Jihadharini na Wanaume mashoga wapo sana Jamiiforums

Jihadharini na Wanaume mashoga wapo sana Jamiiforums

!
!
hahahahaha makalio madogo, magumu na makavu hahahahah..... my ex alikuwa akitaka atensheni ananitusi ------ yako...hahaaha nimecheka mno. Ngoja niamke sasa loh
Kwamba muda wote alikuwa anakuangalia matako tu kamanda na ukamwachaga ayashikage 😂😂😂,
Mkuu kuna mademu wengine wa kuwa makini nao ooh
 
Tatizo letu wa Africa tunashindwa kutofautisha Kati ya anaefanya na Yule mwenye mtazamo ,mtazamo wako katika jambo Fulani ,inaweza kuwatofauti Kama mm Mtazamo wangu juu ya. Mashoga nawaona ni Binadamu na Ushoga ni zambi Kama vile uongo, kuzin, kutoa mimba umbea nk wengi wetu tumezoea zambi kiasi kwamba tunayo iona ni Ushoga tu , utakuta mtu anamwita SHOGA ni mbwa ok kwa usafi gani ulio nao unamtema mate Nk je ww umtakatifu au na ww unayako lakin hutemwi mate na Mungu bado a nakupenda mm sisapot ushoga napinga mitazamo ya watu zidi Yao sio lazima mnielewe mwenye Kuelewa sawa
Wewe ni shoga kabisa.
 
Tatizo letu wa Africa tunashindwa kutofautisha Kati ya anaefanya na Yule mwenye mtazamo ,mtazamo wako katika jambo Fulani ,inaweza kuwatofauti Kama mm Mtazamo wangu juu ya. Mashoga nawaona ni Binadamu na Ushoga ni zambi Kama vile uongo, kuzin, kutoa mimba umbea nk wengi wetu tumezoea zambi kiasi kwamba tunayo iona ni Ushoga tu , utakuta mtu anamwita SHOGA ni mbwa ok kwa usafi gani ulio nao unamtema mate Nk je ww umtakatifu au na ww unayako lakin hutemwi mate na Mungu bado a nakupenda mm sisapot ushoga napinga mitazamo ya watu zidi Yao sio lazima mnielewe mwenye Kuelewa sawa
I suppose, to you having a Sex with your mama ni sawa tu na kuongopa kama unavyoona kawaida kwa mwanaume kugeuzwa
 
Back
Top Bottom