Tetesi: Jiji la Dar kutanuliwa

1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.

2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo.

**Forthcoming Kisarawe Digital City.
Una kichaa cha dogi.
 
Dar kama downtown Manhattan New York city
 
Unaifaham Narobi au huwa unasimuliwa? Nairobi ni kubwa???
 
1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.

2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo.

**Forthcoming Kisarawe Digital City.
Naona ni wazo zuri kwa maslahi ya nchi
 
1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.

2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo.

**Forthcoming Kisarawe Digital City.
Kwahiyo, wanapanua Dar kwa kuiminya Pwani?
 
1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe.

2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo.

**Forthcoming Kisarawe Digital City.
sawa kwanini wasiingize na chalinze?au chlinze itahamia morogoro ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…