Jifunze programming

Kama hauna uhitaji usi complicate vitu. Sina uhakika kama una first class hapo ulipo ila mind you sikuwahi kupata hata B in my college time, nikifeli sana nilipata B+.
Kabudi alipasua,Mwigulu 1st class UD lkn wanayoyafanya hayaonyeshi dalili za usomi.

Ain't a big deal.
 
Kabudi alipasua,Mwigulu 1st class UD lkn wanayoyafanya hayaonyeshi dalili za usomi.

Ain't a big deal.
Ni kweli mkuu, huyo jamaa amekuja vibaya tu, kaleta ujuaji kama umeona reply yake ya kwanza so nimemjibu alivyotakiwa kujibiwa.
 
Huna hata mwezi JF. Nomba account id yako ya github kabla sijalipia nijirizishe
Kutokuwa na mwezi jf ndo kusema ujuzi nilionao unakuwaje? Mi jf kitambo sema akaunti ya kwanza id ilikuwa compromised nikatemana nayo.
 
Kutokuwa na mwezi jf ndo kusema ujuzi nilionao unakuwaje? Mi jf kitambo sema akaunti ya kwanza id ilikuwa compromised nikatemana nayo.
wacha maneno mengi leta account ya github. tuone huo uwezo
 
JF kuna mambo😁😁😁🤣
Ngoja nimalizie python na html nihamie JavaScript na c++ nianze kuwatafuta
 
Vipi ambao sio wanafunzi yani walisha maliza shule na chuo kitakbo lakini wanataka kujifunza?
 
Vipi ambao sio wanafunzi yani walisha maliza shule na chuo kitakbo lakini wanataka kujifunza?
Karibu, hapo nimetaja wanafunzi kwa ajili ya ofa kujifunza bure, mtu yeyote anaweza kujifunza. Pia unaweza kuwa hutaki javascript unasema lugha unayotaka tunakubaliana bei.
 
wacha maneno mengi leta account ya github. tuone huo uwezo
Uwezo wa mwalimu unapimwa kwa ufundishaji kijana. Naweza kukupa my git id ukaenda repo yangu na ukatoka mtupu. Haikusaidii kitu. We kama unajua sana acha wasiojua nao wajue.
 
Mkuu naomba mfano wa japo kitu kimoja kilichotengenezwa na hiyo javascript ili niweze kuelewa. Kwenye masuala ya IT mi ni mweupeee!
Mi nikisikia script basi nakimbilia kwenye uandishi wa filamu.
Nalog off
 
Mkuu naomba mfano wa japo kitu kimoja kilichotengenezwa na hiyo javascript ili niweze kuelewa. Kwenye masuala ya IT mi ni mweupeee!
Mi nikisikia script basi nakimbilia kwenye uandishi wa filamu.
Nalog off
Karibu kiongozi, javascript kwa ujumla inatumika sana katika website development. Kazi yake kubwa ni kuwezesha kutengeneza website zenye mwitikio. Hii hufanyika kwa kubadili tabia za tabia na tags zilizoandikwa katika HTLM na CSS( hizi sio programming languages).
 
Ahsante sana kwa ufafanuzi
Nalog off
 
Ideq yako ya ku deliver hiyo course viq WhatsApp na telegram umejaribu kuitafakari kweli??
Nipe mfano itanifundisha vipi "programming" kupitia WhatsApp mkuu?

Zipo platform nyingi zjnazowezesha watu wenye ujuzi mbali mbali kutengeeneza video classes za watu kujifunza ujuzi , kwanini usizitumie hizo platform?
 
mkuu mimi naomba unisaidie kuna app inaitwa termux nahita kujua kuitumia ili kutengeneza payloads kama sijakosea je nijifunze language ipi? mi sifuri kabisa kwenye mambo lakini nataka niwe hata script kid
 
mkuu mimi naomba unisaidie kuna app inaitwa termux nahita kujua kuitumia ili kutengeneza payloads kama sijakosea je nijifunze language ipi? mi sifuri kabisa kwenye mambo lakini nataka niwe hata script kid
yeye Anachotaka ni hela.
 
Wazo lako ni zuri. Kutaka kufundisha watu na kidogo unachokifahamu si haba.
Watu wanashindwa kuelewa kwamba mtu yeyote anaweza kufundisha ilimradi anafahamu kidogo tu kuliko watu anaowafundisha.
Sasa mtu anataka kufundishwa na mtu mwenye expertise ya kutengeneza global softwares wakati hata console.log hajui.
Sa nyingine walimu wazuri ni wale ambao hawajui sana kuzidi wewe.
 
Umenena vyema mkuu, tatizo letu wabongo wengi unatuponza ujuaji, binafsi napenda Sana kufundisha japo sio mwalimu by pro. Hata nilipokuwa shule( o level & A level) Kuna watu walikuwa chini yangu kwa performance lakini baada ya kuwafundisha wengine walinizidi kabisa na Kuna mda niliwafata kupata concept kwao, kufundisha sio kujua Kila kitu. Wengi wetu tunajenga chuki mtu anapokuzidi Jambo flan. Ndio tatizo hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…