Jihadhari na overtake za aina hii

Jihadhari na overtake za aina hii

Kwanza alikuwa anaongea na simu, akagonga gari la mbele ambalo liliona hatari kwa mbele likafunga breki za ghfla. Kisha akatanua! Alichokipata tunaomba Mwenyezi amnusuru kama yu hai.


Hapa suala la udereva wa kujihami haukuwepo kabisa.
Kabla video haijafunguka niliona hii comment nikagundua Ni video gani, Ina ka muda hio video
 

Hawa jamaa kama wamepona wana Mungu sana. Mara zote tunakumbushana kuwa Highway sio sehemu ya mchezo. Hii overtake ambayo inafanywa kwa mtindo wa "Tailing" madhara yake ni kuwa hutaona mbele na wa mbele yako ni rahisi sana kukuuza. Keep your heads up, make sure unaona mnyooko ndio unatoa gari.

Kuna gari zinashawishi overtake ya aina hii
 
Ila hii kawaida kwenye foleni mmoja akitoka kawaida kumuungia sema ndio hivyo huwa tuna bet tu sababu mbele huoni, ni sawa kuovateki kwenye kilima yaani Mungu tu anatunusuru.
 
Iwapo dereva angekuwa makini, na kuangalia japo taa ya gari ya mbele yake, japo ali_overatake kimakosa, still angeweza kupunguza mwendo, na kuwa salama /kurudi upande wake sahihi.
View attachment 2471047
Eti anachungulia kama usalama upo???
Hahahahah jamaa anamwambia oya kuna gari ndio dah. 🤣🤣🤣 Kakurupuka kalitoa zima zima
 
Huyo alokua ananyosha kidole na baadhi wa nyuma yake hawawezi pona maana wamepigwa double kick, labda dereva
Dereva kamuuza mwenzie 🤣 kamchomesha yani madereva sio watu. Navigator ndio anaanza kudedi hapo dereva kakimbiza body yeye asiumie ila cha ajabu anakutana na basi nalo limechochora kwahio hatoboi 🤣🤣🤣
 
Ukitaka kushuhudia overtaking za madereva vichaa njoo DAR - MORO hapa kuna madereva Wana mioyo ya chuma hawajui namna nyingine zaidi ya kukaa upande wa kulia Tu nakumbuka mwaka Jana maeneo ya ruvu kuna mwendawazimu mmoja na premio yake alikuwa anaovertake kama huyo jamaa kwenye clip.

Yule kichaa alikuwa anatoa gari hata mwenye V8 anaogopa lkn jamaa hivyohivyo anatanua na hatukumuona tena Hadi naingia morogoro
 
Mfano kungekuwa na gari linakuja mbele then wa mbele yake akawahi haraka kurudi kushoto ni lzm akutane nayo uso KWA uso labda wa kushoto kwako awe muungwana awahi kucheza na breki Ili upate haraka nafasi ya kuingia kushoto mbele yake.
Kwahio speed ilikuwa haiwezekani sababu huwezi simama na gear namba 5 ndio maana kaanza kulipiga lorry la mbele yake then kukwepa akakutana na basi limekwepa ajali kwa hio kinaumana kama kawaida.
 
Ukitaka kushuhudia overtaking za madereva vichaa njoo DAR - MORO hapa kuna madereva Wana mioyo ya chuma hawajui namna nyingine zaidi ya kukaa upande wa kulia Tu nakumbuka mwaka Jana maeneo ya ruvu kuna mwendawazimu mmoja na premio yake alikuwa anaovertake kama huyo jamaa kwenye clip.

Yule kichaa alikuwa anatoa gari hata mwenye V8 anaogopa lkn jamaa hivyohivyo anatanua na hatukumuona tena Hadi naingia morogoro
Huyo mwehu ana Mungu sana kwa sababu kwa style hio ikitokea Emergency lazma uishe. Gari ikiwa ina overtake lazma uchochee speed sasa imagine mwenzio wa mbele kaminya breki ghafla wewe unakwepaje na huoni hata mbele huko kukoje🤣🤣🤣!

Madereva wa hivyo wengi unakuta akifanikiwa kupita Morogoro salama maeneo ya Iyovi ni lazma aishe.
 
Kabla huja overtake jiulize, kwanini naovateki? Je mbele naona vizuri umbali gani? Je mistari inaruhusu kuovateki?
Hili swali wengi huwaga hawawazi. Mtu anaovertake sababu tu kaona mwenzie ana overtake. Unakuta mtu kaunga tu ghafla. Kwa gari ndogo mkifatana sio mbaya visibility inakuwepo ila Kufata lorry kwa mtindo huo ni balaa.
 
Mfano kungekuwa na gari linakuja mbele then wa mbele yake akawahi haraka kurudi kushoto ni lzm akutane nayo uso KWA uso labda wa kushoto kwako awe muungwana awahi kucheza na breki Ili upate haraka nafasi ya kuingia kushoto mbele yake.
Unasema kwa mfano wakati ni kitu halisi.

Hapo kagonga basi lenzake kwa nyuma kisha katanua kakutana na lori uso kwa uso
 

Hawa jamaa kama wamepona wana Mungu sana. Mara zote tunakumbushana kuwa Highway sio sehemu ya mchezo. Hii overtake ambayo inafanywa kwa mtindo wa "Tailing" madhara yake ni kuwa hutaona mbele na wa mbele yako ni rahisi sana kukuuza. Keep your heads up, make sure unaona mnyooko ndio unatoa gari.

Hatari what happened wanakosoa wengine wamesahau umakini wao, wanaendesha kwa kumtegemea alie mbele yao.
 
Iwapo dereva angekuwa makini, na kuangalia japo taa ya gari ya mbele yake, japo ali_overatake kimakosa, still angeweza kupunguza mwendo, na kuwa salama /kurudi upande wake sahihi.
View attachment 2471047
Eti anachungulia kama usalama upo???
Kwanza hio ajali huyu wa huku ni gari gani ni kubwa ya abiria? Au ndio ajali ya abood!!
 
Back
Top Bottom