Jiji la moto hilii

Jiji la moto hilii

Sasa Nakadori unakuwaga na arosto kama hizi hutaki kutuleteaaa. Insta imejaa habari za tundu sijui kishimo tushachoka tunataka refreshment sieee.. ila sura ya huyo mishy inaonekana tu ameukataa umri wake
 
Sasa Nakadori unakuwaga na arosto kama hizi hutaki kutuleteaaa. Insta imejaa habari za tundu sijui kishimo tushachoka tunataka refreshment sieee.. ila sura ya huyo mishy inaonekana tu ameukataa umri wake
Umri umekata kweli ila ndo hvyo amewapangaaaa na wote wamepangika.

Mishy wapangeeeeeeeeeeeee
 
mnadanganyika kirahisi sana




cocastic hebu dadavua basi huyu mama ilikuwaje akamiliki wanaume wawili wenye vyao wakati sisi hata mmoja hatuna?
Sisi si mapoyoyo, hivyo kudanganyika ni kawaida tu, si kesi.
Ila wakati mwingine sisi ni watu wa kupuuzia unajua kabisa huyu ananipiga fix, ila unafunikka kombe mwanaharamu apite..

Sasa sijui hivi vizee kesi yao ikoje, usikute walikiwa wanajuana kuwa wanakula sehemu moja na 3some ilikuwa inapigwa 😂
 
Sisi si mapoyoyo, hivyo kudanganyika ni kawaida tu, si kesi.
Ila wakati mwingine sisi ni watu wa kupuuzia unajua kabisa huyu ananipiga fix, ila unafunikka kombe mwanaharamu apite..

Sasa sijui hivi vizee kesi yao ikoje, usikute walikiwa wanajuana kuwa wanakula sehemu moja na 3some ilikuwa inapigwa 😂
hahahaha me nakwambia hivi hata mpiga debe tu shida kupata sasa mwenzetu anamiliki matajiri wawili na anawapost kabisa. jama jama jama
watoa pole eti james wa mishy...
na mzungu wa watu jee
 
hahahaha me nakwambia hivi hata mpiga debe tu shida kupata sasa mwenzetu anamiliki matajiri wawili na anawapost kabisa. jama jama jama
watoa pole eti james wa mishy...
na mzungu wa watu jee
We mtu mzito hukosi 😂

Nakwambia usikute walikuwa wanajuana, na 3some walikuwa wanapiga vizuri tu.
 
Heee makubwaa sasa nashangaa wanavosema eti my friend mara business partner. Business partner which
sasa na wewe unadhan utasemaje mtu hadi wamezaa kuna ubiznes patna hapo. ni zaidi bwana. kwanini kama mke wa marehem yupo asipewe pole apewe mishy...tyena james wa mishy haha
 
Mbona tabia zake huyo Mish ni sawa na za yule Mishil wa kwenye series ya Kikorea
 
Ajuza huyu kabisa..sema nn,hizi ni zile type za yule mke wa aliyekua mgombea wa kile chama chenye asili ya mkoa ulioko kaskazini mwa nchi yetu..ni gold digger mzuri! ILA wa mama wa hivi wanakuaga mafundi sana,sio kitandani tu,mpaka kwenye kamati za ufundi!
 
Ajuza huyu kabisa..sema nn,hizi ni zile type za yule mke wa aliyekua mgombea wa kile chama chenye asili ya mkoa ulioko kaskazini mwa nchi yetu..ni gold digger mzuri! ILA wa mama wa hivi wanakuaga mafundi sana,sio kitandani tu,mpaka kwenye kamati za ufundi!
mh mkuu mbona code inakataa inakuja inakataa inakuja....kila ninapoizoom haijiii vizurii
 
Back
Top Bottom