Jifunze TENSES hapa

Jifunze TENSES hapa

Welcome to Present Continuous Tense

The present continuous verb tense indicates that an action or condition is happening now, frequently, and may continue into the future.

- Tendo linafanyika sasa, au mara kwa mara, na linaweza kufanyika hapo baadae.

Formula yake ni [am, is, are] + verb [present participle].

Nafsi zimeshatajwa:
Singular (umoja)
First - I
Second - You
Third - He (masculine), She (feminine) and It (objects and animals).

Plural (wingi)
First - We
Second - You
Third - They

Kwa kufata formula ya [am, is, are] + verb [present participle] nitaweka mifano kwa kufatisha nafsi hizo hapo juu.

Singular:
I am writing a letter - Ninaandika barua
You are writing a letter - Unaandika barua
He/She/It is writing a letter - Anaandika barua.

Plural:
We are writing letters - Tunaandika barua
You are writing letters - Mnaandika barua
They are writing letters - Wanaandika barua

Note: Nafsi ya pili umoja na wingi zote zinatumia "are".

Nitaendelea...
 
Welcome to Present Continuous Tense

The present continuous verb tense indicates that an action or condition is happening now, frequently, and may continue into the future.

- Tendo linafanyika sasa, au mara kwa mara, na linaweza kufanyika hapo baadae.

Formula yake ni [am, is, are] + verb [present participle].

Nafsi zimeshatajwa:
Singular (umoja)
First - I
Second - You
Third - He (masculine), She (feminine) and It (objects and animals).

Plural (wingi)
First - We
Second - You
Third - They

Kwa kufata formula ya [am, is, are] + verb [present participle] nitaweka mifano kwa kufatisha nafsi hizo hapo juu.

Singular:
I am writing a letter - Ninaandika barua
You are writing a letter - Unaandika barua
He/She/It is writing a letter - Anaandika barua.

Plural:
We are writing letters - Tunaandika barua
You are writing letters - Mnaandika barua
They are writing letters - Wanaandika barua

Note: Nafsi ya pili umoja na wingi zote zinatumia "are".

Nitaendelea...
Mkuu kwa hiyo nikisema ..Me and Mother we are going to church ..nitakuwa sahihi hapo kwenye Are au ni is?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hiyo nikisema ..Me and Mother we are going to church ..nitakuwa sahihi hapo kwenye Are au ni is?

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo mko wawili, ni wengi tayari, are ndiyo sahihi.

My mother and I are going to the church.

Hutakiwi kuongeza neno we. We ni kiwakilishi, so kama usingetaja nani na nani ndo we inatumika.
 
oooh okay,

pia ni muhimu tukijifunza matumizi ya hizi article nyingine pia "a" na "an"

mimi zimenipa shida sana kwenye matumizi kwa mfano nilikua najua tunatumia "article -a" kabla ya nouns/adjectives ambazo zinaanza na consonat...

mfano: she gave me a book.

lkn kumbe pia wanaangalia na jinsi inavyosound hiyo consonant....

mfano: she need to study for "a hour" before she go to lunch.

unaona jinsi hiyo article ilivyokiwa haiendani na hiyo "hour" japo inaanza na Consonant....wataalam sasa wanasema hiyo "hour" sauti yake ukiitamka inasikika "our" ambayo yenyewe inaanza na Vowel...
kwahivyo hapo article sahihi ni "an"

sahihi: she need to study for an hour before she go to lunch.

kumbe sasa tunaona matumizi ya article "a" na "an" zinategemea na suati ya nouns/adjectives,

a - consonat sound
an - vowel sound

hiki ndicho kwenye kiingereza nilijifunza na nikafurahi kuelewa japo kidogo,

ila hii article ya "The" bado sijaridhika...nahitaji kujifunza zaidi.
Just simple..
Use 'The' followed by common noun
and don't use it for proper noun
 
Mwambie pia kwamba 'me' cannot be used as a subject. Utamfafanulia vipi It's all up to you[emoji16][emoji16][emoji16]
Hapo mko wawili, ni wengi tayari, are ndiyo sahihi.

My mother and I are going to the church.

Hutakiwi kuongeza neno we. We ni kiwakilishi, so kama usingetaja nani na nani ndo we inatumika.
 
" I went to collect the children to the Dar express bus service but they don't their in that bus "

No hivo bro

Sent using Jamii Forums mobile app
HAHHAHAHHAHAHAHAHHAHAHHAHAHHZAHAHHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHHHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAAHAHHAHAHAHHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHHAHAHHAHAHAHAHHAHAHAHAHAHAHHAHAHHAHAHAHAHHAHAHHAHAHAHAHHAHAHHAHAHHAHAHAHAHAHHHAHAHAHHAHAHAHHAHAHAHHAHA
 
Haha ungemwambia tu huenda angeelewa juu kwa juu

Mambo ya mtenda na mtendwa!

Kuna issue za subject pronouns na object pronouns hapo, ukianza kuzielezea hata hako kadogo kanayeyuka.

Nimejaribu kutafuta majibu kwenye net; Quora kuna majibu kidogo yanatoa mwanga.

Screenshot_20190319-153934.jpg
 
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu .

View attachment 1031445g

Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au litafanyika .

Katika kiingereza kuna tenses ( nyakati ) kuu tatu , ambazo ni :

The present tense ( wakati uliopo)
The past tense ( wakati uliopita )
The future tense ( wakati ujao )

Na kila tense imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo : simple , continous , perfect na continous perfect.

1. PRESENT TENSE ( Wakati uliopo )

I. Simple present tense
II. Present continous tense
III. Present perfect tense
IV. Present perfect continuous tense

2. PAST TENSE ( Wakati uliopita )

I. Simple past tense
II. Past continuous tense
III. Past perfect tense
IV. Past perfect continuous tense

3. FUTURE TENSE ( Wakati ujao )

I. Simple future tense
II. Future continuous tense
III.Future perfect tense
IV. Future perfect continuous tense


Leo tuanze na "simple present tense "

Simple present tense -huu ni wakati ambao unaonyesha vitendo ambavyo vinafanyika kila siku au vya mazoea. Vitenzi ( verbs ) ambavyo vinatumika
katika wakati huu havibadiliki isipokuwa katika nafsi ya tatu umoja .

Zifahamu Nafsi

Nafsi ya kwanza : I ( mimi )
Nafsi ya pili : You ( wewe )
Nafsi ya tatu : He / she / it ( yeye

WINGI

Nafsi ya kwanza : We ( sisi )
Nafsi ya pili : You ( ninyi )
Nafsi ya tatu : They ( wao )

Examples :

I sing songs = > huwa naimba nyimbo

You sing songs = > huwa unaimba
nyimbo

He sings songs = > huwa anaimba nyimbo

She sings songs = > huwa anaimba nyimbo

It sings songs = > huwa anaimba nyimbo

We sing songs = > huwa tunaimba nyimbo

You sing nyimbo = > huwa mnaimba nyimbo

They sing songs = > huwa wanaimba nyimbo

#Kwa nafsi ya tatu umoja , hapa
nazungumzia : ( He , she na it ) ambapo hawa vitenzi vyao vinabadilika vinakuwa vinaongezewa S , ES au IES .

Mfano : take / takes , do / does / fry / fries .

SHERIA YA KUBADILISHA VITENZI ( VERBS ) .

Vitenzi ( verbs ) vingi huwa vinaongezewa " S " tu . Mfano : Seem / seems , look / looks , take / takes .

Kwa vitenzi ambavyo vinaishia na O huwa tunaongezea - ES . Mfano : Go / goes / , do / does , veto / vetoes ) .

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na - S , - Z , - CH , -SH na - X , hapa huwa tunaongezea " ES " . Mfano : Punch / puches , wash / washes , kiss / kisses , fizz / fizzes , mix / mixes )

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na sauti ya konsonant alafu mbele zimeishia na - Y huwa tunatoa Y alafu tunaongeza
IES , Mfano : ( Hurry/ hurries , Clarify / clarifies )

Ila kwa vitenzi ambavyo vimeishia sauti ya irabu ( vowel ) huwa tunaongeza " S " tu mbele . Mfano : ( Play / plays , enjoy / enjoys )

KUMBUKA : Kanuni zote za hapo juu zinatumika katika nafsi ya tatu umoja tu ( He , she na It ) .
Kwa nafsi zingine zote vitenzi huwa havibadiliki .

MIUNDO YA SENTENSI KATIKA TENSE HII .

1. Kwa sentensi za kukubali / chanya :

SUBJECT + MAIN VERB

I wake up at 6 AM
( Huwa naamka saa 12 asubuhi )

You wake up at 6 AM
( Huwa unaamka saa 12 asubuhi )

He wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

She wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

2. Kwa sentensi za kukanusha

SUBJECT + DOESN'T/ DON'T + MAIN VERB

Ufafanuzi :

DOESN'T - inatumika kwa nafsi ya tatu umoja , yani He, she na It .

DON'T - inatumika kwa nafsi

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOESN'T basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Pia :

Does not = Doesn't
Do not = Don't

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOES basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Examples :

-I do not wake up at 6 AM
( Huwa siamki saa 12 asubuhi )

-You don't wake up at 6 AM
( Huwa hauamki saa 12 asubuhi )

-He does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

-She doesn't wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- It does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- We do not wake up at 6 AM
( Huwa hatuamki saa 12 asubuhi )

They don't wake up at 6 AM
( Huwa hawaamki saa 12 asubuhi)

3. Sentensi za kuuliza maswali

DO / DOES + SUBJECT + MAIN VERB

Examples :

Do you live here ?
( Je unaishi hapa ? )

Does he like this t-shirt ?
( Je anaipenda fulana hii ? )

Jinsi ya kujibu

-Yes I do .
-Yes he does .
-Yes she does .

Mifano zaidi

She loves her mother
( anampenda mama yake )

He eats banana
( Hula ndizi )

I drive a car
( ninaendesha gari )

You like this movie
( unaipenda muvi hii )

They hate us
( wanatuchikia )

Source : www.englishkona.com

Kwa leo tuishie hapa....tutaendelea .

WhatsApp : 0767329643

NOTE : Huu uzi utakuwa unasasishwa kila mara .


Tuweke jambo sawa kidogo hapa. Katika sarufi (grammar) wakati (time) si sawa na njeo (tense). Wakati (time) ndiyo hugawanyika mara tatu, yani, uliopita, uliopo na ujao lakini njeo (tense) ni lile umbo la kitenzi(verb) ambalo hujidhihirisha kwa namna mbili kuu, umbo linaloonesha wakati wa sasa na lile la wakati uliopita.Tukichambua maumbo haya kwa kila muktadha, yani , uliopo ama uliopita, tutapata maumbo tofautitofauti kadiri mzungumzaji anavyotaka kuwasiliana. Hivyo, neno TALK linaweza kuwa talked, talking ,talk(s) n.k.

Kumbuka hali ya kitenzi kuwa katika wakati uliopita ama wa sasa haina uhusiano wa moja kwa moja na wakati(TIME).Tazama mifano ifuatayo:

If I were a woman, I could bear children.(Je, unadhani huu ni wakati gani, uliopita ama wa sasa? Je, hizo tense ni wakati gani, were/could?) Tazama mfano unaofuata:

Could you give me a pen? (Unadhani huu ni wakati gani, tensi gani?, Je nikikwambia hivi maana yake ninakwambia jambo lililopita? Hapana hii ni sasa, present lakini kitenzi cha wakati uliopita.

Kwa kifupi, katika mifano yote hiyo hapo juu vitenzi vinaonesha wakati uliopita lakini lakini wakati ni wa sasa hivi.

Kwa minaajili hii, Kiingereza hakina umbo maalumu kuashiria future tense. Wengine husema hakina future tense, bali kina wakati ujao tu. Waingereza wao hutumia tense mbalimbali kueleza masuala ya wakati ujao. Tazama mifano michache hapa chini:

1. I am going to marry her next week.(going to)
2.I will go to school on Saturday.(will)
3.Exams start this weekend.(present tense)
4. I am about to finish my studies.(about to)
5. I am visiting my mum this evening.(present continuous)

Mifano hii inathibitisha kuwa hakuna umbo maalumu kudhihirisha future tense katika English. Na hii inathibitisha tense si sawa na time(wakati), kwani utaona hapo present tense imetumika kuelezea masuala ya wakati ujao na kule mwanzoni tuliona maumbo ya wakati uliopita yametumika kueleza matukio ya present time.

Mkanganyiko huu unatusumbua sana sisi ambao tunajifunza Kiingereza kama lugha ya pili. Na ukisoma kw akuchambua kama hivi, ndiyo unachanganyikiwa kabisa. Usomaji mzuri ni ule wa kupewa muktadha(context) , kisha unapewa kanuni indirectly na kuoanisha na muktadha uliopewa. Kwa mfano, unataka kujifunza wakati ujao, utapewa kisa cha Jolita anataka kuoa mwakani. Utawasikiliza kisha utaona miundo wanayotumia na wewe kuweza kuiga huku mwalimu akisiriba kwa kanuni.

Ninawasilisha
 
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu .

View attachment 1031445g

Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au litafanyika .

Katika kiingereza kuna tenses ( nyakati ) kuu tatu , ambazo ni :

The present tense ( wakati uliopo)
The past tense ( wakati uliopita )
The future tense ( wakati ujao )

Na kila tense imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo : simple , continous , perfect na continous perfect.

1. PRESENT TENSE ( Wakati uliopo )

I. Simple present tense
II. Present continous tense
III. Present perfect tense
IV. Present perfect continuous tense

2. PAST TENSE ( Wakati uliopita )

I. Simple past tense
II. Past continuous tense
III. Past perfect tense
IV. Past perfect continuous tense

3. FUTURE TENSE ( Wakati ujao )

I. Simple future tense
II. Future continuous tense
III.Future perfect tense
IV. Future perfect continuous tense


Leo tuanze na "simple present tense "

Simple present tense -huu ni wakati ambao unaonyesha vitendo ambavyo vinafanyika kila siku au vya mazoea. Vitenzi ( verbs ) ambavyo vinatumika
katika wakati huu havibadiliki isipokuwa katika nafsi ya tatu umoja .

Zifahamu Nafsi

Nafsi ya kwanza : I ( mimi )
Nafsi ya pili : You ( wewe )
Nafsi ya tatu : He / she / it ( yeye

WINGI

Nafsi ya kwanza : We ( sisi )
Nafsi ya pili : You ( ninyi )
Nafsi ya tatu : They ( wao )

Examples :

I sing songs = > huwa naimba nyimbo

You sing songs = > huwa unaimba
nyimbo

He sings songs = > huwa anaimba nyimbo

She sings songs = > huwa anaimba nyimbo

It sings songs = > huwa anaimba nyimbo

We sing songs = > huwa tunaimba nyimbo

You sing nyimbo = > huwa mnaimba nyimbo

They sing songs = > huwa wanaimba nyimbo

#Kwa nafsi ya tatu umoja , hapa
nazungumzia : ( He , she na it ) ambapo hawa vitenzi vyao vinabadilika vinakuwa vinaongezewa S , ES au IES .

Mfano : take / takes , do / does / fry / fries .

SHERIA YA KUBADILISHA VITENZI ( VERBS ) .

Vitenzi ( verbs ) vingi huwa vinaongezewa " S " tu . Mfano : Seem / seems , look / looks , take / takes .

Kwa vitenzi ambavyo vinaishia na O huwa tunaongezea - ES . Mfano : Go / goes / , do / does , veto / vetoes ) .

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na - S , - Z , - CH , -SH na - X , hapa huwa tunaongezea " ES " . Mfano : Punch / puches , wash / washes , kiss / kisses , fizz / fizzes , mix / mixes )

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na sauti ya konsonant alafu mbele zimeishia na - Y huwa tunatoa Y alafu tunaongeza
IES , Mfano : ( Hurry/ hurries , Clarify / clarifies )

Ila kwa vitenzi ambavyo vimeishia sauti ya irabu ( vowel ) huwa tunaongeza " S " tu mbele . Mfano : ( Play / plays , enjoy / enjoys )

KUMBUKA : Kanuni zote za hapo juu zinatumika katika nafsi ya tatu umoja tu ( He , she na It ) .
Kwa nafsi zingine zote vitenzi huwa havibadiliki .

MIUNDO YA SENTENSI KATIKA TENSE HII .

1. Kwa sentensi za kukubali / chanya :

SUBJECT + MAIN VERB

I wake up at 6 AM
( Huwa naamka saa 12 asubuhi )

You wake up at 6 AM
( Huwa unaamka saa 12 asubuhi )

He wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

She wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

2. Kwa sentensi za kukanusha

SUBJECT + DOESN'T/ DON'T + MAIN VERB

Ufafanuzi :

DOESN'T - inatumika kwa nafsi ya tatu umoja , yani He, she na It .

DON'T - inatumika kwa nafsi

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOESN'T basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Pia :

Does not = Doesn't
Do not = Don't

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOES basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Examples :

-I do not wake up at 6 AM
( Huwa siamki saa 12 asubuhi )

-You don't wake up at 6 AM
( Huwa hauamki saa 12 asubuhi )

-He does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

-She doesn't wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- It does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- We do not wake up at 6 AM
( Huwa hatuamki saa 12 asubuhi )

They don't wake up at 6 AM
( Huwa hawaamki saa 12 asubuhi)

3. Sentensi za kuuliza maswali

DO / DOES + SUBJECT + MAIN VERB

Examples :

Do you live here ?
( Je unaishi hapa ? )

Does he like this t-shirt ?
( Je anaipenda fulana hii ? )

Jinsi ya kujibu

-Yes I do .
-Yes he does .
-Yes she does .

Mifano zaidi

She loves her mother
( anampenda mama yake )

He eats banana
( Hula ndizi )

I drive a car
( ninaendesha gari )

You like this movie
( unaipenda muvi hii )

They hate us
( wanatuchikia )

Source : www.englishkona.com

Kwa leo tuishie hapa....tutaendelea .

WhatsApp : 0767329643

NOTE : Huu uzi utakuwa unasasishwa kila mara .


Tuweke jambo sawa kidogo hapa. Katika sarufi (grammar) wakati (time) si sawa na njeo (tense). Wakati (time) ndiyo hugawanyika mara tatu, yani, uliopita, uliopo na ujao lakini njeo (tense) ni lile umbo la kitenzi(verb) ambalo hujidhihirisha kwa namna mbili kuu, umbo linaloonesha wakati wa sasa na lile la wakati uliopita.Tukichambua maumbo haya kwa kila muktadha, yani , uliopo ama uliopita, tutapata maumbo tofautitofauti kadiri mzungumzaji anavyotaka kuwasiliana. Hivyo, neno TALK linaweza kuwa talked, talking ,talk(s) n.k.

Kumbuka hali ya kitenzi kuwa katika wakati uliopita ama wa sasa haina uhusiano wa moja kwa moja na wakati(TIME).Tazama mifano ifuatayo:

If I were a woman, I could bear children.(Je, unadhani huu ni wakati gani, uliopita ama wa sasa? Je, hizo tense ni wakati gani, were/could?) Tazama mfano unaofuata:

Could you give me a pen? (Unadhani huu ni wakati gani, tensi gani?, Je nikikwambia hivi maana yake ninakwambia jambo lililopita? Hapana hii ni sasa, present lakini kitenzi cha wakati uliopita.

Kwa kifupi, katika mifano yote hiyo hapo juu vitenzi vinaonesha wakati uliopita lakini lakini wakati ni wa sasa hivi.

Kwa minaajili hii, Kiingereza hakina umbo maalumu kuashiria future tense. Wengine husema hakina future tense, bali kina wakati ujao tu. Waingereza wao hutumia tense mbalimbali kueleza masuala ya wakati ujao. Tazama mifano michache hapa chini:

1. I am going to marry her next week.(going to)
2.I will go to school on Saturday.(will)
3.Exams start this weekend.(present tense)
4. I am about to finish my studies.(about to)
5. I am visiting my mum this evening.(present continuous)

Mifano hii inathibitisha kuwa hakuna umbo maalumu kudhihirisha future tense katika English. Na hii inathibitisha tense si sawa na time(wakati), kwani utaona hapo present tense imetumika kuelezea masuala ya wakati ujao na kule mwanzoni tuliona maumbo ya wakati uliopita yametumika kueleza matukio ya present time.

Mkanganyiko huu unatusumbua sana sisi ambao tunajifunza Kiingereza kama lugha ya pili. Na ukisoma kw akuchambua kama hivi, ndiyo unachanganyikiwa kabisa. Usomaji mzuri ni ule wa kupewa muktadha(context) , kisha unapewa kanuni indirectly na kuoanisha na muktadha uliopewa. Kwa mfano, unataka kujifunza wakati ujao, utapewa kisa cha Jolita anataka kuoa mwakani. Utawasikiliza kisha utaona miundo wanayotumia na wewe kuweza kuiga huku mwalimu akisiriba kwa kanuni.

Ninawasilisha
 
Habari wakuu ! Natumaini wote ni wazima wa afya , kwa upande wangu niko poa . Sasa twende moja kwa moja kwenye mada yetu .

View attachment 1031445g

Tenses huelezea wakati au muda tendo linafanyika , lilifanyika au litafanyika .

Katika kiingereza kuna tenses ( nyakati ) kuu tatu , ambazo ni :

The present tense ( wakati uliopo)
The past tense ( wakati uliopita )
The future tense ( wakati ujao )

Na kila tense imegawanyika katika sehemu kuu nne ambazo : simple , continous , perfect na continous perfect.

1. PRESENT TENSE ( Wakati uliopo )

I. Simple present tense
II. Present continous tense
III. Present perfect tense
IV. Present perfect continuous tense

2. PAST TENSE ( Wakati uliopita )

I. Simple past tense
II. Past continuous tense
III. Past perfect tense
IV. Past perfect continuous tense

3. FUTURE TENSE ( Wakati ujao )

I. Simple future tense
II. Future continuous tense
III.Future perfect tense
IV. Future perfect continuous tense


Leo tuanze na "simple present tense "

Simple present tense -huu ni wakati ambao unaonyesha vitendo ambavyo vinafanyika kila siku au vya mazoea. Vitenzi ( verbs ) ambavyo vinatumika
katika wakati huu havibadiliki isipokuwa katika nafsi ya tatu umoja .

Zifahamu Nafsi

Nafsi ya kwanza : I ( mimi )
Nafsi ya pili : You ( wewe )
Nafsi ya tatu : He / she / it ( yeye

WINGI

Nafsi ya kwanza : We ( sisi )
Nafsi ya pili : You ( ninyi )
Nafsi ya tatu : They ( wao )

Examples :

I sing songs = > huwa naimba nyimbo

You sing songs = > huwa unaimba
nyimbo

He sings songs = > huwa anaimba nyimbo

She sings songs = > huwa anaimba nyimbo

It sings songs = > huwa anaimba nyimbo

We sing songs = > huwa tunaimba nyimbo

You sing nyimbo = > huwa mnaimba nyimbo

They sing songs = > huwa wanaimba nyimbo

#Kwa nafsi ya tatu umoja , hapa
nazungumzia : ( He , she na it ) ambapo hawa vitenzi vyao vinabadilika vinakuwa vinaongezewa S , ES au IES .

Mfano : take / takes , do / does / fry / fries .

SHERIA YA KUBADILISHA VITENZI ( VERBS ) .

Vitenzi ( verbs ) vingi huwa vinaongezewa " S " tu . Mfano : Seem / seems , look / looks , take / takes .

Kwa vitenzi ambavyo vinaishia na O huwa tunaongezea - ES . Mfano : Go / goes / , do / does , veto / vetoes ) .

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na - S , - Z , - CH , -SH na - X , hapa huwa tunaongezea " ES " . Mfano : Punch / puches , wash / washes , kiss / kisses , fizz / fizzes , mix / mixes )

Kwa vitenzi ( verbs ) ambavyo vinaishia na sauti ya konsonant alafu mbele zimeishia na - Y huwa tunatoa Y alafu tunaongeza
IES , Mfano : ( Hurry/ hurries , Clarify / clarifies )

Ila kwa vitenzi ambavyo vimeishia sauti ya irabu ( vowel ) huwa tunaongeza " S " tu mbele . Mfano : ( Play / plays , enjoy / enjoys )

KUMBUKA : Kanuni zote za hapo juu zinatumika katika nafsi ya tatu umoja tu ( He , she na It ) .
Kwa nafsi zingine zote vitenzi huwa havibadiliki .

MIUNDO YA SENTENSI KATIKA TENSE HII .

1. Kwa sentensi za kukubali / chanya :

SUBJECT + MAIN VERB

I wake up at 6 AM
( Huwa naamka saa 12 asubuhi )

You wake up at 6 AM
( Huwa unaamka saa 12 asubuhi )

He wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

She wakes up at 6 AM
( Huwa anaamka saa 12 asubuhi )

2. Kwa sentensi za kukanusha

SUBJECT + DOESN'T/ DON'T + MAIN VERB

Ufafanuzi :

DOESN'T - inatumika kwa nafsi ya tatu umoja , yani He, she na It .

DON'T - inatumika kwa nafsi

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOESN'T basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Pia :

Does not = Doesn't
Do not = Don't

KUMBUKA : Unapotumia DON'T au DOES basi kitenzi kikuu ( main verb ) kinakuwa hakibadiliki ( infinitive ) .

Examples :

-I do not wake up at 6 AM
( Huwa siamki saa 12 asubuhi )

-You don't wake up at 6 AM
( Huwa hauamki saa 12 asubuhi )

-He does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

-She doesn't wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- It does not wake up at 6 AM
( Huwa haamki saa 12 asubuhi )

- We do not wake up at 6 AM
( Huwa hatuamki saa 12 asubuhi )

They don't wake up at 6 AM
( Huwa hawaamki saa 12 asubuhi)

3. Sentensi za kuuliza maswali

DO / DOES + SUBJECT + MAIN VERB

Examples :

Do you live here ?
( Je unaishi hapa ? )

Does he like this t-shirt ?
( Je anaipenda fulana hii ? )

Jinsi ya kujibu

-Yes I do .
-Yes he does .
-Yes she does .

Mifano zaidi

She loves her mother
( anampenda mama yake )

He eats banana
( Hula ndizi )

I drive a car
( ninaendesha gari )

You like this movie
( unaipenda muvi hii )

They hate us
( wanatuchikia )

Source : www.englishkona.com

Kwa leo tuishie hapa....tutaendelea .

WhatsApp : 0767329643

NOTE : Huu uzi utakuwa unasasishwa kila mara .
Umenisaidia pa kuanzia pre-form one ifikapo mwezi wa 9
 
Back
Top Bottom