Jiji la Dodoma ni chafu!

Jiji la Dodoma ni chafu!

Dodoma ni Kijiji Kilicho changamka


Sijui ilikuwaje Dodoma na Tanga yakawa majiji
 
huu ni mwendelezo wa kuikataa dom bila mashiko hivi kati ya maeneo ya msikiti wa gadaff na pale kariakoo kuanzia china plaza yote hadi msimbazi wapi pachafu? wapi pana msongamano kiasi unajikuta ukiwa umesimama unahs upo unasubri gari ipite uvuke kumbe ushakalia ofis ya mtu na wateja wanataka huduma.
We ndio uitakii mema Dodoma. Tunakosoa viongozi wajirekebishe we unatoa porojo zako. Kwahiyo kama huko Kariakoo ni kubaya na Dodoma kuwe hivyo? Hata hivyo huko unapoongelea kuna afadhali kuliko mlipo jaza mambao yenu kutuharibia mji tu hapa. Mtsyuuuu.
 
Jiji la Dodoma ni lichafu. Barabara zimejaa udongo na matope utafikiri hazijawekwa lami. Tope kama tuko shambani jamani. Mvua imenyesha kidogo maji yamekwama kwenye barabara hamna proper drainage system. Pembezoni mwa barabara hapajasakafiwa vizuri au kuoteshwa majani ili kuzitunza barabara hizi.Kingo zake zinameguka kila kukicha.

Taka hazijazolewa muda mrefu. Niliona zikizolewa mara moja tu kwa kutumia yale magari ambayo yako wazi(Suma jkt) yakipita mji mzima unanuka.

Sokoni ndio usiseme. Masoko yote Dodoma ni mabaya. Watu wapo ofisini hawawajibiki. Wanasubiri nini?

Maeneo ya Uwanja wa Jamhuri kumejazwa mbao kila mahali ule msikiti wa Gaddafi umezibwa hauonekani. Mbao zinafanyanini barabarani? Hivi nyie viongozi mnaakili kweli? Mji mchafu
sana.Maafisa mazingira kazi yenu imewashinda.

Ccm wana mirunda ina bendera zao jiji zima utafikiri kichaa ndio amesimika. Kiufupi ni uchafu. Mnashindwa kuweka kitu chenye mvuto?

Mkurugenzi, jiji limekushinda. Wewe na mkuu wa mkoa kazi yenu kuropoka tu hamna mikakati. Jiji gani hili?
Hii ndio africa tena Tanzania ukileta uzungu kila kitu utakiona kichungu.😂😂😂
Hovyo sana sisi.
 
Huku wanasema hivi
Barabara zipi? Hizi ninazozijua mimi? Huhuhu.
 
Wako busy kusifia na kuabudu aliyewateua hadi wanakosa muda wa kutazama mazingira yao.

Kwanza utakuta hao watendaji husika hawaishi Dodoma makazi yao ni Dar weekend wanakimbizana kwa misafara kwenda Dar kuwahi papa za kidimbwi.

Tuanze kutoa tuzo za mji mchafu kushinda yote Tz.
Kwanza namshangaa raisi. Alivyokuja juzi alipita wapi? Au ndio analewa sifa?
 
Dodoma ingetakiwa iwe safi na kpangiliwa vizuri sana kulinganisha na Dar ambapo palikosewa mifano ka majiji mengine yaliyohsmishwa kama Abuja, Yamasoukro, Pretoria
Dodoma ilianza vizuri. Lakini siku za hivi karibuni mambo yanazidi kuwa mabaya.
 
Hata kama mtapingana na mtoa mada/mimi! Bado ukweli unabaki pale pale; Dodoma haina hadhi ya kuitwa Jiji kutokana na kukabiliwa na Changamoto nyingi!

Ila sikatai; iwapo Serikali itaendelea kuimarisha miundombinu mbalimbali, kwa baadaye Mji utabadilika. Ila kwa sasa hapana aisee.
Jiji ni title tu haina bearing kivile. Lakini cha msingi waache kuzembea Dodoma sio ya kuwa hivi leo hii. Huko nyuma walijitahidi lakini sasa ni majanga.
 
Hatupingani nae mkuu.. tatizo ni kweli lipo lkn sio kwa ukubwa wa namna hiyo.. hebu nitajie miji ambayo haina changamoto ya uchafu tz hii.. then niambie kuna mji unaongoza kwa uchafu na harufu mbaya kuzidi Dsm?? Kama kigezo ni hicho unachosema wewe basi na dsm hastahili kabisa kuwa Jiji..
Usitake kujifariji kwamba kwakuwa Dar ni chafu zaidi (si kweli kwa hali ilivyo sasa)basi Dodoma haina shida. Sipo hapa kushindana. Dodoma haikuwahi kuwa chafu hivi na mambo yanazidi kuwa mabaya.
 
Unatoa mbao huko unakuja kuzitua barabarani. Utakua una akili wewe?
unaijua historia ya biashara ya mbao pale na uwepo wa msikiti mahali pake au unaropoka? km umekuja jana 😷mdomo wako kuna watu watakucheka,,


hiyo biashara iko mda sanaaaa tena ni wastaarabu kuliko biashara za aina nyingine hutaki kakae mlimani kwa waziri mkuu kule.


tena usirudie kuingilia biashara za watu wengine zimetulea heshimu kbs .
 
😄😄😄 yaani dar wanaibeba sana ila ukweli wanaujua maeneo ya aghakani kule ferry unahisi kutapika tu harufu na shomboshombo sijui hawalioni hilo.

wanapinga dom kwa chuki si kingine
WEWE ndio huitakii mema Dodoma. Unataka Dodoma iendelee kuwa chafu kwasababu ya harufu ya ferry? Kwahiyo harufu ya ferry inauhusiano gani Dodoma? Hivi huwa mnatumia akili kweli?
 
Hamna lolote la uzungu wala uafrika. Ni uzembe tu.
Na uzembe ndio huo ututambulisha Uafrica wetu. Hakunaga jambo tunafanyaga likanyooka.
Kiukweli me hadi huwaga natamani ningezaliwa huko kwa watu wenye akili zao huwa nawakubali sana mambo yao yamenyooka. Watu wa magharibi ni watu smart sana.
 
We ndio uitakii mema Dodoma. Tunakosoa viongozi wajirekebishe we unatoa porojo zako. Kwahiyo kama huko Kariakoo ni kubaya na Dodoma kuwe hivyo? Hata hivyo huko unapoongelea kuna afadhali kuliko mlipo jaza mambao yenu kutuharibia mji tu hapa. Mtsyuuuu.
waache watu watafte mkate wa siku

kituharibia mji weww na nani?


usikute nabishana na housegrl wa mhindi anatumia sim ya mtoto wa bosi wake.
 
WEWE ndio huitakii mema Dodoma. Unataka Dodoma iendelee kuwa chafu kwasababu ya harufu ya ferry? Kwahiyo harufu ya ferry inauhusiano gani Dodoma? Hivi huwa mnatumia akili kweli?
unadandia tren kwa mbele huelewi nilichomquotes bosi hebu tulia basi.


km vipi kasimame pale makutano gadaff alafu shika mice utangaze hili tangazo lako
 
unaijua historia ya biashara ya mbao pale na uwepo wa msikiti mahali pake au unaropoka? km umekuja jana 😷mdomo wako kuna watu watakucheka,,


hiyo biashara iko mda sanaaaa tena ni wastaarabu kuliko biashara za aina nyingine hutaki kakae mlimani kwa waziri mkuu kule.


tena usirudie kuingilia biashara za watu wengine zimetulea heshimu kbs .
Huhuhu kumbe we ni mtu wa mbao? Nimegusa penyewe. Acha kudanganya, historia gani? Unajifanya unaijua Dodoma kuliko mimi? Tetete! Ungekuwa unaijua ungetetea uozo hapa? Pale sio mahala pa mbao.
 
Unateseka ukiwa wapi??

Ok unaweza kutupa mbinu ya kulitenganisha vumbi na ardhi ya dodoma? Ile ni asilia ya eneo hilo, mengine ni kuwa mchawi tu.

Toka huko rudi kwenu.
Unapajua kwetu? Unajua tofauti ya vumbi la Dodoma ambalo lipo siku zote na udongo uliojaa barabarani utafikiri hamna lami?
Wewe ni kiongozi huko halmashauri unatetea kibarua chako?
Una akili?
Umelogwa?
Umechukuliwa bwana?
 
unadandia tren kwa mbele huelewi nilichomquotes bosi hebu tulia basi.


km vipi kasimame pale makutano gadaff alafu shika mice utangaze hili tangazo lako
Naelewa vizuri ulichomquote. Labda kama wewe hujui namna ya kuandika vizuri ureflect mawazo yako.
Anyway jipange ndugu. Stress za mbao zako usinitolee mimi kamtolee bwana wako.
 
Back
Top Bottom