sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,280
- 7,930
Ndege Gani unawaowaongelea hapa ? Au kunguru ,Limekau kabisa....watu hawana maji, ardhi ni kavu Sana...miti na maua inakauka, ndege nao wamepotea siwaoni....
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Maana miaka yote niliyoishi dar ndege ninaowaona kwa wingi ni kunguru tu na Bado wanatia vurugu kama kawa