Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Uchaguzi 2020 Jiji la Mwanza lasimama usiku kwa ujio wa Tundu Lissu - Septemba 25

Aisee yanayoendelea mwanza usiku huu sio Mambo ya kawaida taratiiiiibuu naanza kuiona tahriri square maana kilichowapata watu wa mwanza nashindwa kuelewa na hii ndio inafanya kuwaelewa watanzania iwe ngumu. Yani mtu anachinjiwa nyumbani kwao mchana kweupee.

Aisee lisu sio mtu wa kawaida.

Jioni hii kinachoendelea mwanza siamini Kama ni kweli au naota. Mlioko mwanza tupeni ukweli msitie chumvi.
Mkuu tuko pamoja natutafurahi pamoja Lissu katuunganisha lazima unisamehe tu kwa kuwaibia TV 1988
 
Mwenye nchi ni mwananchi. Huu ni mwaka wa kuandika Historia kuu hapa Tanzania. Lazima tumstaafishe Magufuli na kumrudisha Chato iyo October 28.
Huu ndio wakati pekee kwa wajumbe kuchuma baraka za bure kbs!hakika ni yeye.
 
Wewe endelea kujifariji unafikiria kuongoza nchi ni kazi nyepesi kiasi cha kumpatia mropokaji?

USHINDI NA CCM NI MAPACHA.

JPM 2020-2025
CCM 5 TENAAA
Hebu fanyeni Mdahalo baina yao ndipo mtajua mtu wenu hajui chochote kuhusu uchumi na siasa za dunia
 
Wewe jamaa mbishi kama kenge.

Unakoelekea utasema "an university student"

Huwezi kusema 'an University student' maana neno University halina vowel pronunciation mwanzoni.

Halafu Kama hoja zimekuishia haina haja ya kutukana.

Hukuwa na sababu ya kunifananisha na kenge.
 
Kama think tanks za CCM zitasoma hapa..

TAFADHALI WAPENI WATU UHURU WAWASIKIE WANAOWAPENDA NDANI YA MUDA HUO WATACHOKA KURUDIWA KWA MANENO NA WATAMCHOKA MSEMAJI YULEYULE KILA SIKU.

wananchi wanafuta kitu kipya ambacho hawakukisikia kwa muda mrefu, wanamfuata ambae hawajamuona kwa muda.... Wamechoshwa na maneno yaleyake kila siku ndege, viwanja, reli, uchumi wa kati... Kwa KIFUPI ZAIDI YA HAYO ATOKEE MWANA CCM MWENZANGU ANIAMBIE MENGINE
Kadi yako namba ngapi???
 
Nyie hamuwajui Watanzania mnadanganywa na mihemko ya kisiasa ya kikundi cha watu,sasa ngojeeni October 28 ndio mtajua hamjui Watanzania walivyo.

Watanzania wanaimani kubwa na CCM na hii haitafutika hivi karibuni.

Waachwe tu washangilie nyomi yao maana vipofu wameona mwezi.
 
Kwenu sio kwa CCM, JPM atapata ushindi wa kishindo na kuanzia hapo mtagundua Watanzania wana macho yakuona mazuri ya JPM.

JPM 2020-2025
CCM 5 TENAAA
Kabisaaa ... Unajua watu hatupendi kusema ukweli hasa pale tunapoona unatuumiza,,, nu dhahiri kwamba Presndent Magufuli atashinda Tena bila shda walaa hana presha Kama wanavyozania ,, presha n zenu CHADEMA

2020-2025
JPM tenaaa
 
Mungu asikie maombi yetu ya muda mrefu ccm iondoke marakani eehee mwenyezi Mungu jibu maombi haya tumeteseka sana
Mungu ni mwaminifu hata kwa wanaomkosea, anaweza kukuokoa na Jambo zito ambalo pengine lingetoa uhai wako ili ujitafakari Wala si kwamba unafaa Kama kina Daniel, Daudi,Msa na wengne kwenye biblia

Hata ossama bin laden alikwepa mitego mingi ya maadui zake lkn mwsho wa siku walimuua tu ...
Msijidanganye ndugu zangu wa CDM
 
Mungu wetu anapenda HAKI.

Unadhani kupigwa risasi 16 alafu ukaendelea na harakati afanyazo Lissu kila siku ya mungu bila kumpumzika ungeweza kwa nguvu za kibinadamu?


Lissu ni mbeba MAONO na HAFI mpaka YATIMIE.

kubali kataa ukweli ndio huo.
Mbeba maono ya Nini?? Uliwahi kuona ktk biblia mbeba maono wa tabia Kama Lisu??
Soma ktk biblia yako mwanzo hadi mwisho woote walikua watakatifu na walikua wema Wala hawakutaka maadaraka au hata kuwasema vibaya viongoz wao

Kasome biblia yako kwa hbr za Daud, alitaka kuuliwa mara nyingi na Sauli lkn hakuwahi kumsema vbaya, hata MUNGU alipomtia mikononi mwake amuue alikataa akisema hawezi kumuua masihi wa bwana (yaani mpakwa mafuta wa bwana )akimaanisha hawezi kumpinga kiongoz aliyewekwa na MUNGU mpaka pale MUNGU atapoamua mwenyew, na siku ilifika MUNGU akamuondoa mfalme Sauli n aakamsimika Daudi, lkn pamoja na hayo Daudi alilia Sana baada ya kufa Sauli maana Ni huzuni na ilikua aibu kw taifa kuondoka kwa mfalme hata km hakutenda haki bali alichaguliwa na bwana hvyo kuondoka kwake ilikua ni huzuni hata kwa MUNGU maana Ni yeye alimchagu na hakutaka ashindwe ktk ufalme wake ...

Hivyo kumlingansha lisu na mtu aliyeitw na MUNGU ni ushabiki tu au hata kutokumjua vzur MUNGU wetu...

Lisu hana sifa kbsa za kuitwa mtu wa Mungu kwa tabia zake zifuatazo

1. Anapinga kila kitu hata Kama ni Cha maendeleo na alidiriki hata kusababisha ndege yetu izuiliwe nje ya nchi na hii yote ni kuzuia juhudi za raisi wetu

2. Hatujamuona sehemu yoyote akijaribu kumtangulza MUNGU Kama anavyofanya raisi wetu mpendwa Magufuli, kumfananisha na MUNGU ni ushabiki au hata kutoyajua vizuri maandiko, hata Daud alimtanguliza MUNGU

3. Hatumii hekima katika kuongea kwake na mara zote hutumia sauti kali tena ya uchochezi,, haongei kwa hekima kbsa na Ni raisi kuwachochea raia kufanya maandamano

Ushauri kwa wana C.D.M

Chadema hakifai kbsa na kina uchu na madaraka na kinayatafuta kwa namna yoyote hata kwa njia zisizofaa na ndio maana chama kikidiriki hata kumwacha mheshiwa Dk Slaa mtu ambaye alikipaisha chama na kukifanya tukifaham wakamkimbilia Lowasa mtu ambaye nasikia mliandaa hadi kitabu kuhusu maovu yake ikiwa angegombea C.C.M na maajabu akawaacha na kuludi Tena ccm maana aliwaona hamtumii hakili na mlivyo waajabu mlimuunga mkono Sana na mwisho mwa kampain zake akasema mwaweza mchagua Magufuli, nyie jamaa wa CDM tumieni hakili zenu, mbona Mambo yako wazi kbsaa[emoji848]
CDM hakina watu wa kutosha kuwapachika ktk nyazifa mbalimbali



Magufuli Tena 2020/2025
Tunaenda na Magufuli
Magufuli wa tz
Afrika inamhitaji
Dunia inatumia hekima zake
HUYU NDO MBEBA MAONO
Tutavunja katiba tumpe mingine mingii
 
Hebu fanyeni Mdahalo baina yao ndipo mtajua mtu wenu hajui chochote kuhusu uchumi na siasa za dunia
Siasa za dunia ndo Nini?? Sis tunasiasa zetu,
Kwa uchumi anko yuko poa, Kwanza kasoma Hesabu but lisu hana chochotale na kasomea sheria ty
 
Back
Top Bottom