Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 35,012 Reaction score 70,201 Jul 28, 2019 Thread starter #101 manyanga21 said: Izo dawa zinauzwa sh ngap, mkuu naitaji Click to expand... Inategemea na aina na sehemu unayonunua. Pia kutokana na kua kama na usiri kunakuaga na ulanguzi fulani hivi. Nenda supermarket, pharmacy kubwa hua zina hizi dawa
manyanga21 said: Izo dawa zinauzwa sh ngap, mkuu naitaji Click to expand... Inategemea na aina na sehemu unayonunua. Pia kutokana na kua kama na usiri kunakuaga na ulanguzi fulani hivi. Nenda supermarket, pharmacy kubwa hua zina hizi dawa