kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Mji kuitwa Jiji sio lelemama. Jiji huwa na vitu vingi sana kuliko mji na halmashauri. Unapoona jiji linashindwa kuwa na timu ya ligi kuu ni ama hilo Jiji limeharakishwa kuitwa Jiji kisiasa au viongozi wa hilo Jiji hawapaswi kuongoza hilo Jiji.
Mpira unapendwa duniani kote na unatoa Burudani na ajira nyingi sana hata kwa watu wa chini kabisa wanaouza karanga na wapiga kiwi.
Unaweza kuwa na timu ya ligi kuu kwa kupandisha timu ndogo au kununua timu ya ligi kuu.
Mpira unapendwa duniani kote na unatoa Burudani na ajira nyingi sana hata kwa watu wa chini kabisa wanaouza karanga na wapiga kiwi.
Unaweza kuwa na timu ya ligi kuu kwa kupandisha timu ndogo au kununua timu ya ligi kuu.