Jifunze lugha za kigeni ndani ya JF


Ahsante sana mwalimu
 
KIARAABU kwa kuwa ni Baba wa lugha ya Kiswahili na Mama wa lugha zote !! uliza kabla hujabisha au kucomment !! na sisi tup karibu sana na kiarabu kuliko kifaransa!! ikiwa humu JF wengi sana baada ya lugha ya Kiswahili hata kiengezra ni ZERO !! amueni....!
 
Ah Jamani mbonasioni kinacho endelea hapa wu mkiukatuscha kwa Mata nini?
 
eti ticha kujifunza kiarabu lazima niwe mwislamu?
 
il faut penser car vous donnez vos opinions,trois langue français,anglais et arabe sont important dans notre pays.kujua lugha tofauti kuna ladha yake,namtafuta mtu anayejua kiarabu,aeleze kiunagaubaga kinaurahisi na ugumu gani ktk kujifunza
 
il faut penser car vous donnez vos opinions,trois langue français,anglais et arabe sont important dans notre pays.kujua lugha tofauti kuna ladha yake,namtafuta mtu anayejua kiarabu,aeleze kiunagaubaga kinaurahisi na ugumu gani ktk kujifunza



Ils venez juste ici mon ami!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…