Mhandisi Mzalendo
JF-Expert Member
- Aug 23, 2010
- 6,682
- 11,461
- Thread starter
- #101
Wewe nawe walewale. Mnawapanga watu muwapigeAcha kudanganya watu hii kampuni imeumiza watu wange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe nawe walewale. Mnawapanga watu muwapigeAcha kudanganya watu hii kampuni imeumiza watu wange
Mkuu ikiandikwa "Grade X" ina maanisha nini?[emoji134]So What Are The Major Japanese Car Auction Grades?
With that said, let’s look at the different overall auction grades and what they mean about the overall condition of the car:
Grades 7, 8, 9 or S– These refer to a brand new car with only delivery mileage.
Grade 6– This grade can sometimes be equivalent to the grades above, but sometimes will have a little more than just delivery mileage.
Grade 5– A vehicle in superb condition, very close to brand new standard, but with several thousand kilometers on the odometer.
Grade 4.5– A vehicle in excellent condition, but with up to a few tens of thousands of kilometers on the clock.
Grade 4– A good, solid vehicle usually having less than 100,000 km on the clock.
Grade 3.5– A higher mileage vehicle or one which will need some work to clean up.
Grade 3– Either a very high mileage vehicle or one which is rough.
Grade 2– A very rough vehicle usually with corrosion holes triggering this low grade.
Grade 1– Usually a heavily modified vehicle which has had a different engine or transmission fitted, or which has an aftermarket turbo charger. Other possibilities are flood or fire extinguisher damage.
Grade R, RA, A and 0 (zero)– These are vehicles that have had some degree of accident repairs. At one end of the spectrum the repairs will be a single panel replaced due a minor parking ding, whereas at the other extreme there are vehicles that must have rolled in an accident which have had almost every panel replaced.
Ungraded vehicles ()– These are sold as-is by the auction with no or almost no information about their condition. As such they are very risky and can result in escalating additional costs if they cannot drive or move.
What Kind Of Information Is Available On An Auction Sheet?
The first thing you will notice is that you probably can’t read most of this as it is in Japanese. Well don’t worry about that as this is what we are here for you www.digxam.com . For any cars you have a serious interest in bidding on, you can request a translation from a highly-qualified human translator.
You will also spot that the inspection reports are divided into sections, as you can see on the left. Some parts you can read, such as the overall grade, interior grade or the annotations on the "car map".
So, what are the main sections in this report?
Auction Grade is the Auction Inspector's assessment of the o...
- Details of the car itself (such as KM, model name, basic equipment etc)
- The overall grading of the car.
- This includes the interior grade (and sometimes also exterior grade) of the car.
- Seller’s sales points.
- Auction inspector’s written comments.
- The “car map” showing exterior damage
Must be replaced.Mkuu ikiandikwa "Grade X" ina maanisha nini?[emoji134]
Wabongo wezi wezi sana kwenye magari...nendeni SBT au BE FORWARD
Period, makampuni mengine yore ya
Wabongo wahuni tu .......
Ova
Janjapan na wao ni vip?Kampuni ni SBT na Beforward TU,huko kwingine nenda ukiwa umejiandaa kisaikolojia
Mitanzania sisi ni mipumbavu! Wakenya wakija wakatoboa tunabaki majungu! SBT Japan ni kampuni ya uhakika, hakuna rongorongo! Hii SBT Tanzania nayo ina watu wachache wapuuzi. Walitaka kunipiga hela kwenye ushuru ule mdogomdogo nikawastukia nikawaambia sitoi cash nitalipa kwa control number mimi mwenyewe! Mpaka namaliza kulipa nikakuta walikuwa wananipiga 800k, pumbavu kabisa! Wao wenyewe walininyooshea mikono! Kijana wa shemeji yangu alikuwa kwenye huo mpango wa kupiga hela yangu maana huwa anapiga day worker ya kusaidia watu kutoa gari bandarini sasa nikajidai kumwamini, uzuri nikastukia mchezo nikamwambia hela nitakaa nayo mwenyewe wao washughulike tu na makaratasi kila wakimaliza hatua moja wananipa control number nalipa! Hakika niliwaweza!Siri ya utapeli ipo hapo kwenye kuweka gharama/bei ya chini kuliko gharama halisi za huko Japan.
Note: Biashara nyingi zinazoendeshwa na Watanzania zimejaa janja janha na utapeli.
Ikiwa catering services mtakubaliana sahani ya 20,000/- ukumbini analeta sahani ya 9,000/- tena bila aibu
Kama ni gari basi ndio mambo ya kubadilishiana chasis au anakuletea lolote ilimradi brand name na rangi vinafanana.
Kaman ni ujenzi basi watajenga chini ya kiwango
Mkuu gari nzuri ziko SBT Japan! Wacha! Halafu jamaa wako systematic kweli wanakupa namba unakuwa unafuatilia mzigo wewe mwenyewe kila hatua. Mpaka tarehe meli inatia nanga unaiona kabisa! Ila kuwa mwangalifu na SBT Tanzania, pale kuna matope yamerundikwa pale yanashirikiana na jamaa wa clearing and forwarding ukizubaa kidogo tu unapigwa!Hii nimeikuta sehemu nikasema ngoja ni share na wewe kidogo mkuu Be forward wamejaza watu wangi mitandaoni kazi yao ni kupiga propaganda lakini ukweli magari yao sio.
Sidhani kama ni wahuni ila kwa experience ya watu wachache naowajua, gari za hii kampuni ni unanunua at your own risk. Hawana gari nzuri kama kwa mfano TRUST (japanesevehicles.com) au enhance auto, realmotor, autocom. Kuna watu wawili gari zikikuja na hali mbaya, moja ikakataliwa na TBS, mpaka repairs fulani zifanyike. Ila hizi kampuni nyingine gari hata ikiwa na mileage kubwa bado inakuwa nzima sana.
Mi nitawaambia waniletee Lambogine, tuone kama bongo wataipataHabari wa JF,
Katika pita pita zangu mitandaoni hasa JF na instagram nimeona kuna kampuni/watu wanaofanya huduma za kuagiza magari nje kwa masharti ya kulipia nusu na kumalizia kiasi kilichobaki baada ya gari kufika. Mengi ya makampuni hayo (Sisemi wote) ni "MATAPELI WAKUBWA SANA" na huu ni mchezo ambao huwafanyia wateja wao.
1. Huwa wanapost gari kwenye mitandao either wameliona kwenye site za magari au wana picha zake.
2. Baada ya kupost wateja wataliulizia na wanakuambia lipo.
3. Then watakufikisha kwenye ofisi zao nyingi zipo posta na maeneo ya mwenge- sinza- mlimani city.
4. Mtaingia mkataba na wewe kufanyia malipo gari hilo nusu. Hapa mnaweza kuwa hata wateja wanne mnafanyia malipo gari moja.
Baada ya malipo ndio mchezo unaanza.
Kwanza hawatakuonyesha chasis number ya gari na pia watakutajia km chache mno lets say between 40,000-70,000 ila kamwe hawatakupa picha ya odometer.
Baada ya hapo jamaa huwa wanaingia mzigoni kuanza kutafuta gari inayofanana na ile uliyoagiza may be kwa rangi.
Wakiipata huko japan kwa bei rahisi watakuuagizia ila zile zilizopata ajali na kufanyiwa modification. Au wakiukosa wanakutafutia hapa bongo gari kama ile na kule japan/nje wanakuagizia chasis number tu na vile vibati vya chasis number kwenye mlango then vikifika bongo wanakubandikia kwenye gari then wanakuambia gari imefika. Kumbe badala ya kuagiziwa gari umeagiziwa chasis number then gari inabandikwa na kufanyiwa usajili upya.
Kampuni hizi mara nyingi zinakua na blaah blaah ukiwauliza maswali na magari yao mara nyingi yanachelewa sana. Ili ku buy time ya kufanya manuva yao.
Unaponunuua gari mtandaoni hakikisha kabla ya kulipia unafanya yafuatayo.
1. Pata picha ya gari lote mpaka odometer.
2. Pata chasis number ya gari (Hii itakusaida kujua hilo gari lipo au laah).
3. Omba auction report/sheet. Check picha hapo chini... Wauzaji wajanja wajanja hawakupi hii hata iwaje....
USIFANYE MALIPO KAMA HUJAPEWA HIVYO VITU LA SIVYO UTAUZIWA PICHA YA GARI BADALA YA GARI.....
Kesi za namna hii zipo sana central police na washawachoka hawa watu ila bado watu wanaendelea kupigwa sana.....
Chukua tahadhari.
Siku njema.
Kampuni za Wajapan ni zipi?Mkuu umechambua vizuri sana tatizo uelewa wa mswahili zero umepoteza muda wako mswahili hataki kujifunza kitu kipya ndio maana wanatapeliwa SBT na Beforward ni makampuni ya Wahindi na wapakistani sio Wajapan ndio maana wanauza magari mabovu miezi mitatu gari chalii alafu mswahili anajiona mjanja sana mjuaji wa kila kitu Mjapan ni mkweli gari kama ni zero Grade anakueleza ukikubali utalipia pesa kidogo.
Ulitumia njia nzuriMitanzania sisi ni mipumbavu! Wakenya wakija wakatoboa tunabaki majungu! SBT Japan ni kampuni ya uhakika, hakuna rongorongo! Hii SBT Tanzania nayo ina watu wachache wapuuzi. Walitaka kunipiga hela kwenye ushuru ule mdogomdogo nikawastukia nikawaambia sitoi cash nitalipa kwa control number mimi mwenyewe! Mpaka namaliza kulipa nikakuta walikuwa wananipiga 800k, pumbavu kabisa! Wao wenyewe walininyooshea mikono! Kijana wa shemeji yangu alikuwa kwenye huo mpango wa kupiga hela yangu maana huwa anapiga day worker ya kusaidia watu kutoa gari bandarini sasa nikajidai kumwamini, uzuri nikastukia mchezo nikamwambia hela nitakaa nayo mwenyewe wao washughulike tu na makaratasi kila wakimaliza hatua moja wananipa control number nalipa! Hakika niliwaweza!
Ningezembea nilikuwa nimelizwa! Dar watu hawana aibu, ndugu naye anashiriki kukuliza eti!Ulitumia njia nzuri
Dah...Ahsante jf, Maana hapa nillikuwa nataka kuagiza Xtrail new model kupitia hao hao wenye makampuni NYIEEE
Umesoma huo uzi au umeweka link tu? Kaibiwa vifaa gari likiwa wapi?
Mkuu vipi ukiwalipa cash wanakupa hati au hawakupi.Tangu 2015 na agiza Magari kwa kutumia SBT japan tanzania.
utafungua account yako , kama vile gmail.
chagua gari ziko za bei tofauti touti kulingana na uwezo wako.
hapo hapo kuna makadirio ya kodi ya gari yako uliochagua.
mpaka gari kufika bandari ni siku 40 mpka 50.
hizo kampuni hasa za pale milimacity ni janga, hata hizi gari zinazouzwa kwenye yard mara zote wanabadirisha vitu.
biashara zetu sisi watu weusi bado sana.
kuna hawa jamaa wa kampuni za kuuza viwanja.
''viwanja vyote vina hati" nunua kiwanja, lipa kwa awamu maliza fedha zao.Waambie wakukabidhi kiwanja na hiyo hati🤣🤣safari ya kudai hati ina anza, nenda rudi mwaka wa kwanza nenda rudi mwaka wa pili nenda rudi mwaka wa saba!
watu wakisikia hati wanashawishika kununu viwanja, ili wakipata hati waende kwenye taasisis za fedha kukopa.
Hahahaa, wakenya wanalia kila siku baada ya wachina kuingia mtaa kuuza bidhaa. Kuna chimbo lao moja linaitwa China supermarket.Wewe umesema kiini cha tatizo hasa. Watanzania tuna akilifupi mno mno. Biashara karibu zote zimejaa ''ujanja ujanja'' na maneno mengi. Yaani mfanyabiashara haoni madhara ya kutokuwa mwaminifu hata kidogo. Ni tamaa mbele kwa mbele. Nadhani ni culture tuliyojenga kwa sababu ya uadimu wa bidhaa kipindi cha ujamaa. Muuzaji anakuwa ndiye mfalme na mnunuzi anakuwa kama mtumwa. Huwa nasema ombeni sana wachina wasije kuruhusiwa kufanya hizi biashara ndogo ndogo maana wabongo wote wenye biashara watakufa njaa.