Jifunze mapishi na namna mbalimbali za kupika mkate


Poa mamito.
 

Girls!!! Tuendeleeni kupika jamani...mambo mengine madogo sana kuyakuza..kaa kimya mamushka uepushe shari...wakati mwingine kupuuzia ni dawa tosha
 
Last edited by a moderator:

hapo kwenye rangi mkuu hiyo si lita moja na nusu kweli au sijaelewa vizuri.. gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
nitaoka mkate wa sikukuu mchana wa leo. sasa ngoja nifanye mapema nikuletee wa moto uone jinsi ulivyo mtamu.
mie na AshaDii tumeolewa na Kaizer.hatuolewi tena kwani mwanamke hanaga mitala.

Afadahali niletee ukiwa moto kabla Kaizer hajarudi toka Nyumba ndogo. Mi nashauri mngekuja huku kwangu. I am like King Mswati II the only difference mimi natoa full services kama zinavyotakiwa. Najua wewe na AshaDii won't regret. Mpango wangu nifikishe walau wake 10. Sasa hivi wako 8 na majina yao nitakwambia siku nyingine. Picha yao ya maandalizi ya kunipokea leo jioni wamenitumia sasa hivi, hii hapa:

 
Last edited by a moderator:
AshaDii wewe pekee ndo unanielewa. Hebu Mwambie Teacher gfsonwin mje naye basi. Njooni na huo mkate na chai ya hiriki na mdarasini. Hebu njoo kwanza my dear, are u ok?

 
Last edited by a moderator:
Mmh? Upendeleo na ubaguzi huu sasa.....

BTW unaifanyia promo Blue Band au? Nikitumia Tan Bond au siagi nyingine mkate utageuka kitumbua au?

Huku Torabora Blue Band haifiki, tutakoma tunaopenda mkate.

Babu Asprin unalalamika Upendeleo na Ubaguzi kwani na wewe unataka?
 
Last edited by a moderator:
nimemkatalia mie nishazoea maisha yetu pamoja sasa ta utengano siyawezi kabisa.

You are inside the baloon. Come outside and see life. Njooni wote na utagundua maisha ni mazuri na matamu zaidi ya ulivyozoea. Masharti na vigezo kuzingatiwa.
 
Mdogo wangu gfsonwin hivi hewa inasaidia nini kwenye mikate na chapati??

hewa katika mapsh yyte yale hasa ya kukanda ni muhimu sana. sasa nataka nikurudishe kwenye shule ndogo ya food&microbiology, hewa husaidia kazi ya kuumuka. and they are responsible for the break within the loaf.
 
Nakuombea uachike ili nikuoe mimi.kwa mavitu haya hata siwezi kukubali.niruhusu nianze kuleta posa
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Nakuombea uachike ili nikuoe mimi.kwa mavitu haya hata siwezi kukubali.niruhusu nianze kuleta posa
hahahah! mnamwonea Kaizer wivu siyo?? mwenzenu huwa anafaidi zaid ya haya. hivi unajua sasa hivi anaandaliwa x-mass cake mwenzenu.
 
Last edited by a moderator:
You are inside the baloon. Come outside and see life. Njooni wote na utagundua maisha ni mazuri na matamu zaidi ya ulivyozoea. Masharti na vigezo kuzingatiwa.

hahahah@ Superman bana unajua kumtoa nyoka pangoni kweli yaaani unachonga mashairi mazuri ili tu tujitose kwako sio?? ila sie Kaizer anatupa kila tukitakacho jamani lol!
 
Last edited by a moderator:

wataka mkate upi mwali wangu!
mie ninao wa karanga
kuna wa zabibu kavu
kuna wa asali kati kati
kuna wa jam
kuna wa hiliki
kun awa chumvi
kuna mkate bubu
kuna mkate wa skonzi!
nambie tu wataka nikuandalie mkate upi kungwi wangu!
 
wataka mkate upi mwali wangu!
mie ninao wa karanga
kuna wa zabibu kavu
kuna wa asali kati kati
kuna wa jam
kuna wa hiliki
kun awa chumvi
kuna mkate bubu
kuna mkate wa skonzi!
nambie tu wataka nikuandalie mkate upi kungwi wangu!

mie nimepika mkate wa kawaida si umeuona hapo baaada ya kuuandaa??
kesho uekee recipe ya mkate wa karanga niliula kwa mtu ulikuwa mtanu kweli mwali.
 
gfsonwin, asante kwa recipe sijawahi pika mkate wa mayai, nitajaribu nione unakuwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…