Jiji la Mbeya: Mfupa Mgumu kwa Makonda na CCM


Umeongea point tupu mkuu ila watakuja wanyakyusa wanaojua Mbeya ni Uyole tu watakupinga!

Jiji la Mbeya lingegawanywa katika halmashauri mbili ili kurahisisha maendeleo,jiji la Mbeya ni pana sana aisee kwa bahati Mbaya wafanya maamuzi wanaijua Mbeya barabarani tuu(TANZAM).
 
Kuna kazi za kuwapa wajinga na hao ndio wanaziweza ukimpa mwenye akili hawezi. Kazi anayofanya Makonda aniweza yeye ndio maana Samia hafanyi hiyo kazi.
 
Sawa wasalimie Mama John, Kabwe, Igowole, Mwanjelwa na Forest bila kusahau Block T na Mwakibete
 
Pumbavu,mijitu ya huko ni kipumbavu na ilimradi inishe ndio maana ujuaji umefanya limji lenu Lowe la kipumbavu sababu ya ubishi usio na Tija.
We Mp.mbavu jaribu kuficha Upum.bavu wako .
kumbe haupo Mbeya..?
yaani jiji liwe la kipumbavu sababu ya mijitu ya huko?! we upo wapi?!
Nani kakudanganya Mbeya jiji kuna ujenzi wa barabara Nne una endelea.?!
Kumbuka Mbalizi siyo Mbeya Jiji.
 
We Mp.mbavu jaribu kuficha Upum.bavu wako .
kumbe haupo Mbeya..?
yaani jiji liwe la kipumbavu sababu ya mijitu ya huko?! we upo wapi?!
Nani kakudanganya Mbeya jiji kuna ujenzi wa barabara Nne una endelea.?!
Kumbuka Mbalizi siyo Mbeya Jiji.
Anafikiri kila mtu ni mji.nga kama yeye
 

JPM style, kisha akaishia kupora uchaguzi. Nimecheka vibaya.
 
Si na wewe huwa unajinasibisha kama mtu wa Mbeya?
Kumbe huwa ni fix tu?!
Fala sana
Mpuuzi kabisa
Hufai kwa lolote.
We ni hasara kwa Taifa letu.
Kwetu ni Njombe,nawateteaga tuu Kwa sababu ndio Mkoa mkoa mkubwa Nyanda za Juu Kusini ila haiondoi ukweli kwamba huko kuna watu wajuaji wa upumbavu.
 
Kwetu ni Njombe,nawateteaga tuu Kwa sababu ndio Mkoa mkoa mkubwa Nyanda za Juu Kusini ila haiondoi ukweli kwamba huko kuna watu wajuaji wa upumbavu.
Kwa hiyo majibizano ya mtandaoni ndio yamekufanya ututukane wote?au u negativity wetu dhidi ya ccm ndio upumbavu kama ilivyo kwa mikoa mingine mikubwa?tutawaiga nyie wenye maendeleo hata kwa mtindo wa uchawa!
 
JPM style, kisha akaishia kupora uchaguzi. Nimecheka vibaya.
Hakuna uchaguzi ulioporwa hizo ni theory tu. Kila mkishindwa kwenye uchaguzi hamuishi visingizio, badala yakuangalia mlikosea wapi mnatafuta visingizio. Kwa style yenu ya kupinga kila kitu mnategemea mtamshinda nani kwenye uchaguzi. Mpaka sasa hata presisential canditade wenu kwenye uchaguzi wa mwakani haeleweki halafu mkija kugaragazwa kwenye uchaguzi mnadai mmeibiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…