Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate


gfsonwin, tatizo litakuwa ni location tunazoishi kwa sasa, huu ni wakati mzuri. ok wewe tunaomba uwe co-ordinator wa shughuli hii, mimi nitajitahidi sana kufika eneo la tukio
 
sina maana hiyo kwan wote niliowaita ni cyber bulling??

Wote uliowaita umeanza na "sio unakalia majungu tu njoo ujifunze kupika"?

Kama hukuwa na nia ya kum-bully usingeandika hayo
 
Wote uliowaita umeanza na "sio unakalia majungu tu njoo ujifunze kupika"?

Kama hukuwa na nia ya kum-bully usingeandika hayo

hivi umeisoma vzr post yangu?? kila mmoja niametoa kile ambacho nilona ni anakipenda mbona hujacomment kwa lara 1 na Ciello nilivyowaambia kwenye post husika?? ama kwa King'asti?? sasa wewe ndo unaifanya kuwa bulling but nimetumia kama joke na kama nilivyofanya kwa wengine.
 
Last edited by a moderator:
unajua kwann mie sikukuweka hapa nilijua wewe uko juu kimapish ila nilifananaisha na mkoa ulotokea sikuwaza kabaisa kwamba umewah kufanya kazi ya upish. i love that. na najua sasa unaweza kuwa mwl mzuri sana wa mapish hapa jamvini lol!
lara1 awe mgeni mwalikwa wakati ukifika kwani siamini sana kama anajua kupika.
 
lara1 awe mgeni mwalikwa wakati ukifika kwani siamini sana kama anajua kupika.

hahahah! ila kwasababu ya mama yake kuwa mchaga anaweza akawa anajaribu jaribu kupika manake sifa ya akina mama wa kichaga ni kuwafunza watoto zao kazi.
 

Kwa hiyo wewe unavyoona kuwa Juliana Shonza anapenda majungu?

Kwa hiyo ukamwita "so innocently" kwa kile unachojua atafurahia kukisia?


Acheni bullying kwa vitu viso msingi.
 
unajua kwann mie sikukuweka hapa nilijua wewe uko juu kimapish ila nilifananaisha na mkoa ulotokea sikuwaza kabaisa kwamba umewah kufanya kazi ya upish. i love that. na najua sasa unaweza kuwa mwl mzuri sana wa mapish hapa jamvini lol!

Lol....
Shostito gfsonwin mbona wanipamba hivo mpaka najihisi nimeibeba Dunia yote?
Ila kiukweli me Upishi na vyote hapa ndo mwake.
Ila mwanamke yeyote nina imani anaweza kupika, basi tu ni jitihada zake ktk ujifunzaji.
 
Last edited by a moderator:
Lol....
Shostito gfsonwin mbona wanipamba hivo mpaka najihisi nimeibeba Dunia yote?
Ila kiukweli me Upishi na vyote hapa ndo mwake.
Ila mwanamke yeyote nina imani anaweza kupika, basi tu ni jitihada zake ktk ujifunzaji.

sasa huko kujifunza ndio tunataka tuanzie hapo kwa wewe na Thanda kuwa waalim wetu kisha tunapika na kuwaletea mnakuja kujaribu kuona kama tumeweza ama la!
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo wewe unavyoona kuwa Juliana Shonza anapenda majungu?

Kwa hiyo ukamwita "so innocently" kwa kile unachojua atafurahia kukisia?


Acheni bullying kwa vitu viso msingi.

wewe unayako hebu nipishe.
ukisema mie nime mbully je yale aloambiwa kwenye post yake yalikuwa innocently kwake??
 
Thanks a lot my dear, usijali tukikutana ile Chemba yetu nitakufundisha na vingine........lol..!!!!!!!!!!!!

hapo ndo ninapoampendea mama ya kinondoni si kuishia kunywa tu la hasha bali na upish yuko juu.
 
wewe unayako hebu nipishe.

Nna yangu ndio. Hadi kufikia kuingia JF, nawe hukosi kuwa na yako

ukisema mie nime mbully je yale aloambiwa kwenye post yake yalikuwa innocently kwake??

Aloambiwa nani? Post yake ipi? innocently kwake nani?
 
hapo ndo ninapoampendea mama ya kinondoni si kuishia kunywa tu la hasha bali na upish yuko juu.

Khaaaaaa............. We Mwana weeeeee............
Unajua Bia bila kunywa ni sawa na Kumpiga chatu kofi.
Msosi + Bia +Msosi =Mwake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…