kyemo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 570
- 718
Wewe mwenye gari inatakiwa upeleke gari yako kwenye pump usikaHivi ukingia kwenye kituo cha mafuta gari ni jukumu la nani kuielekeza kwenye pump ya mafuta husika!
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenye gari inatakiwa upeleke gari yako kwenye pump usikaHivi ukingia kwenye kituo cha mafuta gari ni jukumu la nani kuielekeza kwenye pump ya mafuta husika!
Ova
Lakn kwa hz zinaonyesha kabisa kwamba pump hii ni ya diesel na hii ni ya petrol,ss ilikiwaje jamaa akapeleka siko.Inawezekana na yy alikua na mawazo so akuangalia.Shida hizi pump nyingine zinakuwa upande mmoja petrol upande diesel.. Rangi tu ndo inatofautisha
Uponmkoa gani? Pump za kisasa Zina petrol na diesel horse hapo hapo.How gari ya diesel uwekewe petrol? Au ulipeleka gari yako kwenye pump za petrol badala ya diesel? Maana pump zinaonyesha petrol wapi na diesel wapi
Na muhudumu ni jukumu lake kuhakiki kuws ni petrol au diesel, wote wana makosa japo kosa kubwa ni kwa muhudumu kuhudumia kwa mazoeaWewe mwenye gari inatakiwa upeleke gari yako kwenye pump usika
Pump za kisasa Zina diesel na petrol horse hapohapo wanazo Engen na baadhi ya vituoLakn kwa hz zinaonyesha kabisa kwamba pump hii ni ya diesel na hii ni ya petrol,ss ilikiwaje jamaa akapeleka siko.Inawezekana na yy alikua na mawazo so akuangalia.
AsanteWewe mwenye gari inatakiwa upeleke gari yako kwenye pump usika
Ila kihuhalisia gari nying ninza petrol so kama una gari ya Diesel uwe makini mwenyewe mwenye gari ukingia sheli useme mapemaaa hii Diesel usikae kimya au lah uwelke stika pale kwny mfuniko...Unaelekea kwenye pump ya aina ya mafuta unayohitaji unless hakuna maelekezo cause kuna gari ambazo ni same model ila zinatumia diesel au petrol
Mkuu hicho kituo alichotaja pump zimetengwa kbc petrol upande wake na diesel upande wake kwahiyo huyu jamaa ni mzembe tu unaenda na Vx unafika unalipaki upande wa diesel kumbe la petrol na haujaeka vile vi stika nani wakulaumiwa hapo?Haya majibu. Hivi kweli hamjui kuna pump moja ina pipe ya diesel na petrol hapo hapo? Mtoa mada chukua jukumu kulinda gari yako.
Poleni sana mimi nilishasahau mambo ya mafuta. I just go green and electric with my Telsa model X (ila natamani tu kuimiliki)Pole sana mkuu mie sheli zilizokaa kitapeli tapeli huwa sijazi mafuta! Sheli chafu chafu wahudumu hawaeleweki! Sheli smart ni total nikizidiwa naweka Lake oil!
Mkuu ulokole wao na uchungaji wa huyo mmliki unahusiana na nini na kumuwekea jamaa petrol badala ya diesel?hiyo sheli ya walokole na pump attendants nao walokole, kanisa lao lipo hapohapo sheli madhani. Mwenye Sheli ni Mchungaji
Ni watu waungwana sana hawa watu kuanzia mmiliki wa kituo mpaka wafanyakazi wake, inawezekana kuna tatizo baina yako mwenyewe na watu waliokuhudumia ambalo lilistahili kumalizika hapo hapo!Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!
Sijui EWURA wanasemaje hapo.
View attachment 1827601
Kwanini wamwekee petrol badala ya diesel? Ili wapate nini? Nadhani kuna tatizo zaidi ya lilivyoletwa hapa!Mkuu ulokole wao na uchungaji wa huyo mmliki unahusiana na nini na kumuwekea jamaa petrol badala ya diesel?
Nadhani tujadili hoja na tusijadili watu.
Unataman tu kumbePoleni sana mimi nilishasahau mambo ya mafuta. I just go green and electric with my Telsa model X (ila natamani tu kuimiliki)
Kwa majibu ya manager wao sikuuona huo uungwana.Ni watu waungwana sana hawa watu kuanzia mmiliki wa kituo mpaka wafanyakazi wake, inawezekana kuna tatizo baina yako mwenyewe na watu waliokuhudumia ambalo lilistahili kumalizika hapo hapo!
Tatizo ni dini ama mfayakazi wao?Kwanini wamwekee petrol badala ya diesel? Ili wapate nini? Nadhani kuna tatizo zaidi ya lilivyoletwa hapa!
Nashangaa mshindani wa kibiasharavwa Victoria PSanakutuma kuja kuharibu biashara za Watu.Gari yangu ya diesel na nikawekewa petroli, nimewekewa mara mbili!
Nimeapa kutorudi kuweka mafuta hapo.
Kuna katatizo hapa.
Na manager aakawa mbishi na kusema ni shauri lako!
Sijui EWURA wanasemaje hapo.
View attachment 1827601
who is manager, eti sikuuona, acha uchawi, ukizeeka si utakuwa jini?Kwa majibu ya manager wao sikuuona huo uungwana.
Halafu utajiita una akili we mbwiga? Umeona neno "Dini" au linalofanana na hilo kwenye post yangu? Jinga...Tatizo ni dini ama mfayakazi wao?
Unaonekana una akili kidogo sana.
Pole sana. Wenzako wengine tunatumia kituo hicho pia, huduma tunayopata inaridhisha sana...Kwa majibu ya manager wao sikuuona huo uungwana.
Mimi nikosewe kwa kuwekwa mafuta yasiyo, kulalamika, nijibiwe kwa dharau halafu nisikereke, basi hapo nitakuwa zezeta!who is manager, eti sikuuona, acha uchawi, ukizeeka si utakuwa jini?