Jihadhari na mapenzi siku za sikukuu

Jihadhari na mapenzi siku za sikukuu

Kwamba siku ya sikukuu hisia zinatakiwa zife kabisa
siku za sikukuu ngono zinafanyika kizembe mno tena kwa kukamiana sana kwa mazingatio duni mno ya afya.....

Mtu anaweza kua yupo ata kwenye dozi lakini sikukuu anapuuza dozi na kugambeka na mbususu anapiga dah
Sasa wakianza 2024 na maradhi wewe inakusumbua nini?
Acha kutoa ushauri wa kitoto kwa watu wazima!
katika familia na ukoo wenu sihamjawahi kuuguza mwenye ukimwi kwahiyo ni vigumu kuona usumbufu wa kuuguza...

Lakini pia katika utoto ndipo twajifunza vyema sana ndugu muelewa....
 
siku za sikukuu ngono zinafanyika kizembe mno tena kwa kukamiana sana kwa mazingatio duni mno ya afya.....

Mtu anaweza kua yupo ata kwenye dozi lakini sikukuu anapuuza dozi na kugambeka na mbususu anapiga dah

katika familia na ukoo wenu sihamjawahi kuuguza mwenye ukimwi kwahiyo ni vigumu kuona usumbufu wa kuuguza...

Lakini pia katika utoto ndipo twajifunza vyema sana ndugu muelewa....
Kama ipo ipo tu
 
Hufai kuwa mwanajeshi; kule Gaza wangapi wanakufa wakiwa na miaka isiyozidi 30? Kujihami ni muhimu, ila hofu si nzuri
 
Back
Top Bottom