Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko

Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko

WAZO2010

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2021
Posts
1,615
Reaction score
3,784
Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.

Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.

Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.

Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.

1681891415542.jpeg
 
Hii ndio akili finyu kuhalalisha ujinga.
Jibu swali ni jiji gani hapa Tanzania lenye barabara za lami hadi mitaani?
Arusha,tanga,mbeya,dodoma na dar es salaam

Tumia akili wewe mpuuzi

Ukitoa dar mwanza ndio inafuata kwa kua na barabara nyingi za mitaani

Mfano ni mitaa ya mwananchi,nyakato(Bismarck)kitangiri,mji mwema,jiwe kuu(barabara ya mawe)buzwagi(barabara ya mawe)bendera tatu(barabara ya mawe)
Stone gold,minazi mitatu,mji mwema,tunza nk

Kibongo bongo hizo ndio barabara za mitaa ukitaka barabara kama za Beverly hills Los Angeles utazikuta kwenye ndoto
 
Sijawai kuona ufinyu wa barabara mwanza hasa apo Voil unaposemea licha ya kuwepo matrafk gari zinapigwa mkono ila amna jam yoyote. kero pekee ni mitaa ya Pepsi apo kuna viwanda ving katkat ya mji kupelekea Jam magari yao yakiwa yanatoka na kuingia
 
Barabara za Mwanza at least hazina jam sana hili pendekezo linge faa Arusha sana sana maana hadi barabarani watu wana kaanga chipsi. Boda boda zina jaza barabara ni mvurugano tu dala dala nazo kila njia yani ni kelele tu
 
Jibu swali ni jiji gani hapa Tanzania lenye barabara za lami hadi mitaani?
Arusha,tanga,mbeya,dodoma na dar es salaam

Tumia akili wewe mpuuzi

Ukitoa dar mwanza ndio inafuata kwa kua na barabara nyingi za mitaani

Mfano ni mitaa ya mwananchi,nyakato(Bismarck)kitangiri,mji mwema,jiwe kuu(barabara ya mawe)buzwagi(barabara ya mawe)bendera tatu(barabara ya mawe)
Stone gold,minazi mitatu,mji mwema,tunza nk

Kibongo bongo hizo ndio barabara za mitaa ukitaka barabara kama za Beverly hills Los Angeles utazikuta kwenye ndoto
Hata Manispaa ya Musoma tu ina izidi Mwanza kwa mtandao wa lami. Licha ya mapato yake madogo as compared to Mwanza.
By the way mimi ktk uzi wangu nime sema duniani. Ina onesha huna exposure ya majiji hata Africa tu. Akili yako ipo limited to Tanzania Perspective only.
 
Hata Manispaa ya Musoma tu ina izidi Mwanza kwa mtandao wa lami. Licha ya mapato yake madogo as compared to Mwanza.
By the way mimi ktk uzi wangu nime sema duniani. Ina onesha huna exposure ya majiji hata Africa tu. Akili yako ipo limited to Tanzania Perspective only.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa umejaa chuki musoma inamtandao mkubwa wa rami kuzidi mwanza

Musoma ipi hii ya machinjion,nyasho,kariakoo,nyakato airport hadi kule tembo[emoji1787]

Hivi mwanza unaijua au ulikuja kwa shemeji yako siku mbili tatu

Unaujua umbali wa kutoka kanyama-buhongwa
Buhongwa-airport
Nyegezi-luchelele
Mjin-igelegele
Mjin-nyashana
Mjini-bugando
Mjini-mji mwema
Mji mwema-kiloleni
Mjini-buswelu
Mjini-kahama
Mjini-ibanda
Mjini-nyasaka
Mjini-nyasaka ppf
Mjini-nyamadoke
Sabasaba-buswelu
Iloganzara-bwiru
Mjini-bwiru
Kona ya bwiru-kitangiri
Kitangiri-ibanda
Ibanda-mihama
Jiwe kuu-bwiru
Sabasaba-Ilemela-tunza-malaika hadi kona ya igombe

Buzuruga-mwananchi
Buzuruga-shule-nyasaka-maduka tisa-kiloleni-bigbite-kilimahewa hadi kona ya bwiru

Nyakato-Bismarck
Nyakato sokoni-mecco hadi Buzuruga shule
Nyegezi-majengo mapya
Mission-magomeni-kitangiri


Hapa nimekujibu kiufundi zaidi, ulivyoiweka musoma juu ya mwanza nimekuona wewe ni wakuja[emoji1]

Nimetaka kusahau hapo voil kuna njia ya kuzunguka inaanzia pale pepsi-igogo-mchafu kuoga hadi voil bila kusahu mkuyuni hadi butimba

Kama huu Mtandao wa barabara ya lami ni mdogo kwa musoma[emoji1787][emoji1787] na hayo majiji makubwa ya Tanzania yaani tanga,arusha,mbeya na dodoma basi utakua na chuki sio bure


Ukikohoa narudia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa umejaa chuki musoma inamtandao mkubwa wa rami kuzidi mwanza

Musoma ipi hii ya machinjion,nyasho,kariakoo,nyakato airport hadi kule tembo[emoji1787]

Hivi mwanza unaijua au ulikuja kwa shemeji yako siku mbili tatu

Unaujua umbali wa kutoka kanyama-buhongwa
Buhongwa-airport
Nyegezi-luchelele
Mjin-igelegele
Mjin-nyashana
Mjini-bugando
Mjini-mji mwema
Mji mwema-kiloleni
Mjini-buswelu
Mjini-kahama
Mjini-ibanda
Mjini-nyasaka
Mjini-nyasaka ppf
Mjini-nyamadoke
Sabasaba-buswelu
Iloganzara-bwiru
Mjini-bwiru
Kona ya bwiru-kitangiri
Kitangiri-ibanda
Ibanda-mihama
Jiwe kuu-bwiru
Sabasaba-Ilemela-tunza-malaika hadi kona ya igombe

Buzuruga-mwananchi
Buzuruga-shule-nyasaka-maduka tisa-kiloleni-bigbite-kilimahewa hadi kona ya bwiru

Nyakato-Bismarck
Nyakato sokoni-mecco hadi Buzuruga shule
Nyegezi-majengo mapya
Mission-magomeni-kitangiri


Hapa nimekujibu kiufundi zaidi, ulivyoiweka musoma juu ya mwanza nimekuona wewe ni wakuja[emoji1]

Nimetaka kusahau hapo voil kuna njia ya kuzunguka inaanzia pale pepsi-igogo-mchafu kuoga hadi voil bila kusahu mkuyuni hadi butimba

Kama huu Mtandao wa barabara ya lami ni mdogo kwa musoma[emoji1787][emoji1787] na hayo majiji makubwa ya Tanzania yaani tanga,arusha,mbeya na dodoma basi utakua na chuki sio bure


Ukikohoa narudia
Una taja main Road ya Taifa chini ya Wizara una ita mtandao wa Lami za mitaa?
Musoma mapato yake yana ingia mara ngapi ya mapato ya Jiji la Mwanza? Ubora na lami walizo nazo musoma una weza linganisha na ule uchafu wa mita 400 Buhongwa, na Mkolani?
Bugando ili jenga serikali? [emoji3][emoji3][emoji3] una chekesha. Serikali hii ya Mwanza ijenge lami ya mtaa yenye ubora wa Bugando?
Huyo ni murumi alifadhiliwa.
Barabara ya Mkolani to Nyahingi to Malimbe ime jengwa ya hovyo mita 400 tu. Ili pata ufadhili wa Warumi St. Clara Hosp., urasimu wa serikali umemkimbiza mfadhili.
Luchelele ina lami wapi? Akati wame ongeza mita 400 tu pale. Iliyopo ni ile Zawadi ya Magufuli 2005 huko kwa chuo cha SAUT[emoji2][emoji2][emoji2]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaa umejaa chuki musoma inamtandao mkubwa wa rami kuzidi mwanza

Musoma ipi hii ya machinjion,nyasho,kariakoo,nyakato airport hadi kule tembo[emoji1787]

Hivi mwanza unaijua au ulikuja kwa shemeji yako siku mbili tatu

Unaujua umbali wa kutoka kanyama-buhongwa
Buhongwa-airport
Nyegezi-luchelele
Mjin-igelegele
Mjin-nyashana
Mjini-bugando
Mjini-mji mwema
Mji mwema-kiloleni
Mjini-buswelu
Mjini-kahama
Mjini-ibanda
Mjini-nyasaka
Mjini-nyasaka ppf
Mjini-nyamadoke
Sabasaba-buswelu
Iloganzara-bwiru
Mjini-bwiru
Kona ya bwiru-kitangiri
Kitangiri-ibanda
Ibanda-mihama
Jiwe kuu-bwiru
Sabasaba-Ilemela-tunza-malaika hadi kona ya igombe

Buzuruga-mwananchi
Buzuruga-shule-nyasaka-maduka tisa-kiloleni-bigbite-kilimahewa hadi kona ya bwiru

Nyakato-Bismarck
Nyakato sokoni-mecco hadi Buzuruga shule
Nyegezi-majengo mapya
Mission-magomeni-kitangiri


Hapa nimekujibu kiufundi zaidi, ulivyoiweka musoma juu ya mwanza nimekuona wewe ni wakuja[emoji1]

Nimetaka kusahau hapo voil kuna njia ya kuzunguka inaanzia pale pepsi-igogo-mchafu kuoga hadi voil bila kusahu mkuyuni hadi butimba

Kama huu Mtandao wa barabara ya lami ni mdogo kwa musoma[emoji1787][emoji1787] na hayo majiji makubwa ya Tanzania yaani tanga,arusha,mbeya na dodoma basi utakua na chuki sio bure


Ukikohoa narudia
Hujui chochote kuhusu mtandao wa barabara za mtaa MWANZA. Tena utakuwa mfanyakazi jiji ww. Kazi kupata hati zisizoridhisha kila mwaka kutoka kwa CAG.
 
Una taja main Road ya Taifa chini ya Wizara una ita mtandao wa Lami za mitaa?
Musoma mapato yake yana ingia mara ngapi ya mapato ya Jiji la Mwanza? Ubora na lami walizo nazo musoma una weza linganisha na ule uchafu wa mita 400 Buhongwa, na Mkolani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] main roads za mwanza unazijua wewe?

Kwanini unakua mjinga?

Mwanza barabara kuu ni 3 nyerere,kenyatta na makongoro

Tufanye hizi toa hizo ruti za;
kanyama-mjini(barabara ya nyerere)
Mjini-buhongwa(kenyatta road)
Mjini-airport(makongoro road)

Nitajie barabara kuu ya nne hapo mwanza?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] main roads za mwanza unazijua wewe?

Kwanini unakua mjinga?

Mwanza barabara kuu ni 3 nyerere,kenyatta na makongoro

Tufanye hizi toa hizo ruti za;
kanyama-mjini(barabara ya nyerere)
Mjini-buhongwa(kenyatta road)
Mjini-airport(makongoro road)

Nitajie barabara kuu ya nne hapo mwanza?
Huna shule ya Main Road. Kasome. Mwanza Main Roads ni 2 tu. Natta to Musoma. Na Mwanza to Shinyanga.
Kumbe hamna mtu hapa[emoji3][emoji3]
 
Hujui chochote kuhusu mtandao wa barabara za mtaa MWANZA. Tena utakuwa mfanyakazi jiji ww. Kazi kupata hati zisizoridhisha kila mwaka kutoka kwa CAG.
Toa mfano wa hizo barabara za mitaa kwenye majiji mengine ya Tanzania [emoji1787]
Arusha,dodoma,tanga na mbeya nipo hapa nimekaa
 
Hujui chochote kuhusu mtandao wa barabara za mtaa MWANZA. Tena utakuwa mfanyakazi jiji ww. Kazi kupata hati zisizoridhisha kila mwaka kutoka kwa CAG.
Wew ndo hujui chochote kuhusu mwanza....Nadhani ulipta ukienda kwenu Msoma
 
Wew ndo hujui chochote kuhusu mwanza....Nadhani ulipta ukienda kwenu Msoma
Una onesha una shule ndogo. Exposure ya Majiji huna. Una taja kenyatta Road as main road? Ni akili au matope?
 
Huna shule ya Main Road. Kasome. Mwanza Main Roads ni 2 tu. Natta to Musoma. Na Mwanza to Shinyanga.
Kumbe hamna mtu hapa[emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe jamaa ni kiazi sana kumbe makongoro ni service road au?
 
Back
Top Bottom