Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,761
- 3,835
Kutoka kwa kijana machachari Abi ahamed Jiji la Adis Ababa limegeuzwa kuwa jiji la kimataifa kwa kuliwekea international standard
Abiy anadai Lengo ni kuifanya Adis ababa kitovu cha usasa na miundo mbinu ambayo haipo popote pale Africa.
Asilimia 90% ya vitu vilivyotumika katika ujenzi vinatokana na wa ethiopia.
Kutana humu ndan na mtanzania mtaalam wa masalia ya kale akidai anachokiona Ethiopia angetaman na kingetokea Tanzania.
View: https://youtu.be/YftLYwrgoAU?si=8LdDO6HBRrdU9uN4
Abiy anadai Lengo ni kuifanya Adis ababa kitovu cha usasa na miundo mbinu ambayo haipo popote pale Africa.
Asilimia 90% ya vitu vilivyotumika katika ujenzi vinatokana na wa ethiopia.
Kutana humu ndan na mtanzania mtaalam wa masalia ya kale akidai anachokiona Ethiopia angetaman na kingetokea Tanzania.
View: https://youtu.be/YftLYwrgoAU?si=8LdDO6HBRrdU9uN4