimechelewa pindi kumbe bado! Safi sana mwalimu ngoja nirudishe mlango wasije ingia akina mbebez kuchafua dara sa. Mi kifaransa.
 
Mi nataka hizi mbili yaani nimefundishwa na wazawa wa huko naona bado mweupe

Imagine hayo maandishi yote kithai na Burmesse ni 'my name is'


Sent from Mchina
 
Wakuu. Salamu zenu. Yaani hadi umefika ukurasa wa 4 bado hakuna makubaliano ya lugha ipi ianze kufundishwa. Hii inanikumbusha Bunge Maalumu la Katiba lilivyovutana wakati wa kuandaa kanuni. Aisee!
 
Je mappelle Munkari !! comma nti ta pelle ?? ha ha ha!
 
Last edited by a moderator:

Ungeweka na kikorea ingekua poa mkuu
 
Jamani weka.na KICHINA basi ndugu pale Canaan Export guanzouh napata shida kununua bidhaa maana siwaelew kirahis kingereza chao.cha.kuungaunga..nataman ningejua kichina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…