Jiji la Arusha inaonekana bora zaidi bila daladala

morees

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2019
Posts
288
Reaction score
619
Leo hii nimebahatika kupita jijini hapa na kushuhudia hali ya jiji hili bila ya kuwepo daladala.

Mbali na adha wanayopata raia wanaotumia usafiri huu wa ndani. Mji umekuwa nadhifu na wa kupendeza sana. Jam zimepungua lakini pia makelele na vurugu za daladala.

Ni wakati sasa wa mamlaka kufikiria kuondoa kabisa usafiri huu ulio pitwa na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…