Ciello tunakusema kwa mazuri... Familia yetu tunakupenda tunataka uwe unapika... Nilisikia umbea eti wewe mvivu kupika. Ni kweli? Lolhahahahahah mnanisema mm nn????
Shem nakusalimu... Kwa mkate mkono wa kulia (uliopikwa na gf) na Chai mkono wa kushoto (iliyopikwa na mimi). Natumaini ushafanya maandalizi mema ya Xmas. This year mimi gfsonwin na baba watoto nasikia tunaispend kwako. Katika vinywaji usisahau Amarula... :smiling:
hahahah! dada yangu kwani kwa majina utawatambua basi?? manake mie la kwangu ni baya ile mbaya ila kwenye upish wewe mwenyewe husema sinaga mpinzani. sasa wataka kuniambia Angel Msoffe ni mpish mzuri kwasababu ya jina lake?Ciello tunakusema kwa mazuri... Familia yetu tunakupenda tunataka uwe unapika... Nilisikia umbea eti wewe mvivu kupika. Ni kweli? Lol
Afadhali hata Amina Thomas... Jina lake linaashiria ni mpishi mzuuuri! :becky:
hapana sina maana hiyo kwenye blue band. binafsi nimeitaja kwani ndio ambayo naitumia kwenye mapish yanau mengi ila kwa mwenye kupenda tan bond ama kcc anaweza kutumia sio mbaya.
BTW nataka nikupikie uji wa maziwa ya mtindi na siagi utapenda kuuonja??
Shem nimekuitika. Kwa jinsi navokujua ulivo mroho wa Amarula, nimekununulia ya kunywea hapa na ya kuondoka nayo. Usichelewe tafadhali, nimekumisi nna hamu yako.
hahahah! dada yangu kwani kwa majina utawatambua basi?? manake mie la kwangu ni baya ile mbaya ila kwenye upish wewe mwenyewe husema sinaga mpinzani. sasa wataka kuniambia Angel Msoffe ni mpish mzuri kwasababu ya jina lake?
Hivi chezeiya Angel Msoffe wewe! Mie nahisi hata akiweka chakula katika chombo chake kwa kukiangalia tu chakula kinajituma na kujipika chenyewe! Lol
sasa wewe nenda kampikie mama Thanda leo tena uschelewe saa 12 tu rudi home anza kazi keso asbh mtakunywa chai tamu kweli.
recipe ni za ukweli wewe mpikie uone.Na alivyo na mapenzi ya kweli na mimi atanifurahia sana...kwa kawaida huwa napika.. mimi ni mpishi mzuri sana, nilijifunza mapishi wakati fulani na bado naendelea kupika. Kuna aina ya vyakula ambavyo siku tukiwa na ratiba ya kuvila, Thando (Wife) anakaa mbali kwani hizo recipes ni za ukweli.
Umegungua eeeh? Tuwe tunawakaribisha siku moja moja weekend nyumbani kwetu waone namna gani kupika kumeongeza ukaribu na upendo ndani ya familia... Tena basi tuna bahati mume wetu siku moja moja weekend hutu grillia nyama ama samaki... We are so lucky! Lol
Tena mabingwa wa utegezi kwa kupika ni Husninyo, Zion Daughter, FP , Smile, Ciello, Madame B na Arabela. Afadhali hata ya Mwali, Michelle, Preta, Zinduna na charminglady.. Hivi lara 1 anajua kupika kweli? Napenda nijue.. Kuna kakangu kampenda na anapenda kula! ha ha ha!
Na alivyo na mapenzi ya kweli na mimi atanifurahia sana...kwa kawaida huwa napika.. mimi ni mpishi mzuri sana, nilijifunza mapishi wakati fulani na bado naendelea kupika. Kuna aina ya vyakula ambavyo siku tukiwa na ratiba ya kuvila, Thando (Wife) anakaa mbali kwani hizo recipes ni za ukweli.
Dada AshaDii yani jamani nimeogopa sana nilipoona umeniweka kwenye hiyo listi,
Yani nakwambia mimi kwa Upishi Balaa, au sikukwambia kama nilikuwa Chef msaidizi pale Golden Tulip (from 2006 to 2007), Beach Comber (from 2008 to 2009) then New Africa Hotel (from 2009 to 2010) hadi nikatunukiwa Awards!!!!!!!! AshaDii mimi ni mkali sana kwenye kupika, hakuna chakula nisichoweza kupika hapa Duniani Coz Najua karibia vyakula vyote wanavyokula Mataifa Mengine.
Sema muda huu nimejibweteka sana.
Hivyo Hiyo listi me Kushneyyyyy........
Mie hata sikubishii.... hahaha! Mtu yeyote mwenye imagination kali kama zako za mambo yale kuyafananisha na kuendesha gari sio mchezo! ha ha ha (I know you are blushing rite now... Lol)
Nitakuja lunch siku moja nikiwa na wifi zangu sweetlady na King'asti na mdogo wangu gfsonwin - Bahati mbaya wote tunapenda kula!
Bado natafakari hiii post.... Nitarudi! BTW.. So proud of you kuwepo viwango hivo. Nakuonea wivu tayari... Lol.
Dada AshaDii yani jamani nimeogopa sana nilipoona umeniweka kwenye hiyo listi,
Yani nakwambia mimi kwa Upishi Balaa, au sikukwambia kama nilikuwa Chef msaidizi pale Golden Tulip (from 2006 to 2007), Beach Comber (from 2008 to 2009) then New Africa Hotel (from 2009 to 2010) hadi nikatunukiwa Awards!!!!!!!! AshaDii mimi ni mkali sana kwenye kupika, hakuna chakula nisichoweza kupika hapa Duniani Coz Najua karibia vyakula vyote wanavyokula Mataifa Mengine.
Sema muda huu nimejibweteka sana.
Hivyo Hiyo listi me Kushneyyyyy........
hongera sana mwl uzuri wa waalim ni multi disciplinary.Nadhani hata uwepo wangu hapo nijitihada zangu Binafsi, coz si unajua kufanya kazi Chini ya Wamiliki wa Kihindi na Mpaka wakukubali............!!!!!!!!!!!!!!!
Ni Kazi Sana..........!!!!!!!!!!!!!
Ila ndo hivo.
......... Juliana Shonza sio unakalia majungua tu njoo ujifunze kupika. na wengine woote njooni
tueni mwanamke anasifiwa mapish na usafi toopppppppppp!
mimi pia napenda kula,karibuni sana. nikikupikia dagaa maziwa, au red meat with ile gesi ya coke utaipenda sana. mag makanwala( buttered chicken) ndio usiseme...leo napata BRUNCH. na muda ndio huu.