Walokole ndio wanajibu mbovu namna hio?
Watendaji hawana akili kabisa!hiyo sheli ya walokole na pump attendants nao walokole, kanisa lao lipo hapohapo sheli madhani. Mwenye Sheli ni Mchungaji
Mkuu unaenda kwa pisi kali au huduma?Mtoa mada acha kukichafua kituo chetu bwana hapo kuna pisi kali za kutosha na zinaadabu balaa...uzembe ni wako ukiwa unaingia hapo victiria pampu za petrol zipo kivyake na disel kivyake kwann wewe ukosee kila mara au unaingia apo upo tungi?
Nafuata huduma mkuu hiyo kusema pisi kali ni chombezo tuMkuu unaenda kwa pisi kali au huduma?
Pisi kali huwa hanana akili sana.
Ndio maana hawajui wanachokifanya.
Bwahahaha.....kwamba pisi kali is inversely proportional to akili.....Mkuu unaenda kwa pisi kali au huduma?
Pisi kali huwa hanana akili sana.
Ndio maana hawajui wanachokifanya.
huwezi kujua labda alienda kupaki gari kwenye pump ya diesel huku kajifungia kwenye gari kubosi. kalizwa tukuwekee ya shilingi ngapi mkuu yeye akajibu weka ya elfu 30
Pole sana.. ila nahisi kuna tatizo na kwako pia, why gari yako ipate hizo changamoto?
Kama una gari ndogo ila inatumia diesel ni vizuri uweke lebo ndogo kwenye sehemu ya kuwekea mafuta.
Na kama una gari kubwa inatumia petrol fanya hivyo..
Hii itakusaidia kuepuka makosa kama hayo maana pump attendant wamekariri kwamba gari ndogo zote ni petrol na gari kubwa zote ni diesel
Shekh na wewe unatuingiza chaka unaita petrol bunk/kituo cha mafuta, sheli? Na unataka tukuchukulie serious?!Pole sana mkuu mie sheli zilizokaa kitapeli tapeli huwa sijazi mafuta! Sheli chafu chafu wahudumu hawaeleweki! Sheli smart ni total nikizidiwa naweka Lake oil!
Usitake kuntia njaa weweShekh na wewe unatuingiza chaka unaita petrol bunk/kituo cha mafuta, sheli? Na unataka tukuchukulie serious?!
Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
Pampu nyingi za kisasa zinadispense both petrol na diesel.How gari ya diesel uwekewe petrol? Au ulipeleka gari yako kwenye pump za petrol badala ya diesel? Maana pump zinaonyesha petrol wapi na diesel wapi
≈100,000 kwa gari dogo, gharama kwa ajili ya ku-bleed system ya mafuta na kumwaga mafuta kwenye tenki, tuki-assume uligundua kosa mapema na ukazima gari mara baada tu ya kuweka petroli, ili isiweze kufika, au kama imesha-pumpiwa isilete madhara makubwa.Kwa ishu kama iliyomtokea mleta uzi gharama za kuclear tatizo zinaweza kufika kiasi gani.
Nauliza kwaajili ya kupata maarifa tu.
Tatizo hazipatikani kila mahali, mimi Camel na Panone naziogopa kama ukomaPole sana mkuu mie sheli zilizokaa kitapeli tapeli huwa sijazi mafuta! Sheli chafu chafu wahudumu hawaeleweki! Sheli smart ni total nikizidiwa naweka Lake oil!
Oilcom wengi weziKuna kipindi nasikia Oil Com[emoji247] ukiweka mafuta gari inatetema kama inacheza ule wimbo wa daimondi[emoji1787]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Lazima ajibiwe mbovu maana hapo pampu zimetengwa kabisa na zinamaandishi makubwa tu huyu jamaa itakuwa ni chapombe..
Filling stationPole sana mkuu mie sheli zilizokaa kitapeli tapeli huwa sijazi mafuta! Sheli chafu chafu wahudumu hawaeleweki! Sheli smart ni total nikizidiwa naweka Lake oil!
Unaelekea kwenye pump ya aina ya mafuta unayohitaji unless hakuna maelekezo cause kuna gari ambazo ni same model ila zinatumia diesel au petrolHivi protokali ya kuweka mafuta ikoje?