Jiji la Dodoma ni chafu!

Jiji la Dodoma ni chafu!

Wordsworth

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
1,191
Reaction score
3,360
Jiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.

Taka hazijazolewa muda mrefu. Niliona zikizolewa mara moja tu kwa kutumia yale magari ambayo yako wazi(Suma jkt) yakipita mji mzima unanuka.

Sokoni ndio usiseme. Masoko yote Dodoma ni mabaya. Watu wapo ofisini hawawajibiki. Wanasubiri nini?

Maeneo ya Uwanja wa Jamhuri kumejazwa mbao kila mahali ule msikiti wa Gaddafi umezibwa hauonekani. Mbao zinafanyanini barabarani? Hivi nyie viongozi mnaakili kweli? Mji mchafu
sana.Maafisa mazingira kazi yenu imewashinda.

Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?

Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili?

Update kuhusu uchafu wa mirunda ya CCM
 
Jiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.
Kuna mtu alisema ni kwasababu DED wake anakaribia kustaafu, anaowakaimisha wanakula kwa urefu wa string
 
Jiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.

Taka hazijazolewa muda mrefu. Niliona zikizolewa mara moja tu kwa kutumia yale magari ambayo yako wazi(Suma jkt) yakipita mji mzima unanuka.

Sokoni ndio usiseme. Masoko yote Dodoma ni mabaya. Watu wapo ofisini hawawajibiki. Wanasubiri nini?

Maeneo ya Uwanja wa Jamhuri kumejazwa mbao kila mahali ule msikiti wa Gaddafi umezibwa hauonekani. Mbao zinafanyanini barabarani? Hivi nyie viongozi mnaakili kweli? Mji mchafu
sana.Maafisa mazingira kazi yenu imewashinda.

Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?

Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili?
Unashangaa uchafu wa Dodoma, kwani CCM ni safi?
 
Alichokisema mtoa mada kina ukweli kwa 100%. Hivyo jitahidi tu kutengeneza picha kichwani 🙄 ya jinsi hali ilivyo.

Kiufupi Dodoma ni kama Mji fulani hivi ulio changamka! Ila hauna hadhi ya kuitwa Jiji! Labda kwa miaka ijayo.
huu ni mwendelezo wa kuikataa dom bila mashiko hivi kati ya maeneo ya msikiti wa gadaff na pale kariakoo kuanzia china plaza yote hadi msimbazi wapi pachafu? wapi pana msongamano kiasi unajikuta ukiwa umesimama unahs upo unasubri gari ipite uvuke kumbe ushakalia ofis ya mtu na wateja wanataka huduma.
 
Alichokisema mtoa mada kina ukweli kwa 100%. Hivyo jitahidi tu kutengeneza picha kichwani [emoji849] ya jinsi hali ilivyo.

Kiufupi Dodoma ni kama Mji fulani hivi ulio changamka! Ila hauna hadhi ya kuitwa Jiji! Labda kwa miaka ijayo.
Ukweli upi mkuu..mbona hizo changamoto ni nchi nzima tu
 
Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?

Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili
Huku wanasema hivi
 
huu ni mwendelezo wa kuikataa dom bila mashiko hivi kati ya maeneo ya msikiti wa gadaff na pale kariakoo kuanzia china plaza yote hadi msimbazi wapi pachafu? wapi pana msongamano kiasi unajikuta ukiwa umesimama unahs upo unasubri gari ipite uvuke kumbe ushakalia ofis ya mtu na wateja wanataka huduma.
Ukweli upi mkuu..mbona hizo changamoto ni nchi nzima tu

Hata kama mtapingana na mtoa mada/mimi! Bado ukweli unabaki pale pale; Dodoma haina hadhi ya kuitwa Jiji kutokana na kukabiliwa na Changamoto nyingi!

Ila sikatai; iwapo Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu mbalimbali, kwa baadaye Mji utabadilika. Ila kwa sasa hapana aisee.
 
Hakuna Ushahidi wa Habari uliyoileta,Picha tafadhali.
 
Jiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.

Taka hazijazolewa muda mrefu. Niliona zikizolewa mara moja tu kwa kutumia yale magari ambayo yako wazi(Suma jkt) yakipita mji mzima unanuka.

Sokoni ndio usiseme. Masoko yote Dodoma ni mabaya. Watu wapo ofisini hawawajibiki. Wanasubiri nini?

Maeneo ya Uwanja wa Jamhuri kumejazwa mbao kila mahali ule msikiti wa Gaddafi umezibwa hauonekani. Mbao zinafanyanini barabarani? Hivi nyie viongozi mnaakili kweli? Mji mchafu
sana.Maafisa mazingira kazi yenu imewashinda.

Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?

Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili?
Dodoma ingetakiwa iwe safi na kpangiliwa vizuri sana kulinganisha na Dar ambapo palikosewa mifano ka majiji mengine yaliyohsmishwa kama Abuja, Yamasoukro, Pretoria
 
Back
Top Bottom