Jihadhari, unataka kumuoa nani? Kuna watu wana roho ya mauti ukigusa tu, mauti inakufuata

Jihadhari, unataka kumuoa nani? Kuna watu wana roho ya mauti ukigusa tu, mauti inakufuata

Roho ya mauti ni mbaya sana, kabla hujaingia kwenye mahusiano na mtu, jitahidi umjue.

Jua atleast mahusiano yake matatu nyuma yaliishaje, yalikuwaje?

Kuna mtu ukiingia naye tu kwenye mahusiano, unaanza kuugua, kazi zinaharibika, biashara zinakufa, ufukara unaingia na mambo yote kuyumba.

Hebu pitia mfano huu:-

Luka 20.
29Basi palikuwepo ndugu saba. Yule wa kwanza akaoa, akafa bila kuzaa mtoto. 30Kisha yule wa pili akamwoa huyo mjane, naye akafa bila mtoto, 31naye wa tatu pia akamwoa. Vivyo hivyo ndugu wote saba wakawa wamemwoa huyo mwanamke, na wote wakafa pasipo yeyote kupata mtoto. 32Mwishowe, yule mwanamke naye akafa. 33Sasa basi, siku ya ufufuo huyo mwanamke atakuwa mke wa nani, maana aliolewa na ndugu wote saba?”

Ukiangalia mfano hapo juu ndio utaelewa. Huyo dada alikuwa na roho ya mauti. Kila mwanaume aliye lala naye alikuwa anakufa.
Hii ina ukweli.Vijana waoe kwa tahadhari.
 
Nna class mate mmoja ndoa tatu chali Mbili masela walikata Moto kiajabu akaapa hatoolewa Tena ila kulingana na umri akarudi kwenye mstari akaolewa ila haikudumu wakatengana na mwamba hakufa.
Siku yakalipuka madudu yakasema haoleki na atakeyemuoa atafirisika ,ataumwa, atapagawa Yani vitafanyika vya kila namna ili kumtenganisha Mana Ni mke wao ( Demons) so haoleki na akioleka wakishindwa kuwatenganisha muoaji anarudi mavumbini.
#MIKONO YA WATU WENYE WIVU
 
Nna class mate mmoja ndoa tatu chali Mbili masela walikata Moto kiajabu akaapa hatoolewa Tena ila kulingana na umri akarudi kwenye mstari akaolewa ila haikudumu wakatengana na mwamba hakufa.
Siku yakalipuka madudu yakasema haoleki na atakeyemuoa atafirisika ,ataumwa, atapagawa Yani vitafanyika vya kila namna ili kumtenganisha Mana Ni mke wao ( Demons) so haoleki na akioleka wakishindwa kuwatenganisha muoaji anarudi mavumbini.
#MIKONO YA WATU WENYE WIVU
Haya matatizo mara zote ni ya kiroho. Mpaka afanyiwe ukombozi ndipo atasimama tena
 
Hata wenye Bahati wapo pia, Nilikuwa kwenye mahusiano na Dada mmoja mzuri sana, Ni dada mcha Mungu, toka nimekiwa nae Mambo yangu yalinyooka kama rula, ila sikutaka kuwekeza kwake sabubu ni ile mbegu ya Mächämë ni full mpalestina. Mama mpalestina na baba mpalestina Nikaingiza upepo

Ila yule mwanamke ana nyota ya bahati sana. kila kitu nilichonacho leo kina connection sana na tulivyokuwa wapenzi

alikuja kuolewa na jamaa mmoja choka mbaya nae mambo yakanyooka saivi wamekuwa watamu balaaaa

Mambo yangu yakiharibika tuu, Gia ya kwanza ni kuomba appointment nigongee unyumba, baada ya hapo kila kitu mwake.
 
Hata wenye Bahati wapo pia, Nilikuwa kwenye mahusiano na Dada mmoja mzuri sana, Ni dada mcha Mungu, toka nimekiwa nae Mambo yangu yalinyooka kama rula, ila sikutaka kuwekeza kwake sabubu ni ile mbegu ya Mächämë ni full mpalestina. Mama mpalestina na baba mpalestina Nikaingiza upepo

Ila yule mwanamke ana nyota ya bahati sana. kila kitu nilichonacho leo kina connection sana na tulivyokuwa wapenzi

alikuja kuolewa na jamaa mmoja choka mbaya nae mambo yakanyooka saivi wamekuwa watamu balaaaa

Mambo yangu yakiharibika tuu, Gia ya kwanza ni kuomba appointment nigongee unyumba, baada ya hapo kila kitu mwake.
Aisee! Kwann hukumuoa mkuu? Ungekuwa mtamu pia.
 
Nna class mate mmoja ndoa tatu chali Mbili masela walikata Moto kiajabu akaapa hatoolewa Tena ila kulingana na umri akarudi kwenye mstari akaolewa ila haikudumu wakatengana na mwamba hakufa.
Siku yakalipuka madudu yakasema haoleki na atakeyemuoa atafirisika ,ataumwa, atapagawa Yani vitafanyika vya kila namna ili kumtenganisha Mana Ni mke wao ( Demons) so haoleki na akioleka wakishindwa kuwatenganisha muoaji anarudi mavumbini.
#MIKONO YA WATU WENYE WIVU
Mhusika anawezaje jitambua ili afanyiwe maombi?
Dunia aise ina mambo mengi sana
Nadhani na wanaume nao wapo wa aina hii
Karibuni wanawake mtoe shuhuda kwenye hili
Na unaivunjaje minyololo ya manguvu ya Giza ya Aina hii
Lakini kikubwa ni je mwanaume unawezaje mgundua mwenzi wako mapema ili usijikute umeshaingia kwenye pango ambalo huwezi toka
 
Hata wenye Bahati wapo pia, Nilikuwa kwenye mahusiano na Dada mmoja mzuri sana, Ni dada mcha Mungu, toka nimekiwa nae Mambo yangu yalinyooka kama rula, ila sikutaka kuwekeza kwake sabubu ni ile mbegu ya Mächämë ni full mpalestina. Mama mpalestina na baba mpalestina Nikaingiza upepo

Ila yule mwanamke ana nyota ya bahati sana. kila kitu nilichonacho leo kina connection sana na tulivyokuwa wapenzi

alikuja kuolewa na jamaa mmoja choka mbaya nae mambo yakanyooka saivi wamekuwa watamu balaaaa

Mambo yangu yakiharibika tuu, Gia ya kwanza ni kuomba appointment nigongee unyumba, baada ya hapo kila kitu mwake.
Wewe ni Mimi kabisa aise
Huwa namtafuta kwa nia ya kuosha nyota
Nikiona sielewi elewi naomba gemu na ananishehishimu sana
Anakuja napiga gemu then michongo inaendelea
 
Back
Top Bottom