Jiji la Dodoma kuwaomba wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi (postcode) haijakaa sawa

Jiji la Dodoma kuwaomba wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi (postcode) haijakaa sawa

Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike.

Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).

Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi tu kuwa mambo hayajakaa sawa kutokana na huu mfumuko wa Bei unaoendelea na hata wafanyabiashara wameathirika sana na hili na juzi hapa mh.raisi alisema gharama yuingiza kontena imepanda kutoka dola 1500 hadi dola 8000.

Hivyo kwa mfanyabiashara ambae mwanzo ilibidi atumie bil 1 kuingiza makontena yake kadhaa, Sasa hivi itahitaji atumie bil 8 kuingiza makontena hayo kadhaa. Hivyo nae kwa sasa atahitaji pesa nyingi kuagiza mzigo mkubwa kutokana na kupanda sana bei

Lakini pia hili zoezi bajeti yake ilishatengwa, Ila Kama haitoshi basi niwaombe serikali mnaweza kulisogeza mbele.

Jiji la Dodoma halikupewa fedha za mradi huu au ni serikali imeishiwa?​

 
Kwa kuwa deni la taifa bado ni himilivu, basi serikali ikakope kuliko kutafuta fedha kupitia wafanyabiashara. Endapo itafanya hivyo, wafanyabiashara wataitumia kama fursa nzuri kwao kukwepa kodi kwa kupitia njia ya "tax avoidance"

Unapotaka msaada wa kifedha kutoka kwa mfanyabiasha ni lazima kwanza u "compromise" naye kwanza juu ya fidia utakayompa kwa namna moja ama nyingine. Hapo sasa itajitokeza changamoto nyingine mpya kwa maafisa wa TRA kukusanya mapato ya serikali.
 
Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike.

Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).

Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi tu kuwa mambo hayajakaa sawa kutokana na huu mfumuko wa Bei unaoendelea na hata wafanyabiashara wameathirika sana na hili na juzi hapa mh.raisi alisema gharama yuingiza kontena imepanda kutoka dola 1500 hadi dola 8000.

Hivyo kwa mfanyabiashara ambae mwanzo ilibidi atumie bil 1 kuingiza makontena yake kadhaa, Sasa hivi itahitaji atumie bil 8 kuingiza makontena hayo kadhaa. Hivyo nae kwa sasa atahitaji pesa nyingi kuagiza mzigo mkubwa kutokana na kupanda sana bei

Lakini pia hili zoezi bajeti yake ilishatengwa, Ila Kama haitoshi basi niwaombe serikali mnaweza kulisogeza mbele.


Wilaya ya Sumbawanga watu wamefanya kazi kwa siku 13 wamelipwa siku nne tu. Kwa siku wanalipwa elfu 20,just imagine na hili jua watu wanapuyanga kuanzia saa moja asbuh hadi saa 12 kisha wanalipwa elfu ishirini? hiyo hiyo nauli plus chakula? Mwafwaaaaa
 
Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike.

Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).

Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi tu kuwa mambo hayajakaa sawa kutokana na huu mfumuko wa Bei unaoendelea na hata wafanyabiashara wameathirika sana na hili na juzi hapa mh.raisi alisema gharama yuingiza kontena imepanda kutoka dola 1500 hadi dola 8000.

Hivyo kwa mfanyabiashara ambae mwanzo ilibidi atumie bil 1 kuingiza makontena yake kadhaa, Sasa hivi itahitaji atumie bil 8 kuingiza makontena hayo kadhaa. Hivyo nae kwa sasa atahitaji pesa nyingi kuagiza mzigo mkubwa kutokana na kupanda sana bei

Lakini pia hili zoezi bajeti yake ilishatengwa, Ila Kama haitoshi basi niwaombe serikali mnaweza kulisogeza mbele.

Hii michango inalipwalipwaje? tunaomba michango hii ilipwe kwa kutumia control number. Vinginevyo fedha zitaibiwa sana​

 
Kimsingi Jiji la dodoma limeamua kwenda mbali zaidi kwa kuweka vibao vya mitaa moja kwa moja..hili zoezi lionaloendelea ni kusajili makazi yote n kutoa anuani ya makazi ila haihusishi kubandika vibao vya mitaa mara moja. Hivyo kiutendaji budget haiwezi kukidhi shuguli kama hii na ndio maana Jiji la dodoma limeamua kuomba msaada kwa wahisani/wafanyabiashara mbalimbali. Hakuna ubaya ni swala la hiari tu. Bilioni 5 kwa halmashauri ni nyingi kwa sababu kumbuka dodoma mapato yake yako chini hayawezi kukidhi shughuli zote.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Kwenda mbali wap? Kuweka vibao?
Kwan mda wanaplan kuhusu swala la anwani za makazi hawakujua kuwa kutaitajika kuwekwa vibao?
Alaf sio dodoma tu wanaoweka vibao, Nyamagana wameweka vibao had vijijin pia lakin sikusikia wakiomba msaada kutoka kwa wafanya biashara
 
Kimsingi ile kodi ya ardhi inaratibiwa na TRA kupitia Tanesco. Kiutendaji TRA inawajibika kwa serikali kuu na siyo halmashauri.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Inaelekea uko jikoni kabisa lakini kuna hoja watueleze kwa uwezo wao wa ndani wamefanya nini na siyo kuomba fedha zote za mradi kutoka kwa wananchi.
 
Kwenda mbali wap? Kuweka vibao?
Kwan mda wanaplan kuhusu swala la anwani za makazi hawakujua kuwa kutaitajika kuwekwa vibao?
Alaf sio dodoma tu wanaoweka vibao, Nyamagana wameweka vibao had vijijin pia lakin sikusikia wakiomba msaada kutoka kwa wafanya biashara
Mapato na matumizi ya Halmashauri yanatofautiana. Mpaka wamefikia hatua ya kuomba msaada kwa wafanyabiashara ina maana wanapumulia mitambo. Its a simple logic.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Inaelekea uko jikoni kabisa lakini kuna hoja watueleze kwa uwezo wao wa ndani wamefanya nini na siyo kuomba fedha zote za mradi kutoka kwa wananchi.
Kimsingi kuchangia ni hiari kitakacho patikana kitarahisisha kukamilika kwa mradi wa muda mfupi. Kumbuka Jiji lina matumizi mengine ya lazima ya kila mwezi , hivyo kutegemea vyanzo vya ndani pekee haiwezi kumudu gharama za miradi yote kwa wakati.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Kumbuka pia ukusanyaji wa mapato kwenye halmashauri zetu bado ni tatizo kubwa.....lazma mkurugenzi awe na uwezo mkubwa wa kusimamia vema makusanyo ya mapato ili kuweza walau kumudu matumizi ya halmashauri.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
5 bil kwa halmashauri siyo swala dogo pia Kumbuka haikiwepo kwenye bajeti 2021/22. Pia halmashauri ya Jiji la dodoma haina vyanzo vya kutosha vya mapato kuweza kufanya yote hayo. Ndio maana imeomba msaada kwa wahisani si jambo baya kwa sababu ni jambo la maendeleo ambayo yanarudi kwa wananchi husika.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
Nimeshindwa nikujibu nn, ngoja nikudharau nipotezee
 
Tuliwahi aminishwa enzi za Jiwe kuwa jiji la Dodoma linaongoza katika ukusanyaji wa mapato, wakati huo mkurugenzi wa jiji alikuwa Kunambi vipi sasa mambo yamegeuka?
Si wakati wa jiwe tu, hata Sasa wamevunja rekodi ya mapato na sio kwa Dodoma tu ni nchi nzima. Jiwe awamu yake ilikuwa trillion 1.4 kwa mwezi , wao trillion 2. Alafu wanasema eti makusanyo hayatoshi
 
Kwenda mbali wap? Kuweka vibao?
Kwan mda wanaplan kuhusu swala la anwani za makazi hawakujua kuwa kutaitajika kuwekwa vibao?
Alaf sio dodoma tu wanaoweka vibao, Nyamagana wameweka vibao had vijijin pia lakin sikusikia wakiomba msaada kutoka kwa wafanya biashara
Huyo ni wa kumpuuuza. Dar wameweka vibao, na mikoa mingine hadi raisi aakasifia kuwa Sasa hivi watendaji wake wamewekwa kwenye vibao vya mitaa
 
Si wakati wa jiwe tu, hata Sasa wamevunja rekodi ya mapato na sio kwa Dodoma tu ni nchi nzima. Jiwe awamu yake ilikuwa trillion 1.4 kwa mwezi , wao trillion 2. Alafu wanasema eti makusanyo hayatoshi
Mchwa hawa wanataka kuvimbisha matumbo yao!
 
Ukichomoa hio proposal ndio wanaanza kukuletea figisu wachukue kwa nguvu..

Hii nchi wafanya biashara tunateseka sana... Only God knows
 
Kwenda mbali wap? Kuweka vibao?
Kwan mda wanaplan kuhusu swala la anwani za makazi hawakujua kuwa kutaitajika kuwekwa vibao?
Alaf sio dodoma tu wanaoweka vibao, Nyamagana wameweka vibao had vijijin pia lakin sikusikia wakiomba msaada kutoka kwa wafanya biashara
nilipokuwa nasoma, niliaminishwa kuwa ombaomba wote Tz walitoka Dom, nikaamini. na sasa Halmashauri yao inatembeza bakuli, nazidi kuchanganyikiwa. makao makuu yamehamishiwa huko na sasa tunaona rais anavo "upiga mwingi" na wafadhili ktk kuomba mikopo nk... dah!
hivi, Tz haina wataalamu wa fani husika za uchumi! wanaanzishaje mambo wasiyoyaweza!? wanaanzisha jambo, wanali-promote kwa nguvu zote baadae wanagundua, kumbe linahitaji fedha ambazo hawana...duh! wanaanza kuzungusha bakuli - tozo za aina kwa aina na bado hazitoshi ...dah!
Rais anaonya kuhusu mfumuko wa bei halafu wanaongeza bei za mahitaji muhimu kama mafuta bila kuelezea mikakati ya kitaifa ya kupambana na huo mfumuko! tunashangilia na kusifu kama mazuzu, tukoje!?
bungeni, pamoja na watu kutangaziwa kuhusu mfumuko wa bei, Waziri Mkuu anaonya wafanyi biashara kutopandisha bei, halafu yanaishia hapo! hakuna ufuatiliaji wala nini. mwambieni bei zimeshapanda. huenda, hawajui kwani wanalipiwa kila kitu kwa kodi zetu...nk. tumtafute aliyetuachia laana, kama hajafa.
tukiambiwa dawa ni KATIBA MPYA tunaweka watu ndani, loh!
 
Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike.

Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).

Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi tu kuwa mambo hayajakaa sawa kutokana na huu mfumuko wa Bei unaoendelea na hata wafanyabiashara wameathirika sana na hili na juzi hapa mh.raisi alisema gharama yuingiza kontena imepanda kutoka dola 1500 hadi dola 8000.

Hivyo kwa mfanyabiashara ambae mwanzo ilibidi atumie bil 1 kuingiza makontena yake kadhaa, Sasa hivi itahitaji atumie bil 8 kuingiza makontena hayo kadhaa. Hivyo nae kwa sasa atahitaji pesa nyingi kuagiza mzigo mkubwa kutokana na kupanda sana bei

Lakini pia hili zoezi bajeti yake ilishatengwa, Ila Kama haitoshi basi niwaombe serikali mnaweza kulisogeza mbele.

Sio wajibu wa wafanyabiashara kufanya hilo zoezi,mda huo Serikali inakuwa inafanya nini? Kwani hawakupewa bajeti ya hilo zoezi?
 
Raisi Samia Samia amewahi kutueleza pale tunapoona Serikali imekosea basi tuikosoe kwa staha na tushauri nini kifanyike.

Hivyo kwa staha naomba kuishauri Serikali juu ya hili ombi kwa wafanyabiashara kuchangia pesa kwa ajili ya anuani za makazi(postcode).

Sasa hivi Hali iliyopo inaonekana wazi tu kuwa mambo hayajakaa sawa kutokana na huu mfumuko wa Bei unaoendelea na hata wafanyabiashara wameathirika sana na hili na juzi hapa mh.raisi alisema gharama yuingiza kontena imepanda kutoka dola 1500 hadi dola 8000.

Hivyo kwa mfanyabiashara ambae mwanzo ilibidi atumie bil 1 kuingiza makontena yake kadhaa, Sasa hivi itahitaji atumie bil 8 kuingiza makontena hayo kadhaa. Hivyo nae kwa sasa atahitaji pesa nyingi kuagiza mzigo mkubwa kutokana na kupanda sana bei

Lakini pia hili zoezi bajeti yake ilishatengwa, Ila Kama haitoshi basi niwaombe serikali mnaweza kulisogeza mbele.

Pesa wanazopiga madili haziwatoshi? Huu mkoa Omba omba ni kama laana🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom