Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Maji yaliyo chini kwa hapa Dar ni zaidi ya mita za ujazo 20 bilioniMaji si mengi chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji yaliyo chini kwa hapa Dar ni zaidi ya mita za ujazo 20 bilioniMaji si mengi chini
Ndiyo,yanaweka balance dar isizame,ukiyanyonya ni sawa na kutoa hewa kwenye puto..kitatokea nini!?Maji yaliyo chini kwa hapa Dar ni zaidi ya mita za ujazo 20 bilioni
Kama ni hivyo majiji ya China kama Beijing, Shanghai, Shenzhen, Macau na Hong Kong yangekuwa yameshazama. Maana ndio yanaongoza duniani kwa uchimbaji wa maji ardhini dunianiNdiyo,yanaweka balance dar isizame,ukiyanyonya ni sawa na kutoa hewa kwenye puto..kitatokea nini!?
Kwa hiyo muundo/profile ya ardhi na miamba inafanana kote dunianiKama ni hivyo majiji ya China kama Beijing, Shanghai, Shenzhen, Macau na Hong Kong yangekuwa yameshazama. Maana ndio yanaongoza duniani kwa uchimbaji wa maji ardhini duniani
Juzi waziri wa maji Aweso amemkabidhi katibu mkuu wa wizara ya maji mitambo ya kuchimba visima vya kutoshaKwa hiyo muundo/profile ya ardhi na miamba inafanana kote duniani
hii elimu ya wapiMaji si mengi chini mkuu,chimba unywe...maji ya ardhini' yakichimbwa dar itazama,baharini dar chini Kuna maji baridi mengi,Ila si busara kuchimba,yanaleta balance
Kwa kweli mbagala imebarikiwa Sana. Huku hata habari ya mgao wa maji tunasikia tu mtandaonimbagala na chanika maji yakisima ukichimba ft 8 unapata maji safi ya kunjwa ....hata jua kali liwe vp
Geologyhii elimu ya wapi
geography ya kidato cha 3 inaeleza vzuri hilo sualaGeology
Kwa hio ukimwaga maji masafi ndo yanazidi mita 20Maji taka hayafiki hata umbali wa mita 20 chini ya ardhi. Maji safi yanapatikana chini ya mwamba ambapo unaanzia mita 80-150!
Yeah,mambo ya aquifergeography ya kidato cha 3 inaeleza vzuri hilo suala
HameniYaani Maji ni hakuna
...Ugali, Maharage utapikia Soda ? [emoji57][emoji57]Kunywa soda[emoji16][emoji13][emoji13]
Mjamaa ni MTU wa kuchafua hewaDogo ban imeisha? Karibu
Kwa nn Mkuu watu wake wa hovyoJiji la hovyo...na watu wake ni WAPUMBAVU
Mimi nimenunua madafu mengi nimeyaweka ndani ya friza.Yaani Maji ni hakuna
Mimi nimenunua madafu mengi nimeyaweka ndani ya friza.Yaani Maji ni hakuna