wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kabudi alipasua,Mwigulu 1st class UD lkn wanayoyafanya hayaonyeshi dalili za usomi.Kama hauna uhitaji usi complicate vitu. Sina uhakika kama una first class hapo ulipo ila mind you sikuwahi kupata hata B in my college time, nikifeli sana nilipata B+.
Ain't a big deal.