Jiji la Dar es Salaam limekauka, hakuna maji

mbagala na chanika maji yakisima ukichimba ft 8 unapata maji safi ya kunjwa ....hata jua kali liwe vp
Hizo futi unatumia maji ya choo pia.
Kwa uhalisia visima vyatakiwa viwe virefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…