Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Hiyo namba mbona haipigiki? Kama uliweka namba wenye maslahi nayo wameinyofoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndo umesema tujiongeze,wengine je wana akili kama yako?!Mnaweza kuzaliwa baba mmoja ,mama mmoja hata kuzaliwa mapacha lakini mnatofauti ya uelewa.Sasa hapo unaibiwa vipi, vitu vingine tujiongeze.
Labda kaishiwa chaji,maana akipigia watu elfu na kutoa hela kuna nini hapo?;Au muda wake wa kazi bado au kakamatwa!Hiyo namba mbona haipigiki?
Inawezekana mkuu wameinyofoa!Hiyo namba mbona haipigiki? Kama uliweka namba wenye maslahi nayo wameinyofoa.
Simu yangu ukitaka kupiga unatumia 1 mpaka 0 ukipiga "hiyo namba" haiendi.Labda kaishiwa chaji,maana akipigia watu elfu na kutoa hela kuna nini hapo?;Au muda wake wa kazi bado au kakamatwa!
Shida ina anzia kuuacha uswahili na kutaka kuonekana mzunguHiyo namba inakupigia simu na kukuliza unajua unaongea na nani?Ukitaja tuu jina labda Oswald anadakia aah unajua kutambua sauti hii pia ni namba yangu isave ndo maelezo ya mizinga inaanzia hapo ooh baba kalazwa.Niazimie laki2
Kweli mkuu!Shida ina anzia kuuacha uswahili na kutaka kuonekana mzungu
Piga uswahili wa swali kwa swali unajua unaongea na nani nawe unamuuliza kwani wanifahamu mimi nani? Atatoka mbio mwenyewe
Kweli mkuu!Shida ina anzia kuuacha uswahili na kutaka kuonekana mzungu
Piga uswahili wa swali kwa swali unajua unaongea na nani nawe unamuuliza kwani wanifahamu mimi nani? Atatoka mbio mwenyewe
🙏Habari wana JF,
Tukiwa humu ni kama Ndugu tunabadilishana mawazo na kuamshana fikra. Jana jumatatu jioni nimepigiwa simu na hiyo namba. Anachofanya yeye ukishapokea ni kukuliza unajua unaongea na nani!? Ukikosea ukajichanganya kumjibu hapo ndio mizinga ya hela huanza tena ndefu.
Kajichanganya kwangu baada ya sauti yake kumfananisha na mtu ambae kanisaidia hela wiki iliyopita kwa kujua hali niliyokuwa nayo. Tigo tusaidieni hiyo ni namba ya kampuni.
Nawasilisha.
NakaziaMi sijaona hapo Utapeli. Nimeona kuna Mpumbavu mmoja amepiga simu akitaka kujua kama upande wa Mpili ni mpumbavu mwenzie. Yaani uniulize najua naongea na nani halafu uje unitapeli? How? Hayo si mawazo ya kipumbavu?
As usually mimi kama Mtanzania watu kama hao hukutana na swali hili!na lazima wakate simu.Anachofanya yeye ukishapokea ni kukuliza unajua unaongea na nani!?
Hayo ni mawazo yako,wengine hawajui wanakuja kujua washaliwa Pesa!As usually mimi kama Mtanzania watu kama hao hukutana na swali hili!na lazima wakate simu.
'Wewe ulikuwa unamtaka nani'?,simu ni chombo chako una umiliki kamili so unaweza kumuuliza mtu unavyotaka siyo yeye akupangie so mazingira kama haya ukitapeliwa umetaka mwenyewe.
Uko sahihi kwa upande wako!mwingine hajui hivyo!Nakazia
Uswahili una tugharimu ila fresh tuKweli mkuu!
Sio mawazo mkuu ni simu unapigiwa somo heading vizuri na maelezo!Mi sijaona hapo Utapeli. Nimeona kuna Mpumbavu mmoja amepiga simu akitaka kujua kama upande wa pili ni mpumbavu mwenzie. Yaani uniulize najua naongea na nani halafu uje unitapeli? How? Hayo si mawazo ya kipumbavu?