Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko

Jiji la Mwanza lifanyiwe mabadikliko

Una onesha una shule ndogo. Exposure ya Majiji huna. Una taja kenyatta Road as main road? Ni akili au matope?
Wewe ni mpuuzi uzi wako unazungumzia jiji la mwanza sio mkoa wa mwanza[emoji1787]

Jiji la mwanza tunabarabara kuu tatu kenyatta,makongoro na nyerere

Kumbe hata haufahamu musoma road inaanzia wapi na kuishia wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu unajiita msomi!!!!!!
 
Wewe ni mpuuzi uzi wako unazungumzia jiji la mwanza sio mkoa wa mwanza[emoji1787]

Jiji la mwanza tunabarabara kuu tatu kenyatta,makongoro na nyerere

Kumbe hata haufahamu musoma road inaanzia wapi na kuishia wapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787] halafu unajiita msomi!!!!!!
Tulia ww, level zako ni hao wajinga wenzio.
 
Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.

Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.

Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.

Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.

kwakweli Mwanza kwenye barabara na sehemu za maegesho walifeli Kitambo sana. Pesa za daraja la Busisi ni bora zingetumika kutanua na kuboresha mtandao wa Barabara.
 
Uzi Moderators wameisha ubandika. Tulia dawa iwaingie. Mmekalia rushwa tu maofisini. Hamfanyi kazi.
Mitaa ya Jiji utadhani ushirombo.
Jiji la mwanza tuna wilaya 2 tu nyamagana na ilemela sass wewe hio barabara ya msoma na shinyanga umeitoa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mwenzetu unaishi wilaya ya magu au misungwi/kwimba coz huko zipo hizo barabara
 
Jiji la mwanza tuna wilaya 2 tu nyamagana na ilemela sass wewe hio barabara ya msoma na shinyanga umeitoa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mwenzetu unaishi wilaya ya magu au misungwi/kwimba coz huko zipo hizo barabara
Acheni ushamba jiji la Mwanza halina wilaya, nendeni hata shule mkapate elimu ya uraia, nchi hii wajinga wengi wengi ila wabishi wakijifanya wanajua. Mkoa wa Mwanza ndio wenye wilaya kama Nyamagana, Ilemela na zingine jiji halina wilaya jiji ni jiji tu. Ila kwa Mkoa wa Mwanza jiji la Mwanza liko ndani ya wilaya ya Nyamagana km jiji la DSM lilivyo ndani ya wilaya ya Ilala. Msitulete kichefuchefu huku.
 
Acheni ushamba jiji la Mwanza halina wilaya, nendeni hata shule mkapate elimu ya uraia, nchi hii wajinga wengi wengi ila wabishi wakijifanya wanajua. Mkoa wa Mwanza ndio wenye wilaya kama Nyamagana, Ilemela na zingine jiji halina wilaya jiji ni jiji tu. Ila kwa Mkoa wa Mwanza jiji la Mwanza liko ndani ya wilaya ya Nyamagana km jiji la DSM lilivyo ndani ya wilaya ya Ilala. Msitulete kichefuchefu huku.
Nyamagana ni Manispaa, Ilemela ni Manispaa... Manispaa ya Nyamagana ndio inaunda Halmashauri ya jiji...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Acheni ushamba jiji la Mwanza halina wilaya, nendeni hata shule mkapate elimu ya uraia, nchi hii wajinga wengi wengi ila wabishi wakijifanya wanajua. Mkoa wa Mwanza ndio wenye wilaya kama Nyamagana, Ilemela na zingine jiji halina wilaya jiji ni jiji tu. Ila kwa Mkoa wa Mwanza jiji la Mwanza liko ndani ya wilaya ya Nyamagana km jiji la DSM lilivyo ndani ya wilaya ya Ilala. Msitulete kichefuchefu huku.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] point yako ni nini? Kwamba hakuna wilaya ya ilemela ila kuna manispaa!!
 
Jiji la mwanza tuna wilaya 2 tu nyamagana na ilemela sass wewe hio barabara ya msoma na shinyanga umeitoa wapi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au mwenzetu unaishi wilaya ya magu au misungwi/kwimba coz huko zipo hizo barabara
Ni musoma siyo msoma. Shule ndogo. Nime sema Natta to Musoma.
Na Mwanza to Shinyanga. Dogo kasome upanue ubongo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti msoma road
Una Elimu gani hata kuandika Musoma hujui una andika Msoma? Ebu ingia Google Map uone hiyo barabara ya Natta to Musoma inaitwaje? Ni mshamba ila una jidai mjuaji.
 
Ni musoma siyo msoma. Shule ndogo. Nime sema Natta to Musoma.
Na Mwanza to Shinyanga. Dogo kasome upanue ubongo.
Kati ya mimi na wewe nani akasome?

We jamaa umeshindwa kutofautisha kati ya mkoa na jiji ni aibuu kubwa!![emoji1787]
 
Nyamagana ni Manispaa, Ilemela ni Manispaa... Manispaa ya Nyamagana ndio inaunda Halmashauri ya jiji...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Eti mkuu wa chuo, we ni mkuu wa chuo cha wajinga siyo? Rudi darasani huna unalojua, Manispaa na jiji ni vitu viwili tofauti. We inaonekana ni mbishi na ulikuwa unawabishia hata walimu wako ndio maana vitu vidogo km hivyo vinakushinda. Anyway, ujinga wako usiwe mzigo kwa watu wengine
 
Fanya argument na watoto wenzio siyo level yangu
Kichwa maji[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Haya majinga kutoka huko vijijini yakija kwa shemeji zao yanajikuta yanalijua jiji kumbe mavi tu

Screenshot_20230419-141602_Maps.jpg
 
Eti mkuu wa chuo, we ni mkuu wa chuo cha wajinga siyo? Rudi darasani huna unalojua, Manispaa na jiji ni vitu viwili tofauti. We inaonekana ni mbishi na ulikuwa unawabishia hata walimu wako ndio maana vitu vidogo km hivyo vinakushinda. Anyway, ujinga wako usiwe mzigo kwa watu wengine
Wewe mmeru unateseka ukiwa kimandolu sehemu gan[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba nimuombe Rais ikimpendeza afanye mabadiliko makubwa kwa Jiji la Mwanza. Mwanza ni jiji lakini miundombinu yake haina hadhi ya JIJI lolote duniani.

Barabara za mitaa ni tope, makorongo, mtandao wa Lami za mitaa Mwanza ina zidiwa na Manispaa nyingi Tz. Main Roads zipo chini ya Kiwango cha ubora. No strategic plans (wana weka nguzo za taa wakati kuna mkakati wa kupanua barabara). Majengo makubwa hadi VOIL yanajengwa karibu na barabara bila zuio la upanuzi. Barabara ni finyu. Jiji kubwa barabara kubwa ni njia 2 kweli? No alternative routes, kuingia jijini!! Hapa: TANROADS, TARURA, MIPANGO MIJI, ARDHI wakuu wa vitengo wote, Rais piga chini...wapeleke NIDA.

Maji: Mwanza ime zungukwa na Ziwa pande zote ila mgao wa Maji ni mkali kuliko Shinyanga. Wanazalisha lita million 90 kwa siku wakati mahitaji ni lita million 160 kwa siku. Je hawakujua? Je hawajui population growth rate na growth rate ya jiji? Hawa kujipanga? Masoko: masoko ya hili jiji hayana hadhi ya Jiji. Ni ya hovyo. Maji machafu , giza na tope ndio sifa kuu.

Vyombo vya Usalama naomba msaidieni mama kufanya kazi. Uzembe wa hovyo ni mwingi. Pelekeni taarifa kwa wakati.

Swala la mgao wa maji hata mim nalishangaa umelitoa wapi.
Kila kitu kinakuja kulingana na uhitaji.
Kweny swala la barabara za mitaa sehem nyingi tu wanatengeneza barabara za mitaa.
 
Eti mkuu wa chuo, we ni mkuu wa chuo cha wajinga siyo? Rudi darasani huna unalojua, Manispaa na jiji ni vitu viwili tofauti. We inaonekana ni mbishi na ulikuwa unawabishia hata walimu wako ndio maana vitu vidogo km hivyo vinakushinda. Anyway, ujinga wako usiwe mzigo kwa watu wengine
Mi Elimu yangu ni kubwa, kwa uwezo wako mdogo kama Mende haunizidi...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom