Jihadhari, unataka kumuoa nani? Kuna watu wana roho ya mauti ukigusa tu, mauti inakufuata

Jihadhari, unataka kumuoa nani? Kuna watu wana roho ya mauti ukigusa tu, mauti inakufuata

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Roho ya mauti ni mbaya sana, kabla hujaingia kwenye mahusiano na mtu, jitahidi umjue.

Jua atleast mahusiano yake matatu nyuma yaliishaje, yalikuwaje?

Kuna mtu ukiingia naye tu kwenye mahusiano, unaanza kuugua, kazi zinaharibika, biashara zinakufa, ufukara unaingia na mambo yote kuyumba.

Hebu pitia mfano huu:-

Luka 20.
29Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto. 30Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye akafa bila mtoto, 31naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto. 32Mwishowe, yule mwanamke naye akafa. 33Sasa basi, siku ya ufufuo huyo mwanamke atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”

Ukiangalia mfano hapo juu ndio utaelewa. Huyo dada alikuwa na roho ya mauti. Kila mwanaume aliye lala naye alikuwa anakufa.
 
 
Kuna demu nilimpata anaitwa Nasra, huyu nilikumta yuko kwenye uhusiano, ila una migogoro, jamaa yake aliacha kazi, akahamia kwa Nasra na.muda wote wako wote, hawana dili, Nasrallah kwao ni mambo safi, yaani hadi mshikaji akawa anapewa posho.

Nilipoingia uhusiano wao ukafa, nikaingia. Nilipoingia na mimi nikafukuzwa kazi, nilikuwa na taxi mbili, zikafa, nilikuwa na duka likafa.

Kuna shemeji yangu mmoja, binamu yake Nasra akanitonya bro, utaishiwa hadi sumni, ukilala tu nanhuyo demu umekwisha.

Huo ndio ukawa mwisho wangu
 
IMG-20220930-WA0036.jpg
 
Roho ya mauti ni mbaya sana. Kabla huJingia kwenye mahusiano na myu, jitahidi umjue.

Jua atleast mahusiano yake matatu nyuma yaliishaje, yalikuwaje?

Kuna mtu ukiingia naye tu kwenye mahusiano, unaanza kuugua, kazi zinaharibika, biashara zinakufa, ufukara unaingia na mambo yote kuyumba.

Hebu pitiable mfano huu:-

Luka 20.
29Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto. 30Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye akafa bila mtoto, 31naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto. 32Mwishowe, yule mwanamke naye akafa. 33Sasa basi, siku ya ufufuo huyo mwanamke atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”

Ukiangalia mfano hapo juu ndio utaelewa. Huyo dada alikuwa na roho ya mauti. Kila mwanaume aliye lala naye alikuwa anakufa.
Kweli 100%
 
Somo kubwa sana hili. Tunajiingilia tu ki kichwakichwa matokeo yake tunaangukia pua
 
Kama walivyo wenye roho za umauti ndivyo walivyo wenye bahati zao
Kuna dada mmoja ilikuwa kila nikinyanduana nae wiki nzima nakuwa na kismart cha hela na furaha ya kazi
 
Roho ya mauti ni mbaya sana. Kabla huJingia kwenye mahusiano na myu, jitahidi umjue.

Jua atleast mahusiano yake matatu nyuma yaliishaje, yalikuwaje?

Kuna mtu ukiingia naye tu kwenye mahusiano, unaanza kuugua, kazi zinaharibika, biashara zinakufa, ufukara unaingia na mambo yote kuyumba.

Hebu pitiable mfano huu:-

Luka 20.
29Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto. 30Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye akafa bila mtoto, 31naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto. 32Mwishowe, yule mwanamke naye akafa. 33Sasa basi, siku ya ufufuo huyo mwanamke atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”

Ukiangalia mfano hapo juu ndio utaelewa. Huyo dada alikuwa na roho ya mauti. Kila mwanaume aliye lala naye alikuwa anakufa.
Ukimwi ulianza zamani mkuu!!
 
Kama walivyo wenye roho za umauti ndivyo walivyo wenye bahati zao
Kuna dada mmoja ilikuwa kila nikinyanduana nae wiki nzima nakuwa na kismart cha hela na furaha ya kazi
Wenye nyota zetu tupo sana hapa nchini, inakuwaje mnawaguata wenye mikosi yao?
 
Back
Top Bottom