Jihadhari na aina hii mpya ya utapeli kwa njia ya simu

Jihadhari na aina hii mpya ya utapeli kwa njia ya simu

Uswahili una tugharimu ila fresh tu

Mwaka 2011 niliomba Kazi sehemu flani tukapigishwa usahili freshi wakasema watakao pita watapigiwa simu kufahamishwa

Ikapita wiki nimesha sahau hili tukio, meneja wa kampuni akanipigia simu anauliza we nani? Si nikaleta uswahili we wamtaka nani? Kauliza ni mwenye simu ama nikajibu uswahili wa kitanzania pale akakata simu

Ikafata meseji "unakumbuka ulifanya usahili tarehe flani napenda kukujulisha nafasi y'ako imeshukuliwa na mtu wa ziada baada ya wewe kutotoa ushirikiano kupitia mawasiliano ya simu"
Unaona eeh!
Poleni sana...
Ahsante mkuu ila hakunipata!
 
Back
Top Bottom