Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mpuuzi uzi wako unazungumzia jiji la mwanza sio mkoa wa mwanza[emoji1787]Una onesha una shule ndogo. Exposure ya Majiji huna. Una taja kenyatta Road as main road? Ni akili au matope?
Tulia ww, level zako ni hao wajinga wenzio.Wewe ni mpuuzi uzi wako unazungumzia jiji la mwanza sio mkoa wa mwanza[emoji1787]
Jiji la mwanza tunabarabara kuu tatu kenyatta,makongoro na nyerere
Kumbe hata haufahamu musoma road inaanzia wapi na kuishia wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu unajiita msomi!!!!!!
kwakweli Mwanza kwenye barabara na sehemu za maegesho walifeli Kitambo sana. Pesa za daraja la Busisi ni bora zingetumika kutanua na kuboresha mtandao wa Barabara.Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.
Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.
Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.
Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti msoma roadTulia ww, level zako ni hao wajinga wenzio.
Jiji la mwanza tuna wilaya 2 tu nyamagana na ilemela sass wewe hio barabara ya msoma na shinyanga umeitoa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mwenzetu unaishi wilaya ya magu au misungwi/kwimba coz huko zipo hizo barabaraUzi Moderators wameisha ubandika. Tulia dawa iwaingie. Mmekalia rushwa tu maofisini. Hamfanyi kazi.
Mitaa ya Jiji utadhani ushirombo.
Mwanza ni jiji la 4, jiji la 2 ni Dodoma acha kujidanganya.Katika vitu serikali ya ccm imefeli ni kwenye suala la mipango miji na matumizi sahihi ya ardhi,mwanza ni jiji la pili linatakiwa lipangwa lipangike.
Acheni ushamba jiji la Mwanza halina wilaya, nendeni hata shule mkapate elimu ya uraia, nchi hii wajinga wengi wengi ila wabishi wakijifanya wanajua. Mkoa wa Mwanza ndio wenye wilaya kama Nyamagana, Ilemela na zingine jiji halina wilaya jiji ni jiji tu. Ila kwa Mkoa wa Mwanza jiji la Mwanza liko ndani ya wilaya ya Nyamagana km jiji la DSM lilivyo ndani ya wilaya ya Ilala. Msitulete kichefuchefu huku.Jiji la mwanza tuna wilaya 2 tu nyamagana na ilemela sass wewe hio barabara ya msoma na shinyanga umeitoa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mwenzetu unaishi wilaya ya magu au misungwi/kwimba coz huko zipo hizo barabara
Nyamagana ni Manispaa, Ilemela ni Manispaa... Manispaa ya Nyamagana ndio inaunda Halmashauri ya jiji...Acheni ushamba jiji la Mwanza halina wilaya, nendeni hata shule mkapate elimu ya uraia, nchi hii wajinga wengi wengi ila wabishi wakijifanya wanajua. Mkoa wa Mwanza ndio wenye wilaya kama Nyamagana, Ilemela na zingine jiji halina wilaya jiji ni jiji tu. Ila kwa Mkoa wa Mwanza jiji la Mwanza liko ndani ya wilaya ya Nyamagana km jiji la DSM lilivyo ndani ya wilaya ya Ilala. Msitulete kichefuchefu huku.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] point yako ni nini? Kwamba hakuna wilaya ya ilemela ila kuna manispaa!!Acheni ushamba jiji la Mwanza halina wilaya, nendeni hata shule mkapate elimu ya uraia, nchi hii wajinga wengi wengi ila wabishi wakijifanya wanajua. Mkoa wa Mwanza ndio wenye wilaya kama Nyamagana, Ilemela na zingine jiji halina wilaya jiji ni jiji tu. Ila kwa Mkoa wa Mwanza jiji la Mwanza liko ndani ya wilaya ya Nyamagana km jiji la DSM lilivyo ndani ya wilaya ya Ilala. Msitulete kichefuchefu huku.
Ni musoma siyo msoma. Shule ndogo. Nime sema Natta to Musoma.Jiji la mwanza tuna wilaya 2 tu nyamagana na ilemela sass wewe hio barabara ya msoma na shinyanga umeitoa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mwenzetu unaishi wilaya ya magu au misungwi/kwimba coz huko zipo hizo barabara
Kati ya mimi na wewe nani akasome?Ni musoma siyo msoma. Shule ndogo. Nime sema Natta to Musoma.
Na Mwanza to Shinyanga. Dogo kasome upanue ubongo.
Eti mkuu wa chuo, we ni mkuu wa chuo cha wajinga siyo? Rudi darasani huna unalojua, Manispaa na jiji ni vitu viwili tofauti. We inaonekana ni mbishi na ulikuwa unawabishia hata walimu wako ndio maana vitu vidogo km hivyo vinakushinda. Anyway, ujinga wako usiwe mzigo kwa watu wengineNyamagana ni Manispaa, Ilemela ni Manispaa... Manispaa ya Nyamagana ndio inaunda Halmashauri ya jiji...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kichwa maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fanya argument na watoto wenzio siyo level yangu
Nakuona doctor na dissertation yako ya chatgpt [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Fanya argument na watoto wenzio siyo level yangu
Wewe mmeru unateseka ukiwa kimandolu sehemu gan[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eti mkuu wa chuo, we ni mkuu wa chuo cha wajinga siyo? Rudi darasani huna unalojua, Manispaa na jiji ni vitu viwili tofauti. We inaonekana ni mbishi na ulikuwa unawabishia hata walimu wako ndio maana vitu vidogo km hivyo vinakushinda. Anyway, ujinga wako usiwe mzigo kwa watu wengine
Swala la mgao wa maji hata mim nalishangaa umelitoa wapi.Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.
Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.
Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.
Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.
Mi Elimu yangu ni kubwa, kwa uwezo wako mdogo kama Mende haunizidi...Eti mkuu wa chuo, we ni mkuu wa chuo cha wajinga siyo? Rudi darasani huna unalojua, Manispaa na jiji ni vitu viwili tofauti. We inaonekana ni mbishi na ulikuwa unawabishia hata walimu wako ndio maana vitu vidogo km hivyo vinakushinda. Anyway, ujinga wako usiwe mzigo kwa watu wengine